Pyepye
Member
- Oct 24, 2012
- 78
- 10
Jamaa ni mwalim wa special education. Athari za hii kozi ni kuzalisha professionals wenye kupenda lihurumiwa, kulialia, na kuchukulia kila kitu kwa mtazamo hasi. Maana wao wanakuwa walemavu kuliko clients wao
Ya kisandu mwachie kisandu lkn usidhalilishe fani za watu
ebo!