CONCERN: Why are all car manufacturers setting up shop in Kenya? Iko wapi Tanzania ya viwanda?

Hizo ni "assembly plants", Tanzania tumejikita katika "manufacturing plants".

Watengeneza magari sisi ndiyo tutawapa malighafi, mfano tuna kiwanda kikubwa sana cha chuma kinamea hapo Bagamoyo, unafikiri wateja wake ni akina nani?

Kuna kiwanda kikubwa sana cha "batteries" za kipekee kinakuja karibuni Tanzania, malighafi ya hizo battery ipo Tanzania. Zitatumika hususan kwa magari ya kutumia battery kama chanzo kikuu cha nishati. Unalijuwa hilo? Au nikumwagie data?

Viwanda ambavyo vipo njiani kuwekwa Tanzania ni ajabu kwa Afrika, kumbuka hilo.
Unajuwa nimegunduwa watanzania wengi hawana taarifa kuhusu nchi yao. Sijuwi kosa ni serikali au ni la watu wenyewe. Ule mgodi wa Nickel JPM alikwemda akasema mwekezaji aondoke ili tanki la maji liwekwe pale juu. Tatizo pale lilikuwa sio mradi wa maji, tatizo ni malighafi iliyopo pale chini na wawekezaji walio kimbilia kujimilikisha wakati wa JK. Kama watu hawajuwi, nickel ndio mtaji wetu mkubwa wa kututoa shimoni kuliko gesi. Tunavyo kwenda mbele maisha ya kila mtu duniani yatategemea uhifadhi wa umeme. Kuanzia matumizi ya nyumani mpaka kwenye biashara. Badala ya hiyo hela kuja kwetu moja kwa moja, eti ipite kwa mwekezaji halafu mwekezaji atuchezee mchezo wa kitoto wa kusema anakula hasara, hayo ndio tusiyo yataka.

Your right, uzalishaji wetu ni tofauti na Kenya, kwasababu sisi tumejikita kwenye kutumia malighafi za ndani zaidi ya za nje.
 
Mwanzi1 tatizo hivi vitu havitangazwi vizuri, PR kwa serikali zetu za Tz imekuwa shida sana, wanaweza fanya mambo mengi mazuri ila kama watu wa PR hawako active watahukumiwa vibaya baadae.
Hata mimi nimeliona hilo, PR kwetu bado. Sio kama hakuna kinachofanyika lakini taarifa ni finyu sana. Na waandishi wetu sio wachokozi wa kujuwa mambo, wengine wanatafuta story za haraka haraka bila kuenda deep na kutangaza nchi yao vyema.
 
Ujui uhusiano wa siasa viongozi na uchumi pole sana kwani hiyo miaka CCM aikuwepo CCM ni tatizo kuu tz
Si bora hilo li-PHD linasaidia kuleta vitu vina-boost investment? Mfano infrustructures. Akibahatika second term awekeze ktk reliable energy na mengineyo. Hilo PHD lina guts za kufanya mahamuzi magumu lakini muhimu. Tusubiri baada ya miaka 15 - 25 ndio tutaona hizi makitu anafanya. Itakuwa ukijenga kiwanda cha ku-process beef au maziwa DODOMA unapakia ktk train ya mwendokasi unapeleka DSM na nchi jirani. TZ hakuna chama cha upinzani kilichoiva tayari kushika usukani(nchi). Tulidhania CDM itafaa lakini ilikuja kuvuruga kila hope tuliyokuwa nayo juu yake na sasa watu tumebaki hopeless. Tunashabikia rambi rambi na kwenda msibani sijui Neyo wa Mitego badala ya kutumia hiyo nguvu kwenda kuomba kufuta au kupunguza utitiri wa kodi na tozo za kijinga kila kona. Kwanini hao wapinzani wasiende bungeni kupigia kelele hizi kitu badala ya kulilia wapewe kuongea msibani na kumlilia Wema Sepetu kaonewa. Sasa hii movement ya kumshabikia Wema Sepenga imeishia wapi? Hii ndio akili yetu ni vile tunapigwa bao mambo ya msingi kama Sera bora za kuvutia Investment.
 
Wabongo wanatafuta big investors. The engine for growth in any economy including uchumi wa marekani is small and medium sized businesses. Until wajifunze kulea hizi businesses and the investors who start them, ( both internal and external), kazi ya kuvutia investors itakuwa kibarua. I wall business environment is conducive to small businessmen, the big guys will come tu
 
Hizo ni "assembly plants", Tanzania tumejikita katika "manufacturing plants".

