Vipi akitumia njia ya Harare sio karibu zaidi?Mkuu zingatia tairi za hiyo gari usitumie ilizokuja na gari pitia Lusaka hapo Nakonde kuna road toll,bima,council hizo. kukata nadhani hazizidi 100 usd unapita Living Stone kazungura kuelekea Botswana kuingia Botswana unalipia usd 50 kwa kuingia na utakaporudi hautalipia tena utaruhusiwa kupita hizo karatasi kupata ni saa moja tuu pita boarder iliyo karibu na Gaborone kuingia haina magari mengi hata utakapotoka. South Africa kuingia haulipii kitu kupata document pale umbali kutoka Tunduma mpaka pretoria ni 2700 km..
Njia ya harare usumbufu police rushwa ya usd 20 kila akisimamishwa ataiweza na kutoka beitbridge kuingia Zim wakati wa kurudi wanataka deposit kwa kila ulichobeba hata kama ni Transit...tunapenda kupita Botswana hakuna usumbufu kama vizuri...Vipi akitumia njia ya Harare sio karibu zaidi?
Mkumbushe aangalie na uchakavu wa gari maana south africa wanaangalia sana utoaji wamoshi wasije mzuia pale mpakani plzzNjia ya harare usumbufu police rushwa ya usd 20 kila akisimamishwa ataiweza na kutoka beitbridge kuingia Zim wakati wa kurudi wanataka deposit kwa kila ulichobeba hata kama ni Transit...tunapenda kupita Botswana hakuna usumbufu kama vizuri...
na mimi ninasafari naomba unisindikizenaomba nikusindikize kwa ajili ya utalii tu, tukashangae wote.
Mkuu Isanga family shukrani kuna kitu hapa nataka kujua ntakuwassup...Mkuu zingatia tairi za hiyo gari usitumie ilizokuja na gari pitia Lusaka hapo Nakonde kuna road toll,bima,council hizo. kukata nadhani hazizidi 100 usd unapita Living Stone kazungura kuelekea Botswana kuingia Botswana unalipia usd 50 kwa kuingia na utakaporudi hautalipia tena utaruhusiwa kupita hizo karatasi kupata ni saa moja tuu pita boarder iliyo karibu na Gaborone kuingia haina magari mengi hata utakapotoka. South Africa kuingia haulipii kitu kupata document pale umbali kutoka Tunduma mpaka pretoria ni 2700 km..
Naufuatilia huu uzi kwa makini maana namwomba Mungu anijalie nikanunue gari huko then nidrive to bongo ninionee mazingira na iwe adventure
Mkumbushe aangalie na uchakavu wa gari maana south africa wanaangalia sana utoaji wamoshi wasije mzuia pale mpakani plzz