David Kafulila: Kwenye azimio la Dar es salaam, Rais Samia atatumia Tsh. Trilioni 33 kusambaza nishati safi ambapo Tsh. Trilioni 13 zitatoka PPP

Rais Samia atatumia $13bn sawa na TZS 33Trilioni kusambaza nishati safi TZS 13Trilioni zitatoka PPP ?​



In the year ending May 2024, Tanzanian exports of goods and services increased by 15% to USD 14.5 billion. On the other hand, imports of goods and services decreased by 5.7% to USD 16.1 billion
View attachment 3226470

Source : BoT Benki Kuu ya Tanzania
Nasubiri ufafanuzi wa hoja
 
===
Akihojiwa na kituo cha utangazaji Cha ITV kwenye kipindi ya DK 45 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Kati ya Serikali na Sekta binafsi nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila amefafanua haya "Kuhusu mpango wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kutumia Sh trilioni 33 sawa na $13bn kuwekeza kwenye nishati safi kati ya pesa hizo kiasi cha $5bn karibu TZS 13 Trilioni sawa 40% zitatoka sekta binafsi,PPP "

Kafulila amesema upatikanaji wa nishati safi kwa Watanzania hao 80% aliowalenga Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kutachochea maendeleo ya Viwanda na kupunguza gharama za uzalishaji na hivyo kuleta nafuu ya maisha kwa walaji wa mwisho ambao ni Wananchi,

Kafulila amesifu juhudi za Serikali ya awamu ya Sita ( 6 ) chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukamilisha Bwana la Mwl Nyerere (JNHPP) kwani limechochea upatikanaji wa Umeme wa uhakika na wa ziada na hivyo kufikia mwaka 2030 kwa kuingiza bajeti ya $13bn kama alivyoazimia Rais Samia Suluhu kwenye azimio la Dar es salaam Tanzania itakuwa na Umeme wa uhakika zaidi ifikapo mwaka 2030.



Sasa hebu Msikilize Kafulila wewe mwenyewe

View attachment 3226422
Kafulila kawa dalali wa Ikulu
 

Rais Samia atatumia $13bn sawa na TZS 33Trilioni kusambaza nishati safi TZS 13Trilioni zitatoka PPP ?​



In the year ending May 2024, Tanzanian exports of goods and services increased by 15% to USD 14.5 billion. On the other hand, imports of goods and services decreased by 5.7% to USD 16.1 billion
View attachment 3226470

Source : BoT Benki Kuu ya Tanzania
mnaonaje kama mkiwa mnakuja public muwe mnatumia past tense badala ya future tense.Badala ya atatumia muwe mnasema ametumia at least mkiwa na evidence to back you tunaweza kuwaelewa vizuri vinginevyo ninyi ni was**** tu
 
===
Akihojiwa na kituo cha utangazaji Cha ITV kwenye kipindi ya DK 45 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Kati ya Serikali na Sekta binafsi nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila amefafanua haya "Kuhusu mpango wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kutumia Sh trilioni 33 sawa na $13bn kuwekeza kwenye nishati safi kati ya pesa hizo kiasi cha $5bn karibu TZS 13 Trilioni sawa 40% zitatoka sekta binafsi,PPP "

Kafulila amesema upatikanaji wa nishati safi kwa Watanzania hao 80% aliowalenga Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kutachochea maendeleo ya Viwanda na kupunguza gharama za uzalishaji na hivyo kuleta nafuu ya maisha kwa walaji wa mwisho ambao ni Wananchi,

Kafulila amesifu juhudi za Serikali ya awamu ya Sita ( 6 ) chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukamilisha Bwana la Mwl Nyerere (JNHPP) kwani limechochea upatikanaji wa Umeme wa uhakika na wa ziada na hivyo kufikia mwaka 2030 kwa kuingiza bajeti ya $13bn kama alivyoazimia Rais Samia Suluhu kwenye azimio la Dar es salaam Tanzania itakuwa na Umeme wa uhakika zaidi ifikapo mwaka 2030.



Sasa hebu Msikilize Kafulila wewe mwenyewe

View attachment 3226422

UTANGULIZI tu unienipa kichefuchefu hata nimeonelea nisipoteze data yangu kusikikiza.

