SawaTatizo sio uzao gentleman,
Ile ya muhimu kama Taifa ni kuhakikisha tunaongozwa na viongozi waadilifu wenye uzoefu na nguvu za kuhakikisha Taifa letu lina piga hatua za kimaendeleo kisiasa, kijamii, kisiasa, kiuchumi, kitaifa na kimataifa,
masuala ya ubaguzi wa na dhana potofu ya uzao, haiwezi kulikosesha taifa letu viongozi waandamizi madhubuti 🐒