Mahmood
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 7,908
- 2,478
Mkristo wa 'KICHINA' 25th Dec SIO BIRTHDAY YA YESU acha kukariri mambo,ni siku ambayo wakristo hukumbuka kuzaliwa kwa Bwana YESU karibia miaka 2000 iliyopita.Ingekuwa ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa YESU isingetumika neno'karibia miaka...' ingekuwa unatajwa Umri husika wa YESU.Kama huamini kwamba YESU alizaliwa then huna sababu ya kukumbuka tendo hilo,pia unaweza kuchagua tarehe nyingine na mwezi mwingine kama unafikiri kweli Yesu alizaliwa nawe ufanye hiyo kumbukumbu.Wengi hawaelewi kuwa kesho sio bethdey ya yesu...
Kwa hiyo unakiri kwamba Yesu hakuzaliwa tarehe 25-12.