theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,686
Hata hivyo si yuko china sijui japan huko... kuna vikongwe wengi so na imani ratiba zimembana kwelikweli...Leo amebanwa clinic
Hata hivyo si yuko china sijui japan huko... kuna vikongwe wengi so na imani ratiba zimembana kwelikweli...Leo amebanwa clinic
JITIBU TATIZO LA FANGASI ZA MIGUUNI KWA NJIA ZA ASILINasumbuliwa na fungus kwa Muda mrefu sana huwa navumilia na kwenda nao kibishi. Kwa sasa Hawa fungus wananisababishia vidonda kwa juu ya mguu na vikipona vinahama sehemu nyingine.
Natanguliza Shukrani zangu za dhati.
Binafsi nilifanya hii na ilileta matokeo chanyaBinafsi ninakushauri hivi:
Chukua vitunguu swaumu(garlic) punje kadhaa saga au twanga ,bandika sahemu iliyoathilika .
Baada ya siku moja iondoe safisha kwa maji.
Baada ya siku mbili tuletee mrejesho hapa.
Paka utomvu wa papai bichi kwenye sehemu yenye tatizo.Nasumbuliwa na fungus kwa Muda mrefu sana huwa navumilia na kwenda nao kibishi. Kwa sasa Hawa fungus wananisababishia vidonda kwa juu ya mguu na vikipona vinahama sehemu nyingine.
Natanguliza Shukrani zangu za dhati.
Ukishawahi kupiga punyeto kwa muda mrefu?Na Mimi ninafangasi sehemu ya siri , kwenye korodani, Nimetumia Dawa nyingi kama vile gentrisone,sonaderm ,Vidonge kama vile flucan, predisoline, n k lakini hali bado, Ngozi inakuwa inatoka magamba magamba yaani kama nyoka anavyojitoaga magamba, Tatizo lina miezi minne sasa, Hospital nimetembea lakini bado.Mwenyewe Dawa anisaidie
Infection ipo kwenye damu,tumia vitunguu swaumu ni Sawa kumeza na kupaka baada ya kuisaga maji yake,kunywa na kupaka Kwa mwezi mmoja hata miwili ukiweza,Ila Kama una BP ya kushuka usitumie kitunguu swaumHabari zenu!! Jamani nasumbuliwa na fangasi miguuni nishatumia dawa za hospital lakin tatizo likipona linarudia tena... je nikitumia kwa kupaka mafuta ya taa au spiriti nitaweza kupona??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo zitamsaidia mimi binafsi zilinisaidia.Tumia Terbinafine tablets na terbinafine cream kwa muda wa mwezi mmoja kisha uje kushukuru hapa
Habari zenu!! Jamani nasumbuliwa na fangasi miguuni nishatumia dawa za hospital lakin tatizo likipona linarudia tena... je nikitumia kwa kupaka mafuta ya taa au spiriti nitaweza kupona??
Sent using Jamii Forums mobile app
ShngapiView attachment 1011583
dawa hii itakua msaada kwako, ni ya uhakika kupona tatizo lako kwa kuipata nicheki pm ,,, polee na karibu kwa tiba
dose pacti3 , pacti moja elf5