Watengeneza magari sisi ndiyo tutawapa malighafi, mfano tuna kiwanda kikubwa sana cha chuma kinamea hapo Bagamoyo, unafikiri wateja wake ni akina nani?

Kuna kiwanda kikubwa sana cha "batteries" za kipekee kinakuja karibuni Tanzania, malighafi ya hizo battery ipo Tanzania. Zitatumika hususan kwa magari ya kutumia battery kama chanzo kikuu cha nishati. Unalijuwa hilo? Au nikumwagie data?

Viwanda ambavyo vipo njiani kuwekwa Tanzania ni ajabu kwa Afrika, kumbuka hilo.
Umenifunua uelewa wangu. Sikulifahamu hili kwa jicho la ziada.
 
Unaweza usipoteze ila ukachangia kupoteza! Ingekuwa haupotezi majaji, wanajeshi na watu wengine wangeruhisiwa kuwa wanachama wa vyama vya siasa!

Lakini hao watu hawaruhusiwi kwa kuamini itikadi ya chama inaweza kupunguza ufanisi wa kazi!

Kwa hiyo kwa namna moja ama nyingine ukada unaweza kuchangia kupunguza ufanisi!

Hii ni kwa vyama vyote, sio pinzani wala tawala!
achana na huyo mzembe tu wakufikiri.
 
Hii ni mara yangu ya kwanza kuona watanzania kwa huu upande wa Kenyan news wakijadiliana kama watu wazima... Wakenya wenzangu nawasihi msiandike coment ambazo zina uchochezi... Ni mara nyingi sana tumewaingilia watanzania kwa kuharibu na kunyamba nyamba kwa mada nzuri nzuri tulizoanzisha na hua tunawalaumu... kama wanajadiliana kiungwana basi pia sisi tufanye hivyo.... mada za matusi na madharau ziko nyingi hapa JF, kama mtu hajakutukana usimtukane. Akikutusi au kuchochezea hapo ndo unamfanyia mambo...
 
Niseme nimefurahia mjadala mzuri wa mambo yanayotuhusu kama WaTz na wana EAC kwa ujumla.
Kwa mtazamo wangu shida yetu hapa Tz ni kukosa policy kama vile mkuu mmoja alisema sio kipindi kirefu. Leo mkulu anasema atajenga viwanda haoneshi vizuri vitakuwa vinatokea wapi vikielekea wapi. Rais mwingine akija anachukua muda mrefu kututoa kwenye gia tuliyokuwa nayo kutuelekeza kwingine. Hiki kinatia kichefuchefu kwa wawekezaji.
 
Anyway, nafikiri tofauti ya kenya na Tanzania ni kwamba Kenya tuna uzoefu kwa mambo flani, mambo ya makampuni kama ya magari, bidhaa, nguo... hua tumetengeneza environment nzuri sana kwa biashara aina hizi, alafu tuko na sheria ambazo zinamlinda mwekezaji kama huyu...Hata rais akiamka leo na kuamua hamtaki mwekezaji flani hapa Kenya, , kama huyo mwanabiashara hataki kuondoka hakuna lolote ambalo rais anaweza fanya (Kihalali), akimfanyia lolote koti inaeza amua alipwe fidia nyingi zaidi ya alichoharibiwa.... mazoea haya yamefanya tuwe na wafanyikazi ambao wako tayari kupiga kazi kwani tayari tunazifahamu kazi aina hizo.. Kumbuka enzi zile kabla mchina auwe masoko yetu na bidhaa zake za bei rahisi, kenya ilikua na makampuni mengi sana yalioajiri wataalam wa hapa hapa.....kumbuka zile manyanga na mabasi ya kubeba abiria(matatu) hua zinatengezewa hapa hapa kenya, kwahivyo skilled labour tuko nayo...
Lakini ikija kwa aina zengine za biashara kama vile madini na malighafi, Kenya bado haina uzoefu, muekezajia akija kenya atazungushwa na kupata shida sana kwasababu hatujazoea uekezaji aina hio... Tofauti na tanzania ambako mmeshazoea...




Anyway assembly plants

Press Release - Daimler India Commercial Vehicles
Mombasa, Kenya / Kawasaki, Japan / Chennai, India – Daimler Trucks Asia and its Kenyan partners Simba Colt and AVA (Associated Vehicles Assemblers) have celebrated the start of CKD production of the all-new robust FUSO range at the AVA assembly plant in Mombasa, Kenya.

