Couple mpya mjini, Aslay na Rubi

hao ni watanzania
young kiler na mis hip hop ni wanamuziki au ndio nayasikia leo hayo majina
Young killer ni msanii wa hip hop alitokea fiesta super nyota, "DEAR GAMBE " Ni moja ya vibao vyake , mm sio mpenzi wa hip hop lkn huyu dogo namsikilizaga yupo vizr
 
Rubby alishaachana na Soud Brown cku mingi

Dogo Ashley piga mambo hiyoooo piga mambo hiyoooooooooooooooo
 

Hii ndio "couple mpya" mliyokuwa mnaizungumzia?

Kundi la YAMOTO BAND wameungana na RUBY kukuletea wimbo wao mpya SUU...


Pakua hapa Suu Ft. Ruby - Mkubwa Na Wanawe

 
Kweli kila mtu na chaguo lake.. yaani huyu Rubi kweli
Rubby alishaachana na Soud Brown cku mingi

Dogo Ashley piga mambo hiyoooo piga mambo hiyoooooooooooooooo
ila mkuu hawa watoto walikuaje wakaimba wanaogopa kupwelepweta ilihali wamengia mulemule kwa wazee
yaani huyu Dada Ana damu ya kunguni cjui yaan.ckapendi tu mungu anisamehe
Hii ndio "couple mpya" mliyokuwa mnaizungumzia?

Kundi la YAMOTO BAND wameungana na RUBY kukuletea wimbo wao mpya SUU...


Pakua hapa Suu Ft. Ruby - Mkubwa Na Wanawe

View attachment 356172
Mission accomplished.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…