CUF: Tunahofia Mauaji Zanzibar

Naibu katibu mkuu wa CUF bara SAKAYA hajui hata katiba ya CUF wala ya muungano.Yeye ni nani kuongelea mambo ya Zanzibar? Na ndio maana walimpa unaibu katibu mkuu bara.Uchaguzi wa Zanzibar hauwahusu watanzania bara.Kumwita Raisi wa Zanzibar Raisi haramu ni kuingilia mambo ya ndani ya nchi huru ya zanzibar ambayo ina naibu katibu mkuu wake wa CUF wa Zanzibar.

SAKAYA hakutakiwa kupora madaraka ya naibu katibu mkuu wa CUF zanzibar na kuyaongelea ya Zanzibar.

SAKAYA asiwachokoze wazanzibari.Wao hawajawahi tamka kuwa magufuli ni raisi haramu wala kutukana kiongozi yeyote wa bara aliyechaguliwa kuwa ni haramu.Wazanzibari wakimbadilikia Sakaya mimi simo kayataka mwenyewe kuingilia mambo ambayo hata Magufuli hayaiingilii kwa kuwa anajua ni kuvunja katiba.
Polis na wanajeshi wametoka bara hata pesa za Uchakachuaji pia hivyo ndivyo vinawahusu ?
 
Jaji mkuu Zanzibar hadi kalalamika.Kasema kama kuna mtu aliona Jecha kakosea au kuna tatizo la kisheria alitakiwa kwenda mahakamani.Lakini hakujawahi funguliwa shauri lolote na CUF.

CUF ni waendesha siasa za maigizo za kitoto tena kitoto sana.Yote wanayosema mitaani yawe ya Jecha au nani.Hayana ushahidi ni uzushi ndio maana hawakwenda mahakamani.
Kwanini mlijificha
 
ssa mkuu unaejua katiba ya kafu tukuamini vipi sijaona kifungu cha katiba ulicho nukuu ili tukuamini baada ya reference, naona unapoza donda kwa kutoa ya moyoni

sema inauma sana ujue

Nenda kasome katiba ya CUF.Inasemaje kuhusu kazi za naibu katibu mkuu wa CUF bara ni zipi? Na kasome katiba hiyo inasema kazi za naibu katibu mkuu wa CUF zanzibar ni zipi?

Huyu naibu katibu mkuu wa CUF bara kakurupuka.Mipaka ya kazi yake mwisho bara.YA Zanzibar si yake.
 
Nenda kasome katiba ya CUF.Inasemaje kuhusu kazi za naibu katibu mkuu wa CUF bara ni zipi? Na kasome katiba hiyo inasema kazi za naibu katibu mkuu wa CUF zanzibar ni zipi?

Huyu naibu katibu mkuu wa CUF bara kakurupuka.Mipaka ya kazi yake mwisho bara.YA Zanzibar si yake.

mwenyewe huja soma, waendeshwa kwa hisia tu

kama umesoma weka hapa tatizo nni binti?
 
mwenyewe huja soma, waendeshwa kwa hisia tu

kama umesoma weka hapa tatizo nni binti?

Siwezi kufanyia homework.Endelea kusikiliza taarifa za vikao vya urojo vya darajani badala ya kusoma katiba na sheria.
 
CUF haifiki 2020 itakufa na ndio itakuwa mwisho wa machotara kuwapelekesha wa znz wasiojielewa.

Sakaya kama nyie mna uchungu susieni bunge na serikali ya muungano pia. Sio mnataka rais wa muungano aingilie ila nyie mnawauza wenzenu kwa kisingizio mpo bara.
 
Naibu katibu mkuu wa CUF bara SAKAYA hajui hata katiba ya CUF wala ya muungano.Yeye ni nani kuongelea mambo ya Zanzibar? Na ndio maana walimpa unaibu katibu mkuu bara.Uchaguzi wa Zanzibar hauwahusu watanzania bara.Kumwita Raisi wa Zanzibar Raisi haramu ni kuingilia mambo ya ndani ya nchi huru ya zanzibar ambayo ina naibu katibu mkuu wake wa CUF wa Zanzibar.

SAKAYA hakutakiwa kupora madaraka ya naibu katibu mkuu wa CUF zanzibar na kuyaongelea ya Zanzibar.

