Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

Udaktari tiba ni fani nyeti na ngumu sana lakini cha kushangaza daktari anapata salary ya Tsh.1,500,000 gloss hukuhandisi wa Civil pale TANROADS(case study) anapata 2,000,000
Clinical officer/tabibu =950,000 huku Civil Technician=1,118,000 per month

Kwa staili hii case za rushwa zitaisha huko hospitali na vituo vya afya?

Tafadhali serikali wapeni madaktari uzito unaostahili kwenye malipo,wanatumia kusoma na wanaumia kazini.

Hata kwenye stahiki za posho na benefits zingine daktari hamfikii mhandisi lakini pia mhandisi hasa wa civil wako kwenye industry ambayo possibility ya yeye kupata pesa ni kubwa kuliko watu wa afya hadi semina zije.

Chonde chonde serikali mnapopanga viwango mliangalie hili na ule mpango wa kuwianisha malipo ya wafanyakazi walio na elimu moja limeishia wapi?
HUYU MLETA UZI HANA AKILI NI CHIZI LA MUHIMBILI
 
Value ya mtu kwenye jamii yake,
Haulipwi kwa muda wa kukaa darasani, Wala muda wa kufanya kazi Bali kwa value uliyotoa.
Usain bolt alitumia dakika 2 kujipatia bilioni 70 tzs.
 
Huwezi toa hoja bila kudhihaki? Huko Muhimbili ndo unakopatia matibabu kuokoa afya na uzima wako.

Khaaah
TUMIA AKILI SERIKALI AILIPI MISHAHARA KWA MIAKA ULIYOKUWA SHULE BALI INALIPA KWA VALUE YA KAZI UNAYO FANYA SIKU KWA SIKU....HUYU MLETA UZI NI WALE WAPUMBAVU ANAOTAKA KULIPWA MISHAHARA KWA SABABU YA MAKARATASI YA VYUONI NA SI KAZI WANAZO FANYA SIKU KWA SIKU HILO NI TATIZO LA WAFANYAKAZI WENGI WAPUMBAVU....
 
TUMIA AKILI SERIKALI AILIPI MISHAHARA KWA MIAKA ULIYOKUWA SHULE BALI INALIPA KWA VALUE YA KAZI UNAYO FANYA SIKU KWA SIKU....HUYU MLETA UZI NI WALE WAPUMBAVU ANAOTAKA KULIPWA MISHAHARA KWA SABABU YA MAKARATASI YA VYUONI NA SI KAZI WANAZO FANYA SIKU KWA SIKU HILO NI TATIZO LA WAFANYAKAZI WENGI WAPUMBAVU....
Basi sawaa.
 
Back
Top Bottom