Diamond Platnumz akamatwe kwa kuvunja Sheria Barabarani

Nianze kwa Refference ya Wale Vijana walikamatwa na Polis Wakiwa wanacheza Nyimbo ya Darasa /Muzuki. Dereva alionekana kucheza na Kuachia Usukani , huku abiria pia wakiwa hawajafunga mikanda . Kitemdo kile kilionekana Kukiuka taratibu za barabarani , ikiwa ni pamoja na kuhatarisha Maisha ya dereva na abiria waliokuamo ndani.

Kwenye Video , Utamuona Diamond akicheza Nyimbo ya Marry Me , Huku yeye na abiria aliwabeba wakiwa hawajafunga mikanda , kwa nyuma anaonekana Mtoto mdogo akiwa amesimama kwnye kiti, haitoshi.Nasibu anaonekana akiachia Uskani huku akiangalia mtu anayemchukua video.
Mpaka sasa sijaona Hatua iliyochukuliwa

My take .
Ifike mahala sheria tulizo nazo zieheshimiwe na ziguse kila mtu anayezivunja pasipo kujali Umaarufu , sheria ni msumeno , tunataka kuona Ikitumika kumkamata Mtu huyu.

Video hii hapa

We jinsia gani maana huo wivu unaniogopesha
 
Nianze kwa Refference ya Wale Vijana walikamatwa na Polis Wakiwa wanacheza Nyimbo ya Darasa /Muzuki. Dereva alionekana kucheza na Kuachia Usukani , huku abiria pia wakiwa hawajafunga mikanda . Kitemdo kile kilionekana Kukiuka taratibu za barabarani , ikiwa ni pamoja na kuhatarisha Maisha ya dereva na abiria waliokuamo ndani.

Kwenye Video , Utamuona Diamond akicheza Nyimbo ya Marry Me , Huku yeye na abiria aliwabeba wakiwa hawajafunga mikanda , kwa nyuma anaonekana Mtoto mdogo akiwa amesimama kwnye kiti, haitoshi.Nasibu anaonekana akiachia Uskani huku akiangalia mtu anayemchukua video.
Mpaka sasa sijaona Hatua iliyochukuliwa

My take .
Ifike mahala sheria tulizo nazo zieheshimiwe na ziguse kila mtu anayezivunja pasipo kujali Umaarufu , sheria ni msumeno , tunataka kuona Ikitumika kumkamata Mtu huyu.

Video hii hapa

una uhakika gani kama alikuwa bongo? labda south africa
 
Kweli chuki kisa kakuzidi maisha.lipotini wauza unga aka madawa y kulevya. Mnaangaila na hao.
 
Kweli kunya anye kuku akinya bata kaharisha, asante kwa taarifa umeumia eeh pole ipo siku na wewe utamiliki gari japo ka passo
 
Nianze kwa Refference ya Wale Vijana walikamatwa na Polis Wakiwa wanacheza Nyimbo ya Darasa /Muzuki. Dereva alionekana kucheza na Kuachia Usukani , huku abiria pia wakiwa hawajafunga mikanda . Kitemdo kile kilionekana Kukiuka taratibu za barabarani , ikiwa ni pamoja na kuhatarisha Maisha ya dereva na abiria waliokuamo ndani.

Kwenye Video , Utamuona Diamond akicheza Nyimbo ya Marry Me , Huku yeye na abiria aliwabeba wakiwa hawajafunga mikanda , kwa nyuma anaonekana Mtoto mdogo akiwa amesimama kwnye kiti, haitoshi.Nasibu anaonekana akiachia Uskani huku akiangalia mtu anayemchukua video.
Mpaka sasa sijaona Hatua iliyochukuliwa

My take .
Ifike mahala sheria tulizo nazo zieheshimiwe na ziguse kila mtu anayezivunja pasipo kujali Umaarufu , sheria ni msumeno , tunataka kuona Ikitumika kumkamata Mtu huyu.

Video hii hapa

Dah ila mbona Diamond anaonekana amekomaa sana saivi, ndio kulemewa na stress au au na yeye anahofia kutajwa jina na Makonda? dogo uso umekakamaa aisee, kumbe zile picha ni photoshop??
 
Back
Top Bottom