Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,738
- 13,044
Spunda jeMgombea wa CCM Mpya asipojisahihisha ataangukia nafasi ya tano nyuma ya Bernard Membe na Prof. Ibrahim Haruna Lipumba.
Na msimamo wa ligi kuelekea Ikulu kwa kuwepo ktk gumzo la kisiasa mwisho wa mwezi huu wa tisa (september) utasomeka hivi (hapo chini) na hivyo mwezi wa Oktoba yote utakuwa mwezi wa kuteseka sana kwa mgombea wa CCM Mpya na wafiaChama wahafidhina wa CCM Mpya:...