Muulizeni kafulila na masisism.

tri 13 hizi zitalazowekezwa dar zitaleta uwekezaji wowote ktk product zitazotumika ktk uwekezaji huo, au kutakuwa ni chanzo cha any production of goods nchini ili kuongeza ajira zitakazotokana na uzalishaji wa ndani endelevu na kuongeza ajira au tutaendelea kununua bidhaa zilizozalshwa na Wamachinga wa nchi nyingine.

Ili vijana wa tz tujikomboe tunahitaji viongozi wenye vision ya kushawishi uzalishaji wa bidhaa ndani ya nchi badala ya kuegemea kwenye impotation.

13 tri zinaweza kutengeza ajira zaidi ya 10k iwapo mtaji huo ungewelezea ktk kuzalisha bidhaa zenye mahitaji ya kila mwaka kama kutengeza Viatu vya wanafunzi nchini, mabegi, penseli, daftari, mikanda, charger, cover, soli.

Unaumiza kuona watoto 90% wa kijijini kwangu wakivaa bajaj huku tz ikihesabika kuwa ni nchi inayoongoza kuwa na ng'ombe wengi.

Inashangaza.

Inahsangaza kuona kule India vifaa vingi vinatemgezwa na Wamachinga wa kihindi na tz kuna kuwa ni soko lao.

Kuna mifano mingi tu kwa YouTube.
 
Sawa ila ghafla sana, Angewapa muda watu wajiandae
Hahaha Mkuu.

Ukiwa na nyumba na ukajua njia ambayo panya wanatumia kuingilia kwako na kufanya uharibifu ukishaijua hutakiwi kufanya maamuzi mara mbili mbili namna ya kuifunga.
 
UTANGULIZI tu unienipa kichefuchefu hata nimeonelea nisipoteze data yangu kusikikiza.

Muulizeni kafulila na masisism.

tri 13 hizi zitalazowekezwa dar zitaleta uwekezaji wowote ktk product zitazotumika ktk uwekezaji huo, au kutakuwa ni chanzo cha any production of goods nchini ili kuongeza ajira zitakazotokana na uzalishaji wa ndani endelevu na kuongeza ajira au tutaendelea kununua bidhaa zilizozalshwa na Wamachinga wa nchi nyingine.

Ili vijana wa tz tujikomboe tunahitaji viongozi wenye vision ya kushawishi uzalishaji wa bidhaa ndani ya nchi badala ya kuegemea kwenye impotation.

13 tri zinaweza kutengeza ajira zaidi ya 10k iwapo mtaji huo ungewelezea ktk kuzalisha bidhaa zenye mahitaji ya kila mwaka kama kutengeza Viatu vya wanafunzi nchini, mabegi, penseli, daftari, mikanda, charger, cover, soli.

Unaumiza kuona watoto 90% wa kijijini kwangu wakivaa bajaj huku tz ikihesabika kuwa ni nchi inayoongoza kuwa na ng'ombe wengi.

Inashangaza.

Inahsangaza kuona kule India vifaa vingi vinatemgezwa na Wamachinga wa kihindi na tz kuna kuwa ni soko lao.

Kuna mifano mingi tu kwa YouTube.
Mkuu nijuavyo mimi uwekezaji wowote lazima utengeneze ajira,

Tena kwa maoni yangu itakuwa ni zaidi ya ajira hizo 10k ulizozisema,

Nia ya Rais Samia ni kufanya yote yaani kupunguza jangwa na kutoa ajira kwa watu wake
 
Hahaha Mkuu.

Ukiwa na nyumba na ukajua njia ambayo panya wanatumia kuingilia kwako na kufanya uharibifu ukishaijua hutakiwi kufanya maamuzi mara mbili mbili namna ya kuifunga.
Kwanini ufurahie mateso ya Watanzania?
Wewe uko nchi gani?
ARVS zikikosekana watu wengi watakufa,

Ndg zako pia watakufa
 
Kwanini ufurahie mateso ya Watanzania?
Wewe uko nchi gani?
ARVS zikikosekana watu wengi watakufa,

Ndg zako pia watakufa
Sifurahishwi kivyovyote na hizo issues za kusitisha huduma muhimu haswa za vidonge, nina ndugu wengi wanaishi zaidi ya miaka 20 sasa kwa support ya ARV.

