DC mpya wa Ikungi, Singida atumbuliwa ndani ya masaa 24

DC mpya wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida Mwl. Fikiri Avias Saidi uteuzi wake umetenguliwa leo, ameteuliwa ndugu Miraji Mtaturu ambae alikuwa katibu wa CCM mkoani Mwanza.

Ngoma inogile.
Kafanya nini tena au kagundulika ni mwana ukawa?
 
Mkuu kweli wewe ni jasiri
 
Naona wewe umesahaulika,pole sana mkuu
 
watu hawajajua source ya yeye kuenguliwa watu mnakuja mnasema raisi mkurupukaji,subirini mpewe sababu ndio mtoe comments zenu,msije mkalamba matapishi buree,ndomana wamepewa muda wa kutafakari/kujitafakari,kupata ushauri wakubali uteuzi ama wakatae kabla ya kuapishwa.....
 
Je kama mteuliwa amekataa nafasi ya DC, hapo nani atalaumiwa

Ebu punguza ushabiki aiseeee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…