Mr. Marc Llistosella, President and CEO of MFTBC and Head of Daimler Trucks Asia: “This start of production in Kenya underlines our commitment to further developing the African market as part of our global growth strategy. It also marks another significant development of Daimler’s business on the continent just weeks after the grand opening of the Daimler’s regional center in Nairobi, which brings us closer to our commercial vehicle customers in East, Central and West Africa.”

Mr. Erich Nesselhauf, Managing Director and CEO, Daimler India Commercial Vehicles: “We have been successfully exporting completely built-up all-new robust FUSO vehicles from India for almost three years – and now we enter the next stage with the assembly of vehicles in Africa, for Africa.”
SOP-FUSO-Mombasa.jpg






Tata Africa to assemble trucks in Kenya | Latest News & Updates at Daily News & Analysis


Tata Africa Holdings, a subsidiary of Tata International, is planning to set up a motor vehicle assembly unit in Kenya to enhance presence in the east side of the continent.

Tata Africa plans to assemble pick-ups and light commercial vehicles to compete against Chinese and other international manufacturers, the Business Daily newspaper said.

“At this point of time, we do not wish to comment on this,” a Tata Africa Holdings spokes-person told DNA Money.

Currently Tata Motors operates in Africa through Tata Motors (SA) (Proprietary), a joint venture with Tata Africa Holding (Pty) Ltd.

However, it is not clear whether the new assembly plant in Kenya will be a joint venture project between Tata Motors and Tata Africa
assembling-plant.jpg






German Firm in Deal to Build Kenya Assembly Plant - Ministry of Industry, Trade and Cooperatives

grader.jpg


A local company has partnered with a German heavy machinery maker in a Sh23 billion venture that will see the assembly of road construction and agricultural equipment done in the country.

Bico, which is registered in Kenya, has partnered with Liebherr to build an assembling plant in Nairobi starting end of the year.

Bico founder Andrew Malunga said the company has set a target to produce at least 30 units a month comprising of earth movers, water drilling machines and farm machinery such as tractors.

The investors have an eye on county governments as their main customers.

"As the counties grapple with the huge mandate of providing residents with good roads and agricultural machinery, there is the challenge of equipment and we expect that this venture will come in handy for the devolved units," he said, adding that assembling the equipment locally will help reduce their prices.

"Marketing of the farm inputs locally will, for instance, save taxpayers from excessive taxation, and the spare parts for the machines will also be readily available," he said.

Transform country

He added that they have acquired five acres of land in Nairobi where the assembly plant will be situated, while a showroom will be built in Malindi.

"The infrastructure developments that have been initiated by the government will transform this country and proper equipment for construction are required. We believe that we have come in at the right time to provide these equipment," said Mr Malunga.

While a loader imported from Germany costs over Sh20 million, the ones that will be assembled in the country will cost about Sh13 million, said managing director Shadrack Mwangolo.

Mr Malunga said the company will set up stations in each county and employ machinery operators to enable the devolved units lease the equipment, creating at least 5,000 jobs across the country.
 
kilam
Cicero
REDEEMER.

NAIROBI – Rising demand for commercial vehicles and luxury cars pushed new and used motor-vehicle registrations in Kenya to nearly 100,000 units last year, according to the Kenya National Bureau of Statistics.
Reporting in the agency’s 2015 economic survey, director general Zachary Mwangi notes the 102,606 newly registered motor vehicles in the country in 2014 was up about 9.0% from 94,017 units in 2013. Both totals include trailers.
“Specifically, the number of commercial panel vans and pickups increased by 28%, from 9,819 units in 2013 to 12,568 units in 2014,” Mwangi says.
Sales of new heavy trucks rose 11.6%, from 9,570 units in 2013 to 10,681 in 2014.
Mwangi tells WardsAuto he expects new-vehicle registrations to set another record this year as a result of robust construction, energy-sector development and continued growth in tourism, despite Kenya’s engagement in a counterterrorism war in neighboring Somalia.

Yes this were toys imported in 2015

We are now in 2017

Msishangae Kenya ikiingisha Magari Laki Mbili hii mwaka
 
New-vehicle dealers sold a record 17,499 units in 2014, a figure that has increased despite the government’s removal of restrictions on imports of used cars in the early 1990s.

Leo 2017

3yrs on

kilam
 
Back
Top Bottom