Kuna mtu tulibishana kuhusu uhuru wa kusema nikamuambia aandike tangazo kwenye kioo cha nyuma cha gari lake amtukane rais halafu ateembee nalo mjini siku nzima tuone hatima yake akaogopa.
Na ukikamatwa kesi ya kibwege hivyo unaenda ndani mwenyewe kimya kimya hakuna headlines.
Na ukikamatwa kesi ya kibwege hivyo unaenda ndani mwenyewe kimya kimya hakuna headlines.