Dola ya Kiislam yatangaza kuhusika na shambulio la Manchester, Uingereza

Uislamu umekubali kuua makafiri.

Nimetoa aya hapo juu.

Tena aya zimesema Waislamu watakaozembea katika vita ni wanafiki na siWaislamu wa kweli.

Kwa hiyo inawezekana kabisa hao ISIS ndiyo Waislamu wakweli na hawa wanaojibaraguza na "Uislamu ni dini ya amani" ndio wanafiki wanaosemwa katika Quran.

Waliyo waloga walifanikiwa kama ambavyo north Korea alivyofanikiwa kwenye makombora yake hao ni dola la marekani na mataifa yote ya magharibi mbona hilo dola la uhalifu hujawahi sikia limefanya uhalifu china?
 
Usome kabla hujaropoka
Wenzako wanaodai usomikwa vitendo wameomba aya na nimewapatunajadiliana.

Wewe unabwata tu, hata usomi huujui.

Practice what you preach.

Ungejali kusoma ningekuona wa maana sana kama angalau ungeomba aya za Quran.
 
Kitendo kilichofanyika ni kibaya sana ambacho walichokifanya wanaojiita Islamic State, kama ndio wao, kiukweli uislam unapiga vita kabisa kufanyiana dhulma binaadamu kwa binaadamu, sembuse kuuawa. Haifai kumuua yoyote yule awe muislam asiwe muislam. Na ni dhambi kubwa sana kufanya hivyo. Kilichoambiwa katika Dini ni kisasi kwa yule aliyokukosea, sio kukukosea mwengine ukamlipizia mwengine. Na huku kujitoa muhanga haimo kabisaa made mtu ajue ya kuwa malipo yake ni motors anakufa hali ya kuwa sio muislam na ataulizwa juu ya roho alizozidhulumu.
Kutosoma dini vizuri na kupelekeshwa na mipango ya watu wanayoipanga kwa mgongo wa kuuchafua uislam.
Umeona wapi muuaji akaua ikisha akajitapa kuwa yeye ndio muuaji? Au akaiba akasema mimi ndio mwizi!
Mbona wa kibiti, mkuranga, rufiji mapaka leo hawajitangazia.
Ni watu na biashara zao na hao ISIS na wengine kitu gani kinachofanyika mpaka leo ikashindikana kuwadhibiti?
Ni mambo ambayo wengi wetu ni vipofu kabisaa huenda miaka ya mbele tukapata hata jicho la bandia.
Note
Yale mabilioni Obama aliyoyapeleka Iraq wakati trump keshachaguliwa yalikuwa ya nini EE?
Vipi kinacho endelea Israeli na Palestine ushawahi kiona Burma au Serikali ya China Dhid ya Waislam fanya utafit kabla kiinua mdomo
 
Waliyo waloga walifanikiwa kama ambavyo north Korea alivyofanikiwa kwenye makombora yake hao ni dola la marekani na mataifa yote ya magharibi mbona hilo dola la uhalifu hujawahi sikia limefanya uhalifu china?
Jaribu kuandika sentensi zenye mpangiliona mantiki ya kueleweka. Hapo sijaelewa.

Waliyo waloga nani? Nani kamloga nani? Nani ni dola la Marekani ? Baada ya "dola la Marekani"unapoanza "na mataifa yote" hichoni kifungu kipya? unamaanisha "hao ni dola la marekani na mataifa yote " au "hao ni dola la marekani, na mataifa yote"

Huna kituo wala koma.
 
Sijui kwa nn marekani na ubabe wake wanashindwa kufyeka hawa mashetani
Nilikuwa naongea na mwanajeshi mmoja wa Marekani, alikuwa analalmika kwamba uongozi wa juu(Obama kipindi hicho) ulikuwa unajali sana diplomasia na sheria za vita.

Alikuwa anasema kipindikile ISIS wanatawala huko kati wangeweza kwenda na kwafanyia, lakini ingeonekana uvamizi, halafu ISIS ni magaidi,hawapigani kwa kufuata sheria za kimataifa za vita, jeshi la Marekani linashikilia kupigana kwa sheria za kimataifa, akasema kuna wanajeshi wana usongo sana waende kupigana lakini wamekatishwa tamaa na wanasiasa na wanadiplomasia.
 
Kitendo kilichofanyika ni kibaya sana ambacho walichokifanya wanaojiita Islamic State, kama ndio wao, kiukweli uislam unapiga vita kabisa kufanyiana dhulma binaadamu kwa binaadamu, sembuse kuuawa. Haifai kumuua yoyote yule awe muislam asiwe muislam. Na ni dhambi kubwa sana kufanya hivyo. Kilichoambiwa katika Dini ni kisasi kwa yule aliyokukosea, sio kukukosea mwengine ukamlipizia mwengine. Na huku kujitoa muhanga haimo kabisaa made mtu ajue ya kuwa malipo yake ni motors anakufa hali ya kuwa sio muislam na ataulizwa juu ya roho alizozidhulumu.
Kutosoma dini vizuri na kupelekeshwa na mipango ya watu wanayoipanga kwa mgongo wa kuuchafua uislam.
Umeona wapi muuaji akaua ikisha akajitapa kuwa yeye ndio muuaji? Au akaiba akasema mimi ndio mwizi!
Mbona wa kibiti, mkuranga, rufiji mapaka leo hawajitangazia.
Ni watu na biashara zao na hao ISIS na wengine kitu gani kinachofanyika mpaka leo ikashindikana kuwadhibiti?
Ni mambo ambayo wengi wetu ni vipofu kabisaa huenda miaka ya mbele tukapata hata jicho la bandia.
Note
Yale mabilioni Obama aliyoyapeleka Iraq wakati trump keshachaguliwa yalikuwa ya nini EE?
Kwa hiyo unataka kusema us yupo kwenye huu upuuzi
 
