1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 452
- 1,797
Mchezaji mfupi kuliko wote nchini akiwqzidi madifenda wa zamani akina George Magere Masatu au Paulo John Masanja Dickson, Dickson Job ameachwa katika kikosi cha stars kwa madai ya kugomea kucheza beki wa kulia kwenye mchezo dhidi ya DRC.
Huyu bila kupepesa macho wala kuleta ushabiki, ingekuwa jeshini alipaswa kunyongwa.
Job alikuwa vitani akiipambania benders ya nchi, tulikuwa na mchezo mgumu ambao tulihitaji ushindi, na Job ndio alionekana mtu wa kubeba mikoba ya ushindi cku ile.
Here's Morroco anapanga kikosi na kuweka mikakati, Job anawarudisha nyuma wenzake akisema hawezi kucheza beki wa kulia.
Job alipangwa nafasi hiyo kwa sababu amekuwa akicheza nafasi hiyo Yanga na hajawahi kukataa.
Job anamuona Hersi ni mungu mtu kuliko Taifa.
Yaani nchi imekulipa ukafie vitani wewe unafika vitani unasema sipigani kwa sababu silaha hii sio nzuri, bwege kweli wewe.
Huyo Lusajo Mwaikenda mbona alikuwa akicheza beki wa kati Azam na ss amekubali kucheza pembeni.
Halafu nyie waandishi wa habari mmekosa kabisa ubunifu, stori hii mlitakiwa kuipata tangu siku ile ile na mngepata subscribers wa kutosha, leo mnatuletea vioja hapa.
Ilitakiwa Taifa lijue kuwa kule vitani kulikuwa na wasaliti aina ya Dickson Job ili watanzania tuiombe serikali iangalie uraia wake huyu mtu.
Siamini kama huyu dogo ni mtanzania, maana sura yake sijawahi kuielewa kabisa kabisa.
Huyu arudishe posho na marupurupu yote kwa sababu hakufanya kazi yoyote zaidi ya kwenda kushuhudia tu, ni afadhali nafasi yake angechukua Mbwiga Wa Mbwiguke tungejua moja.
Pili, Tanzania ina wachezaji wazuri kuliko Job, pale Singida kuna defendant mkatili sana anaitwa Laurian, Namungo kuna watu, Mlandege kuna watu, Kagera Sugar kuna vitasa, Job ni nani asumbue nchi, arudishe fedha za watanzania.
Huyu bila kupepesa macho wala kuleta ushabiki, ingekuwa jeshini alipaswa kunyongwa.
Job alikuwa vitani akiipambania benders ya nchi, tulikuwa na mchezo mgumu ambao tulihitaji ushindi, na Job ndio alionekana mtu wa kubeba mikoba ya ushindi cku ile.
Here's Morroco anapanga kikosi na kuweka mikakati, Job anawarudisha nyuma wenzake akisema hawezi kucheza beki wa kulia.
Job alipangwa nafasi hiyo kwa sababu amekuwa akicheza nafasi hiyo Yanga na hajawahi kukataa.
Job anamuona Hersi ni mungu mtu kuliko Taifa.
Yaani nchi imekulipa ukafie vitani wewe unafika vitani unasema sipigani kwa sababu silaha hii sio nzuri, bwege kweli wewe.
Huyo Lusajo Mwaikenda mbona alikuwa akicheza beki wa kati Azam na ss amekubali kucheza pembeni.
Halafu nyie waandishi wa habari mmekosa kabisa ubunifu, stori hii mlitakiwa kuipata tangu siku ile ile na mngepata subscribers wa kutosha, leo mnatuletea vioja hapa.
Ilitakiwa Taifa lijue kuwa kule vitani kulikuwa na wasaliti aina ya Dickson Job ili watanzania tuiombe serikali iangalie uraia wake huyu mtu.
Siamini kama huyu dogo ni mtanzania, maana sura yake sijawahi kuielewa kabisa kabisa.
Huyu arudishe posho na marupurupu yote kwa sababu hakufanya kazi yoyote zaidi ya kwenda kushuhudia tu, ni afadhali nafasi yake angechukua Mbwiga Wa Mbwiguke tungejua moja.
Pili, Tanzania ina wachezaji wazuri kuliko Job, pale Singida kuna defendant mkatili sana anaitwa Laurian, Namungo kuna watu, Mlandege kuna watu, Kagera Sugar kuna vitasa, Job ni nani asumbue nchi, arudishe fedha za watanzania.