ABC ZA 2025
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 1,299
- 832
Nasubiri ufafanuzi wa hojaRais Samia atatumia $13bn sawa na TZS 33Trilioni kusambaza nishati safi TZS 13Trilioni zitatoka PPP ?
In the year ending May 2024, Tanzanian exports of goods and services increased by 15% to USD 14.5 billion. On the other hand, imports of goods and services decreased by 5.7% to USD 16.1 billion
View attachment 3226470
Source : BoT Benki Kuu ya Tanzania
Kafulila kawa dalali wa Ikulu===
Akihojiwa na kituo cha utangazaji Cha ITV kwenye kipindi ya DK 45 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Kati ya Serikali na Sekta binafsi nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila amefafanua haya "Kuhusu mpango wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kutumia Sh trilioni 33 sawa na $13bn kuwekeza kwenye nishati safi kati ya pesa hizo kiasi cha $5bn karibu TZS 13 Trilioni sawa 40% zitatoka sekta binafsi,PPP "
Kafulila amesema upatikanaji wa nishati safi kwa Watanzania hao 80% aliowalenga Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kutachochea maendeleo ya Viwanda na kupunguza gharama za uzalishaji na hivyo kuleta nafuu ya maisha kwa walaji wa mwisho ambao ni Wananchi,
Kafulila amesifu juhudi za Serikali ya awamu ya Sita ( 6 ) chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukamilisha Bwana la Mwl Nyerere (JNHPP) kwani limechochea upatikanaji wa Umeme wa uhakika na wa ziada na hivyo kufikia mwaka 2030 kwa kuingiza bajeti ya $13bn kama alivyoazimia Rais Samia Suluhu kwenye azimio la Dar es salaam Tanzania itakuwa na Umeme wa uhakika zaidi ifikapo mwaka 2030.
Sasa hebu Msikilize Kafulila wewe mwenyewe
View attachment 3226422
Haichukii bali anaipenda.Kwani Trump anaichukia Tanzania pekee au Africa yote?😀
mnaonaje kama mkiwa mnakuja public muwe mnatumia past tense badala ya future tense.Badala ya atatumia muwe mnasema ametumia at least mkiwa na evidence to back you tunaweza kuwaelewa vizuri vinginevyo ninyi ni was**** tuRais Samia atatumia $13bn sawa na TZS 33Trilioni kusambaza nishati safi TZS 13Trilioni zitatoka PPP ?
In the year ending May 2024, Tanzanian exports of goods and services increased by 15% to USD 14.5 billion. On the other hand, imports of goods and services decreased by 5.7% to USD 16.1 billion
View attachment 3226470
Source : BoT Benki Kuu ya Tanzania
===
Akihojiwa na kituo cha utangazaji Cha ITV kwenye kipindi ya DK 45 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Kati ya Serikali na Sekta binafsi nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila amefafanua haya "Kuhusu mpango wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kutumia Sh trilioni 33 sawa na $13bn kuwekeza kwenye nishati safi kati ya pesa hizo kiasi cha $5bn karibu TZS 13 Trilioni sawa 40% zitatoka sekta binafsi,PPP "
Kafulila amesema upatikanaji wa nishati safi kwa Watanzania hao 80% aliowalenga Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kutachochea maendeleo ya Viwanda na kupunguza gharama za uzalishaji na hivyo kuleta nafuu ya maisha kwa walaji wa mwisho ambao ni Wananchi,
Kafulila amesifu juhudi za Serikali ya awamu ya Sita ( 6 ) chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukamilisha Bwana la Mwl Nyerere (JNHPP) kwani limechochea upatikanaji wa Umeme wa uhakika na wa ziada na hivyo kufikia mwaka 2030 kwa kuingiza bajeti ya $13bn kama alivyoazimia Rais Samia Suluhu kwenye azimio la Dar es salaam Tanzania itakuwa na Umeme wa uhakika zaidi ifikapo mwaka 2030.
Sasa hebu Msikilize Kafulila wewe mwenyewe
View attachment 3226422
Sawa ila ghafla sana, Angewapa muda watu wajiandaeHaichukii bali anaipenda.
Mtu anapunguza utegemezi wake kwako kwasabu ya mambo ya upuuzi unayoyafanya huyo anakupenda
Hahaha Mkuu.Sawa ila ghafla sana, Angewapa muda watu wajiandae
Mkuu nijuavyo mimi uwekezaji wowote lazima utengeneze ajira,UTANGULIZI tu unienipa kichefuchefu hata nimeonelea nisipoteze data yangu kusikikiza.