Mimi sipingani na ukweli. Ila watu wanaoamini ukristo wananiboa sana kuficha makucha ya kikatili ya ukristo na kujaribu kutupia mabaya yote kwenye uislam. Hali ya kua ukristo unataka watu wauwawe. Mpaka watoto wakiume. Waachwe watoto wa kike mabikira na wagaiwe wanajeshi wawabake. Ni stress hizi dini
Ok ila sasa tuongee na uhalisia uliopo je ni Mkristo yupi leo hii anayeua watu bure bila hatia kwa jina la dini yake huku akipiga kelele kumtaja Mungu wakati akitekeleza mauaji?
 
The Quran's Verses of Violence

Quran
Quran (2:191-193) - "And kill them wherever you find them, and turn them out from where they have turned you out. And Al-Fitnah [disbelief or unrest] is worse than killing... but if they desist, then lo! Allah is forgiving and merciful. And fight them until there is no more Fitnah [disbelief and worshipping of others along with Allah] and worship is for Allah alone. But if they cease, let there be no transgression except against Az-Zalimun(the polytheists, and wrong-doers, etc.)"(Translation is from the Noble Quran)
Tumekwishaaa, Saudi Arabia ndo mfadhili mkuu wa ugaidi dunia
 
Jaribu kuandika sentensi zenye mpangiliona mantiki ya kueleweka. Hapo sijaelewa.

Waliyo waloga nani? Nani kamloga nani? Nani ni dola la Marekani ? Baada ya "dola la Marekani"unapoanza "na mataifa yote" hichoni kifungu kipya? unamaanisha "hao ni dola la marekani na mataifa yote " au "hao ni dola la marekani, na mataifa yote ..."

Huna kituo wala koma.
Mkuu siyo kila jambo ni rahisi kuelewa ndio maana hukunielewa na hukujuwa ni nani kamloga mwenzake!

Mpo kwenye giza nene kuelewa kuwa magaidi wote ni waajiriwa wa marekani kupitia Saudi Arabia!
 
Tumekwishaaa, Saudi Arabia ndo mfadhili mkuu wa ugaidi dunia
Halafu sasa kaungana na Trump, Marekani anamuuzia silaha za mabilioni ya dola.

Saudi Arabia kaua Yemen kishenzi huko.

Anapiga mabomu hajali hawa raia hawa wanajeshi.

Sijamsikia mtu akilalamika kwamba Saudi Arabia nchi ya Kisslamu inaua raia wasio hatia, tena wa nchi nyingine ya Kisslamu.

Marekani hata kama kajamba tangu vita vikuu vya pili vya dunia ushuzi mpakaleo watu wanahadithia.
 
Mkuu siyo kila jambo ni rahisi kuelewa ndio maana hukunielewa na hukujuwa ni nani kamloga mwenzake!!!
Mkuu mmelogwa na uchawi wa laboratory ndio maana mpo kwenye giza nene kuelewa kuwa magaidi wote ni waajiriwa wa marekani kupitia Saudi Arabia!!!!!
Wote wangapi na umewahesabuje?
 
The Quran's Verses of Violence
Quran
Quran (2:191-193) - "And kill them wherever you find them, and turn them out from where they have turned you out. And Al-Fitnah [disbelief or unrest] is worse than killing... but if they desist, then lo! Allah is forgiving and merciful. And fight them until there is no more Fitnah [disbelief and worshipping of others along with Allah] and worship is for Allah alone. But if they cease, let there be no transgression except against Az-Zalimun(the polytheists, and wrong-doers, etc.)"(Translation is from the Noble Quran)

Mara nyingine kupotosha vitu ili kuchanganya watu sio vizuri mkuu. Hebu soma ulichokiandika then compare na ukweli huu hapa chini na hii nimeweka aya moja tuu ya 191. Kwanza aya ya 191 hujaimaliza yote kwa lengo la kuchochea vizuri ushetani wako... Muogopeni Mungu aisee.

"And kill them wherever you overtake them and expel them from wherever they have expelled you, and fitnah is worse than killing. And do not fight them at al-Masjid al- Haram until they fight you there. But if they fight you, then kill them. Such is the recompense of the disbelievers.
 
Nilitizama ile movie ya traitor by Don Chidle kama sikosei ilinipa insight kidogo kunachoendelea ktk terrorism ya aina hii.
 
Naomba niulize, hivi mwezi huu wa Ramadhani na wao wanafunga? Wa kule kibiti wale
 
Mara nyingine kupotosha vitu ili kuchanganya watu sio vizuri mkuu. Hebu soma ulichokiandika then compare na ukweli huu hapa chini na hii nimeweka aya moja tuu ya 191. Kwanza aya ya 191 hujaimaliza yote kwa lengo la kuchochea vizuri ushetani wako... Muogopeni Mungu aisee.

"And kill them wherever you overtake them and expel them from wherever they have expelled you, and fitnah is worse than killing. And do not fight them at al-Masjid al- Haram until they fight you there. But if they fight you, then kill them. Such is the recompense of the disbelievers.

'And kill them wherever you overtake them".

Hapo umeelewa nini?
 
Back
Top Bottom