SAKAYA asiwachokoze wazanzibari.Wao hawajawahi tamka kuwa magufuli ni raisi haramu wala kutukana kiongozi yeyote wa bara aliyechaguliwa kuwa ni haramu.Wazanzibari wakimbadilikia Sakaya mimi simo kayataka mwenyewe kuingilia mambo ambayo hata Magufuli hayaiingilii kwa kuwa anajua ni kuvunja katiba.
Haramu!!
 
JK Nyerere alipotoka madarakani akaona mabofu mengi akasema karne ya 21 itashuhudia Madikteta wengi wakihamia Afrika na kuacha Ulaya ikichapa Mwendo kuelekea Uchumi mkubwa na Uongozi imara

Madikteta wakiacha RAIA wakishambuliwa na Maradhi, Umaskini na Utawala mbovu
 
Najaribu kufikiria Shein ataongozaje watu wasio na imani naye au ndio ili mradi anaishi ikulu na ccm imelazimisha ushindi maisha yanaendelea.
 
ssa mkuu unaejua katiba ya kafu tukuamini vipi sijaona kifungu cha katiba ulicho nukuu ili tukuamini baada ya reference, naona unapoza donda kwa kutoa ya moyoni

sema inauma sana ujue

Unapoandika uwe umesoma katiba ya CUF ujue majukumu ya naibu katibu mkuu CUF BARA NA YALE YA naibu katibu mkuu wa CUF zanzibar halafu usome katiba ya muungano,Katiba ya serikali ya zanzibar na sheria ya tume ya UCHAGUZI zanzibar.Ukizisoma hizo kwa pamoja utajua SAKAYA kachemka tena sana.

SIKUWEKEI KASOME MWENYEWE.
 
Hakuna mauaji huko ila mkitaka kuuwawa mtakufa kweli,sasa mnataka haki gani iwapo mmegomea uchafuzi?kubalini lolote kwani hamkuhusika kwenye uchaguzi
 
Siwezi kufanyia homework.Endelea kusikiliza taarifa za vikao vya urojo vya darajani badala ya kusoma katiba na sheria.

ooh yes katiba na sheria tanzania. bora nisome chemistry, pure mathematics na physics

mliosoma katiba na sheria kama mazezeta always yes sir@sitakuangusha

sham on u
 
Unapoandika uwe umesoma katiba ya CUF ujue majukumu ya naibu katibu mkuu CUF BARA NA YALE YA naibu katibu mkuu wa CUF zanzibar halafu usome katiba ya muungano,Katiba ya serikali ya zanzibar na sheria ya tume ya UCHAGUZI zanzibar.Ukizisoma hizo kwa pamoja utajua SAKAYA kachemka tena sana.

SIKUWEKEI KASOME MWENYEWE.

unamda wakusoma wewe, fyuuuuuu.......
 
Magari ya polisi ruksa zanzibar sababu ni jeshi la muungano ambalo limekubaliwa ndani ya katiba kuwa liweko pande zote za muungano.Polisi ni jambo la muungano pamoja na JWTZ lakini uchaguzi wa Zanzibar si jambo la muungano.POLISI NA JWTZ RUKSA KUJAZANA Zanzibar popote wapendapo katiba imeruhusu hilo la uchaguzi WA zANZIBAR KATIBA HAIJARUHUSU SI JAMBO LA MUUNGANO ndio maana hata raisi wa muungano hawezi liingilia.
Sasa kama uchaguzi sio jambo la muungano mbona kuna wawakilishi/wabunge wanaotoka zanzibar kuja kushiriki katika bunge la jamhuri ya muungano?
 
Kweli mkuu waache kelele.Mtu kama unajidai Zanzibar nzima wanakupenda wewe.Si uende kura za marudio? Hata zikirudiwa mara mia wewe utakuwa ndio mshindi maana wazanzibari wote wa kwako!

Wamesusa watulie.CCM ILISUSA UCHAGUZI WA MEYA ILALA UKAWA kwa kauli moja wakasema CCM wasuse wasisuse watajijua uchaguzi utafanyika.Na ukafanyika kweli na meya wa UKAWA akachukua.

Na Zanzibar ujumbe ni huo huo CUF wasuse uchaguzi huo unaenelea!!! Ya Ilala hayo yako Zanzibar
Ukawa wameamua kukaa pembeni ili kuwapisha ccm mshinde kwa kishindo maana kushindwa hamtaki.Amani iliyopo bara na visiwani ni subira na uvumilivu wa upinzani.ccm wao ni watu wa shari tu.
 
Back
Top Bottom