Muulizeni kafulila na masisism.
tri 13 hizi zitalazowekezwa dar zitaleta uwekezaji wowote ktk product zitazotumika ktk uwekezaji huo, au kutakuwa ni chanzo cha any production of goods nchini ili kuongeza ajira zitakazotokana na uzalishaji wa ndani endelevu na kuongeza ajira au tutaendelea kununua bidhaa zilizozalshwa na Wamachinga wa nchi nyingine.
Ili vijana wa tz tujikomboe tunahitaji viongozi wenye vision ya kushawishi uzalishaji wa bidhaa ndani ya nchi badala ya kuegemea kwenye impotation.
13 tri zinaweza kutengeza ajira zaidi ya 10k iwapo mtaji huo ungewelezea ktk kuzalisha bidhaa zenye mahitaji ya kila mwaka kama kutengeza Viatu vya wanafunzi nchini, mabegi, penseli, daftari, mikanda, charger, cover, soli.
Unaumiza kuona watoto 90% wa kijijini kwangu wakivaa bajaj huku tz ikihesabika kuwa ni nchi inayoongoza kuwa na ng'ombe wengi.
Inashangaza.
Inahsangaza kuona kule India vifaa vingi vinatemgezwa na Wamachinga wa kihindi na tz kuna kuwa ni soko lao.
Kuna mifano mingi tu kwa YouTube.
Kwanini ufurahie mateso ya Watanzania?Hahaha Mkuu.
Ukiwa na nyumba na ukajua njia ambayo panya wanatumia kuingilia kwako na kufanya uharibifu ukishaijua hutakiwi kufanya maamuzi mara mbili mbili namna ya kuifunga.
Sifurahishwi kivyovyote na hizo issues za kusitisha huduma muhimu haswa za vidonge, nina ndugu wengi wanaishi zaidi ya miaka 20 sasa kwa support ya ARV.Kwanini ufurahie mateso ya Watanzania?
Wewe uko nchi gani?
ARVS zikikosekana watu wengi watakufa,
Ndg zako pia watakufa
Rais Samia atatumia $13bn sawa na TZS 33Trilioni kusambaza nishati safi TZS 13Trilioni zitatoka PPP ?
In the year ending May 2024, Tanzanian exports of goods and services increased by 15% to USD 14.5 billion. On the other hand, imports of goods and services decreased by 5.7% to USD 16.1 billion
View attachment 3226470
Source : BoT Benki Kuu ya Tanzania
Nadhani kuanzisha kiwanda Cha ARVs sio jambo gumu labda tulikosa utashi Kwakuwa tulizipewa bure,Sifurahishwi kivyovyote na hizo issues za kusitisha huduma muhimu haswa za vidonge, nina ndugu wengi wanaishi zaidi ya miaka 20 sasa kwa support ya ARV.
Hivi unafahamu kuwa kenya na baadhi ya nchi Afrika wao wanazalisha hizi dawa toka nchini mwao.?
Je miaka yote hii tumeshindwa kuwekeza kwenye research za kutosha ili walau kununua kibali cha kuzalisha.?
Ukiwa Tanzania na ukaona vile ambavyo pesa nyingi haitimiki kwenye mambo yenye tija kwa maisha halisi ya wa Tanzania utaafikiana na hii issue ya Trump.