Hivi unafahamu kuwa kenya na baadhi ya nchi Afrika wao wanazalisha hizi dawa toka nchini mwao.?

Je miaka yote hii tumeshindwa kuwekeza kwenye research za kutosha ili walau kununua kibali cha kuzalisha.?

Ukiwa Tanzania na ukaona vile ambavyo pesa nyingi haitimiki kwenye mambo yenye tija kwa maisha halisi ya wa Tanzania utaafikiana na hii issue ya Trump.

Tunatakiwa kujifunza wapi tunakosea kama Taifa ambalo lina miaka 63 mwezi mmoja na siku 27, na kisha tukubali na tuamue kuanza upya kujifunza kujitegemea kwa kuanza kufanya maboreshe yamsingi ya vile tunatakiwa kutumia rasilimali tulizo nazo(Kama tunaendelea kuwa na poor allocation ya resources na kuhakikishia tuatendelea kuwa kituko kwa vizazi vyetu zijavo)
 

Rais Samia atatumia $13bn sawa na TZS 33Trilioni kusambaza nishati safi TZS 13Trilioni zitatoka PPP ?​



In the year ending May 2024, Tanzanian exports of goods and services increased by 15% to USD 14.5 billion. On the other hand, imports of goods and services decreased by 5.7% to USD 16.1 billion
View attachment 3226470

Source : BoT Benki Kuu ya Tanzania


Kama Export zimeongezeka hili ni jambo jema kwa Uchumi wa Taifa letu,

Hapa ni kabla ya Ongezeko hilo la nishati ambalo tunaamini litafungua milango ya Viwanda vingi huko kwenye Kata na Willayani,

Hizi pesa ni sahihi kwa muda sahihi Cha msingi mama achaguliwe tena ili ayafanye haya yeye mwenyewe
 
Sifurahishwi kivyovyote na hizo issues za kusitisha huduma muhimu haswa za vidonge, nina ndugu wengi wanaishi zaidi ya miaka 20 sasa kwa support ya ARV.

Hivi unafahamu kuwa kenya na baadhi ya nchi Afrika wao wanazalisha hizi dawa toka nchini mwao.?

Je miaka yote hii tumeshindwa kuwekeza kwenye research za kutosha ili walau kununua kibali cha kuzalisha.?

Ukiwa Tanzania na ukaona vile ambavyo pesa nyingi haitimiki kwenye mambo yenye tija kwa maisha halisi ya wa Tanzania utaafikiana na hii issue ya Trump.

Tunatakiwa kujifunza wapi tunakosea kama Taifa ambalo lina miaka 63 mwezi mmoja na siku 27, na kisha tukubali na tuamue kuanza upya kujifunza kujitegemea kwa kuanza kufanya maboreshe yamsingi ya vile tunatakiwa kutumia rasilimali tulizo nazo(Kama tunaendelea kuwa na poor allocation ya resources na kuhakikishia tuatendelea kuwa kituko kwa vizazi vyetu zijavo)
Nadhani kuanzisha kiwanda Cha ARVs sio jambo gumu labda tulikosa utashi Kwakuwa tulizipewa bure,

Usisahau pia wakati wote tunajifunza kutoka na makosa,

Lakini hili la Trump si la kufurahiwa hata mara moja,
 
===
Akihojiwa na kituo cha utangazaji Cha ITV kwenye kipindi ya DK 45 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Kati ya Serikali na Sekta binafsi nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila amefafanua haya "Kuhusu mpango wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kutumia Sh trilioni 33 sawa na $13bn kuwekeza kwenye nishati safi kati ya pesa hizo kiasi cha $5bn karibu TZS 13 Trilioni sawa 40% zitatoka sekta binafsi,PPP "

Kafulila amesema upatikanaji wa nishati safi kwa Watanzania hao 80% aliowalenga Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kutachochea maendeleo ya Viwanda na kupunguza gharama za uzalishaji na hivyo kuleta nafuu ya maisha kwa walaji wa mwisho ambao ni Wananchi,

Kafulila amesifu juhudi za Serikali ya awamu ya Sita ( 6 ) chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukamilisha Bwana la Mwl Nyerere (JNHPP) kwani limechochea upatikanaji wa Umeme wa uhakika na wa ziada na hivyo kufikia mwaka 2030 kwa kuingiza bajeti ya $13bn kama alivyoazimia Rais Samia Suluhu kwenye azimio la Dar es salaam Tanzania itakuwa na Umeme wa uhakika zaidi ifikapo mwaka 2030.



