Rwaz
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,005
- 3,416
Wadau nasalimia kwa jina la Aliyeko juu ya kila kitu na kila jambo.
Naomba ushaur naipataje degree ya masuala ya Bima nikiwa dar. Hasa kwa njia ya non full time studies! Ili nisiathiri utafutaji wa from hand to mouth.
[Kwa maana licha ya kuwa na Nida ya utaifa sijapewa mgawo wowote kwenye pesa za CAG report zilizozagaa]
Naomba ushaur naipataje degree ya masuala ya Bima nikiwa dar. Hasa kwa njia ya non full time studies! Ili nisiathiri utafutaji wa from hand to mouth.
[Kwa maana licha ya kuwa na Nida ya utaifa sijapewa mgawo wowote kwenye pesa za CAG report zilizozagaa]