Tunatakiwa kujifunza wapi tunakosea kama Taifa ambalo lina miaka 63 mwezi mmoja na siku 27, na kisha tukubali na tuamue kuanza upya kujifunza kujitegemea kwa kuanza kufanya maboreshe yamsingi ya vile tunatakiwa kutumia rasilimali tulizo nazo(Kama tunaendelea kuwa na poor allocation ya resources na kuhakikishia tuatendelea kuwa kituko kwa vizazi vyetu zijavo)
Naweza kupata hilo azimio na Mimi nilisome?===
Akihojiwa na kituo cha utangazaji Cha ITV kwenye kipindi ya DK 45 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Kati ya Serikali na Sekta binafsi nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila amefafanua haya "Kuhusu mpango wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kutumia Sh trilioni 33 sawa na $13bn kuwekeza kwenye nishati safi kati ya pesa hizo kiasi cha $5bn karibu TZS 13 Trilioni sawa 40% zitatoka sekta binafsi,PPP "
Kafulila amesema upatikanaji wa nishati safi kwa Watanzania hao 80% aliowalenga Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kutachochea maendeleo ya Viwanda na kupunguza gharama za uzalishaji na hivyo kuleta nafuu ya maisha kwa walaji wa mwisho ambao ni Wananchi,
Kafulila amesifu juhudi za Serikali ya awamu ya Sita ( 6 ) chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukamilisha Bwana la Mwl Nyerere (JNHPP) kwani limechochea upatikanaji wa Umeme wa uhakika na wa ziada na hivyo kufikia mwaka 2030 kwa kuingiza bajeti ya $13bn kama alivyoazimia Rais Samia Suluhu kwenye azimio la Dar es salaam Tanzania itakuwa na Umeme wa uhakika zaidi ifikapo mwaka 2030.
Sasa hebu Msikilize Kafulila wewe mwenyewe
View attachment 3226422
Huna hoja kabisa ndg yanguUTANGULIZI tu unienipa kichefuchefu hata nimeonelea nisipoteze data yangu kusikikiza.
Muulizeni kafulila na masisism.
tri 13 hizi zitalazowekezwa dar zitaleta uwekezaji wowote ktk product zitazotumika ktk uwekezaji huo, au kutakuwa ni chanzo cha any production of goods nchini ili kuongeza ajira zitakazotokana na uzalishaji wa ndani endelevu na kuongeza ajira au tutaendelea kununua bidhaa zilizozalshwa na Wamachinga wa nchi nyingine.
Ili vijana wa tz tujikomboe tunahitaji viongozi wenye vision ya kushawishi uzalishaji wa bidhaa ndani ya nchi badala ya kuegemea kwenye impotation.
13 tri zinaweza kutengeza ajira zaidi ya 10k iwapo mtaji huo ungewelezea ktk kuzalisha bidhaa zenye mahitaji ya kila mwaka kama kutengeza Viatu vya wanafunzi nchini, mabegi, penseli, daftari, mikanda, charger, cover, soli.
Unaumiza kuona watoto 90% wa kijijini kwangu wakivaa bajaj huku tz ikihesabika kuwa ni nchi inayoongoza kuwa na ng'ombe wengi.
Inashangaza.
Inahsangaza kuona kule India vifaa vingi vinatemgezwa na Wamachinga wa kihindi na tz kuna kuwa ni soko lao.
Kuna mifano mingi tu kwa YouTube.
Nahitaji Azimio lenyewe
Hii jisomee wameiandaa vizuri
Kwa Kafulila Upinzani tulipoteza mtu muhimu sana===
Akihojiwa na kituo cha utangazaji Cha ITV kwenye kipindi ya DK 45 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Kati ya Serikali na Sekta binafsi nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila amefafanua haya "Kuhusu mpango wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kutumia Sh trilioni 33 sawa na $13bn kuwekeza kwenye nishati safi kati ya pesa hizo kiasi cha $5bn karibu TZS 13 Trilioni sawa 40% zitatoka sekta binafsi,PPP "
Kafulila amesema upatikanaji wa nishati safi kwa Watanzania hao 80% aliowalenga Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kutachochea maendeleo ya Viwanda na kupunguza gharama za uzalishaji na hivyo kuleta nafuu ya maisha kwa walaji wa mwisho ambao ni Wananchi,
Kafulila amesifu juhudi za Serikali ya awamu ya Sita ( 6 ) chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukamilisha Bwana la Mwl Nyerere (JNHPP) kwani limechochea upatikanaji wa Umeme wa uhakika na wa ziada na hivyo kufikia mwaka 2030 kwa kuingiza bajeti ya $13bn kama alivyoazimia Rais Samia Suluhu kwenye azimio la Dar es salaam Tanzania itakuwa na Umeme wa uhakika zaidi ifikapo mwaka 2030.
Sasa hebu Msikilize Kafulila wewe mwenyewe
View attachment 3226422
Tatizo la jamaa ni mkweli sana na hana Kona Kona kile anachoamini kinafaida kwa Wananchi anakifanya na kukitetea hata kama umma hautamwelewa kwa haraka tofauti na viongozi wengine wanaosakiziana na kutaka waonekane wema tu kila wakatiKafulila kawa dalali wa Ikulu