Dkt. Hussein Mwinyi ndiye atakayekuwa mgombea mwenza wa CCM wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hapo 2030

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
24,425
25,260
Kwa Neema na Baraka za Mungu wakati huo,
Dr.Emmanuel Nchimbi ndie atakae kua mgombea urais kupitia CCM, anakubalika na kuaminika zaidi kwa wananchi wote na waTanzania wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania.

Ni muhimu sana kwa wale wote ndani ya CCM,
wenye nia ya kugombea nafasi hizo muhimu za kitaifa nchini, wawe wavumilivu, wastahimilivu na wenye subra, na wakiona kuna ugumu wa kufanya hivyo, basi wawe huru kutumia majukwaa mengine ya kisiasa kutimiza hamu, nia na ndoto zao za walau kugombea urais wa Tanzania.

So,
Come 2030, CCM itakua na wagombea uongozi very powerful, very capable, very popular na wenye experience ya kiwango cha juu sana katika kazi ya kuongoza nchi kwenye nafasi na ngazi ya urais wa Tanazania.

Na kwahivyo,
my friends, ladies and gentlemen,
siasa ni kujipanga na kuthubutu tu unatoboa kiulaini kabisa.

Uongozi ni baraka kutoka kwa Mungu.
Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.

wajumbe tushikamane kushika dola.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Kwa Neema na Baraka za Mungu wakati huo,
Dr.Emmanuel Nchimbi ndie atakae kua mgombea urais kupitia CCM, anakubalika na kuaminika zaidi kwa wananchi wote na waTanzania wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania.

Ni muhimu sana kwa wale wote ndani ya CCM,
wenye nia ya kugombea nafasi hizo muhimu za kitaifa nchini, wawe wavumilivu, wastahimilivu na wenye subra, na wakiona kuna ugumu wa kufanya hivyo, basi wawe huru kutumia majukwaa mengine ya kisiasa kutimiza hamu, nia na ndoto zao za walau kugombea urais wa Tanzania.

So,
Come 2030, CCM itakua na wagombea uongozi very powerful, very capable, very popular na wenye experience ya kiwango cha juu sana katika kazi ya kuongoza nchi kwenye nafasi na ngazi ya urais wa Tanazania.

Na kwahivyo,
my friends, ladies and gentlemen,
siasa ni kujipanga na kuthubutu tu unatoboa kiulaini kabisa.

Uongozi ni baraka kutoka kwa Mungu.
Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.

wajumbe tushikamane kushika dola.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kwamba nchi Haina uzao mwingine zaidi ya hao,, pathetic ccm mna laana,mwaka huu ni the himself TAL
 
Kwa Neema na Baraka za Mungu wakati huo,
Dr.Emmanuel Nchimbi ndie atakae kua mgombea urais kupitia CCM, anakubalika na kuaminika zaidi kwa wananchi wote na waTanzania wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania.

Ni muhimu sana kwa wale wote ndani ya CCM,
wenye nia ya kugombea nafasi hizo muhimu za kitaifa nchini, wawe wavumilivu, wastahimilivu na wenye subra, na wakiona kuna ugumu wa kufanya hivyo, basi wawe huru kutumia majukwaa mengine ya kisiasa kutimiza hamu, nia na ndoto zao za walau kugombea urais wa Tanzania.

So,
Come 2030, CCM itakua na wagombea uongozi very powerful, very capable, very popular na wenye experience ya kiwango cha juu sana katika kazi ya kuongoza nchi kwenye nafasi na ngazi ya urais wa Tanazania.

Na kwahivyo,
my friends, ladies and gentlemen,
siasa ni kujipanga na kuthubutu tu unatoboa kiulaini kabisa.

Uongozi ni baraka kutoka kwa Mungu.
Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.

wajumbe tushikamane kushika dola.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Masta, kabla ya kuandika umepata chai kidogo au hata juice???
 
Wewe Fala badala ya kuwaza pesa za ARV mtazitoa wapi unawaza mambo ya uchaguzi 2030....wewe Fala Una Akili kweli?
 
Kwamba nchi Haina uzao mwingine zaidi ya hao,, pathetic ccm mna laana,mwaka huu ni the himself TAL
Tatizo sio uzao gentleman,
Ile ya muhimu kama Taifa ni kuhakikisha tunaongozwa na viongozi waadilifu wenye uzoefu na nguvu za kuhakikisha Taifa letu lina piga hatua za kimaendeleo kisiasa, kijamii, kisiasa, kiuchumi, kitaifa na kimataifa,

masuala ya ubaguzi wa na dhana potofu ya uzao, haiwezi kulikosesha taifa letu viongozi waandamizi madhubuti 🐒
 
Back
Top Bottom