peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,946
Kasheshe la DC MOSHI Bw. ABBAS KAYANDA, huko Kilimanjaro kupata pigo la kukosa kura za CCM limechukua sura nyingine.
Baada ya gazeti la mwananchi kumrusha hewani DC wa moshi kwa kukosa kura ndani ya chama cha mapinduzi, amewaangushia maafisaelimu kata na kuwahamisha wote vituo vyao vya kazi bila malipo na bila kusikilizwa.
Kilio hicho kimekwenda mbali zaidi kwa DC huyo anajua wazi kuwa mkeka ujao jina lake halitakuwepo ila amefanya makusudi ili liwalo na liwe huko maafisaelimu wakishiriki kuwahanyia unyama huo walimu ambao ni watumishi watiifu ndani ya ccm na serikali yao tukufu.
Tulivyo jaribu kuwasiliana na ofisi ya elimu mkoa wa kilimanjaro walikiri kusikia uhamisho huo ila wakasema mkoa kama mkoa hawakushirikishwa katika zoezi la kuhamisha waratibu elimu hao .
Pamoja na DC kukosa kura ndani ya chama cha mapinduzi, amezua tena sintofahamu hata kwenye idara za afya kwani ameitisha kikao cha kutaka kuwahamisha vituo ya kazi madaktari wote wa vituo vya afya ndani ya wilaya ya moshi.
Sasa CCM isipokaa macho na DC wa moshi kuna hatari ya chama hicho tawala kukosa majimbo mwaka 2025 kwani anayo chuki kubwa sana na ccm baada ya kukosa kura na sasa chuki hiyo amehamishia kwa watumishi wa Umma na mwisho atahamishia chuki hiyo kwa wananchi wanyonge.
Baada ya gazeti la mwananchi kumrusha hewani DC wa moshi kwa kukosa kura ndani ya chama cha mapinduzi, amewaangushia maafisaelimu kata na kuwahamisha wote vituo vyao vya kazi bila malipo na bila kusikilizwa.
Kilio hicho kimekwenda mbali zaidi kwa DC huyo anajua wazi kuwa mkeka ujao jina lake halitakuwepo ila amefanya makusudi ili liwalo na liwe huko maafisaelimu wakishiriki kuwahanyia unyama huo walimu ambao ni watumishi watiifu ndani ya ccm na serikali yao tukufu.
Tulivyo jaribu kuwasiliana na ofisi ya elimu mkoa wa kilimanjaro walikiri kusikia uhamisho huo ila wakasema mkoa kama mkoa hawakushirikishwa katika zoezi la kuhamisha waratibu elimu hao .
Pamoja na DC kukosa kura ndani ya chama cha mapinduzi, amezua tena sintofahamu hata kwenye idara za afya kwani ameitisha kikao cha kutaka kuwahamisha vituo ya kazi madaktari wote wa vituo vya afya ndani ya wilaya ya moshi.
Sasa CCM isipokaa macho na DC wa moshi kuna hatari ya chama hicho tawala kukosa majimbo mwaka 2025 kwani anayo chuki kubwa sana na ccm baada ya kukosa kura na sasa chuki hiyo amehamishia kwa watumishi wa Umma na mwisho atahamishia chuki hiyo kwa wananchi wanyonge.