David Maraga na majaji wa mahakama ya juu wamekosea kususia uzinduzi wa bunge

ecolizer baba

Member
Sep 29, 2010
88
310
Nianze kwa kuwasalimu.

Kama kweli Jaji Mkuu David Maraga na Majaji wengine wa Mahakama ya juu wamesusia uzinduzi wa Bunge la 12, then ni makosa sana. Wamesusia kama ambavyo Wapinzani wa NASA walivyosusia.

Hii itapelekea zile tetesi kuwa Majaji hawa walikuwa njama na NASA ili kutengua matokeo ya urais uliompa ushindi Rais Uhuru Kenyatta. Na hii inaweza wafanya watu waliodharau tuhuma hizo kuchukulia kuwa ni kweli.

Maraga pls don't do this again. Nyie hampaswi kuwa na upande kwenye mambo ya siasa.
 
Nianze kwa kuwasalimu.

Kama kweli Jaji Mkuu David Maraga na Majaji wengine wa Mahakama ya juu wamesusia uzinduzi wa Bunge la 12, then ni makosa sana. Wamesusia kama ambavyo Wapinzani wa NASA walivyosusia.

Hii itapelekea zile tetesi kuwa Majaji hawa walikuwa njama na NASA ili kutengua matokeo ya urais uliompa ushindi Rais Uhuru Kenyatta. Na hii inaweza wafanya watu waliodharau tuhuma hizo kuchukulia kuwa ni kweli.

Maraga pls don't do this again. Nyie hampaswi kuwa na upande kwenye mambo ya siasa.
 
Kenyata aliwaita majaji kuwa ni wahuni na ni wakora kwa kauli hizo majaji kuonesha hisia zao wamefanya hayo yakususia ufunguzi wa Bunge hiyo ndio Kenya iliyotuacha mile makumi elfu kwa demokrasia ss juzi kati mawakili walipopewa wito wa kugoma kwa siku mbili jaji mkuu alipiga mkwala....!

Mkuu pamoja na hilo kamwe hawakupaswa kususia. Kumbuka kuwa uzinduzi wa bunge haukuwa kama mkutano wa jubilee bali it was a national ceremony that needed all the three arms of the government to attend. Hivyo walipaswa kuhudhuria bila kujali matamshi yaliyokwisha kutolewa dhidi yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
H


Hapana Mkuu. Inasemekana kuwa haakuhudhuria kwenye huo uzinduzi wa bunge ambapo Rais Uhuru Kenyatta alihutubia. In short waneungana na NASA kususia.
Hapana hao wako na right kususia kivyao. Si kweli kwamba wameungana na NASA. NASA walikua na sababu tofauti ya kususia. Huku Kenya hata Ukitaka kumtusi president unaeza si kama huko T.Z
 
Ndio hapo sasa. Sio move nzuri kwa Maraga na wenzake.
hii move Jubilee wataitumia kuombea kura na aidha Maraga ni Nasa sleeper principal au hapana ameshdwa kulijua hili lakini kwa vile sio katiba mbali ni mazoea ya wao majaji kuhudhuria ufunguzi wa mbunge basi tena wasubiri wakenya waamue ni Canaan au ni Uhuruto
 
Hapana hao wako na right kususia kivyao. Si kweli kwamba wameungana na NASA. NASA walikua na sababu tofauti ya kususia. Huku Kenya hata Ukitaka kumtusi president unaeza si kama huko T.Z
It has never happened for the supreme court judges to miss Parliament openings... This will not sit well with many Kenyans.the jubilee narrative that they are partisans will start gaining grounds..it's never a good sign when two arms of government start having wrangles
 
It has never happened for the supreme court judges to miss Parliament openings... This will not sit well with many Kenyans.the jubilee narrative that they are partisans will start gaining grounds..it's never a good sign when two arms of government start having wrangles
I agree. Between Maraga and Uhuru Maraga is the mature one. Maraga avumilie tu matusi juu Uhuru bado ako na shock ya kuloose petion na ako na ego kubwa. One of the two must come down and it must be the C.J
 
It has never happened for the supreme court judges to miss Parliament openings... This will not sit well with many Kenyans.the jubilee narrative that they are partisans will start gaining grounds..it's never a good sign when two arms of government start having wrangles

hii move Jubilee wataitumia kuombea kura na aidha Maraga ni Nasa sleeper principal au hapana ameshdwa kulijua hili lakini kwa vile sio katiba mbali ni mazoea ya wao majaji kuhudhuria ufunguzi wa mbunge basi tena wasubiri wakenya waamue ni Canaan au ni Uhuruto

Sure Mkuu.
 
Hatukatai kuwa Uhuru Kenyatta na William Ruto walikosea kuwaita Maraga na wenzake kuwa ni wakora. Tunachokataa ni hawa Majaji wa mahakama ya juu ambao ndio walioamua petition ya NASA iliyomvua Uhuru Kenyatta ushindi kususia uzinduzi wa bunge. Kumbukeni kuwa Uhuru Kenyatta na Ruto ni wanasiasa na wanatafuta kura. Hivyo they can talk anything in polical style ili wapate sympathy votes. Majaji ambao inasemekana they are neutral hawakupaswa kuchukulia mambo kama vile wao wamekuwa wapinzani wa NASA.
 
Uzinduzi wa bunge ni hafla ya kitaifa iliyoratibiwa kikatiba, nchi hii bado tuna rais maana hajapokeza mamlaka kikatiba na yupo ndani ya muda unaokubalika kikatiba, sasa kwa hao majaji kususia hafla kisa wana tofauti zao za kibinafsi na rais wa sasa naona kama hatari sana kwa taifa.

Mihimili ikianza kususiana na kurushiana vijembe kihivi naona tutaishia pabaya.
 
Back
Top Bottom