Sasa hebu Msikilize Kafulila wewe mwenyewe

View attachment 3226422
Naweza kupata hilo azimio na Mimi nilisome?
 
UTANGULIZI tu unienipa kichefuchefu hata nimeonelea nisipoteze data yangu kusikikiza.

Muulizeni kafulila na masisism.

tri 13 hizi zitalazowekezwa dar zitaleta uwekezaji wowote ktk product zitazotumika ktk uwekezaji huo, au kutakuwa ni chanzo cha any production of goods nchini ili kuongeza ajira zitakazotokana na uzalishaji wa ndani endelevu na kuongeza ajira au tutaendelea kununua bidhaa zilizozalshwa na Wamachinga wa nchi nyingine.

Ili vijana wa tz tujikomboe tunahitaji viongozi wenye vision ya kushawishi uzalishaji wa bidhaa ndani ya nchi badala ya kuegemea kwenye impotation.

13 tri zinaweza kutengeza ajira zaidi ya 10k iwapo mtaji huo ungewelezea ktk kuzalisha bidhaa zenye mahitaji ya kila mwaka kama kutengeza Viatu vya wanafunzi nchini, mabegi, penseli, daftari, mikanda, charger, cover, soli.

Unaumiza kuona watoto 90% wa kijijini kwangu wakivaa bajaj huku tz ikihesabika kuwa ni nchi inayoongoza kuwa na ng'ombe wengi.

Inashangaza.

Inahsangaza kuona kule India vifaa vingi vinatemgezwa na Wamachinga wa kihindi na tz kuna kuwa ni soko lao.

Kuna mifano mingi tu kwa YouTube.
Huna hoja kabisa ndg yangu
 
===
Akihojiwa na kituo cha utangazaji Cha ITV kwenye kipindi ya DK 45 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Kati ya Serikali na Sekta binafsi nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila amefafanua haya "Kuhusu mpango wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kutumia Sh trilioni 33 sawa na $13bn kuwekeza kwenye nishati safi kati ya pesa hizo kiasi cha $5bn karibu TZS 13 Trilioni sawa 40% zitatoka sekta binafsi,PPP "

Kafulila amesema upatikanaji wa nishati safi kwa Watanzania hao 80% aliowalenga Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kutachochea maendeleo ya Viwanda na kupunguza gharama za uzalishaji na hivyo kuleta nafuu ya maisha kwa walaji wa mwisho ambao ni Wananchi,

Kafulila amesifu juhudi za Serikali ya awamu ya Sita ( 6 ) chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukamilisha Bwana la Mwl Nyerere (JNHPP) kwani limechochea upatikanaji wa Umeme wa uhakika na wa ziada na hivyo kufikia mwaka 2030 kwa kuingiza bajeti ya $13bn kama alivyoazimia Rais Samia Suluhu kwenye azimio la Dar es salaam Tanzania itakuwa na Umeme wa uhakika zaidi ifikapo mwaka 2030.



Sasa hebu Msikilize Kafulila wewe mwenyewe

View attachment 3226422
Kwa Kafulila Upinzani tulipoteza mtu muhimu sana
 
Siasa hizi, nishati safi yenyewe isije kuwa kila mtanzania akapewa mtumgi wa gesi bure.

Mkwerw alisema gesi imepatikana mtwara tatizo la umeme ni kwisha kiko wapi,
Usimuamini mwanasiasa, hata kama akikwambia nje kuna mvua na we unaisikia kwenye bati, toka nje uone, pengine anamwaga mchanga ama kaita fire wamwage maji kwenye bati lako.

Huyu kafulila ndio muda wake huu kupiga pesa zetu.
 
Kafulila kawa dalali wa Ikulu
Tatizo la jamaa ni mkweli sana na hana Kona Kona kile anachoamini kinafaida kwa Wananchi anakifanya na kukitetea hata kama umma hautamwelewa kwa haraka tofauti na viongozi wengine wanaosakiziana na kutaka waonekane wema tu kila wakati
 
Back
Top Bottom