Chinese Company wins tender to build Africa's tallest tower in Kenya

huwezi ukafika bei ya Nairobi hata kama ni kule Kibera...too good for a poor tanzanian
Nimelala Tune Hotel, Westlands 5 days nitashindwa kulala Kibera? Nakuja kwa research for 2 weeks tuta hang together utanisaidia nisivamiwe na machokoraa.
 
Nimelala Tune Hotel, Westlands 5 days nitashindwa kulala Kibera? Nakuja kwa research for 2 weeks tuta hang together utanisaidia nisivamiwe na machokoraa.

Huyu mwingine hata Hajafika District headquarters ya Kijiji chake cha Ujamaa... kazi tu ni google left right and centre..... Duuh. Wadanganyika si watatuonyesha mambo.... Sips! Tea.
 
Watanzania WENZANGU Acheni kujifananisha na Kenya labda kama mnafanya utani. Kenya ni Habari nyingine kwenye ishu ya uchumi na ukuaji wa majiji tutawapiga kwenye population na vivutio tunayo vingi kuwazid Ila Kwa mji unaokua Kwa KASI Africa Nairobi inafanya vizuri
 
Huyu mwingine hata Hajafika District headquarters ya Kijiji chake cha Ujamaa... kazi tu ni google left right and centre..... Duuh. Wadanganyika si watatuonyesha mambo.... Sips! Tea.
Pole ila usilinganishe maisha unayoishi wewe na wengine, kama unaishi kwa shida usifikiri na huyu unachat nae ana life kama yako, utakosa fursa maishani.
 
Tehehehee.... The last i checked you were not a comedian
Ila Nai kila mtu mwizi, nimeingia club manzi mmoja nimemnunulia bia tano anataka kwenda kulala na mimi, amenipa discount from $200 to $20 kumbe nia akaniibie, nikakataa kwenda nae akaondoka kumbe amefuata police wananichukua toka city center mpaka Kilalacho Police station eti nimesex nae sijamlipa pesa, manager wa hotel akanifuata na kunitoa bila kulipa single coin, acheni wizi mazee.
 
Ila Nai kila mtu mwizi, nimeingia club manzi mmoja nimemnunulia bia tano anataka kwenda kulala na mimi, amenipa discount from $200 to $20 kumbe nia akaniibie, nikakataa kwenda nae akaondoka kumbe amefuata police wananichukua toka city center mpaka Kilalacho Police station eti nimesex nae sijamlipa pesa, manager wa hotel akanifuata na kunitoa bila kulipa single coin, acheni wizi mazee.

Acha Porojo ya vijiweni. Si Dar es salaam kila mtu ni conman..... Utapeli tu every street.
 
Ila Nai kila mtu mwizi, nimeingia club manzi mmoja nimemnunulia bia tano anataka kwenda kulala na mimi, amenipa discount from $200 to $20 kumbe nia akaniibie, nikakataa kwenda nae akaondoka kumbe amefuata police wananichukua toka city center mpaka Kilalacho Police station eti nimesex nae sijamlipa pesa, manager wa hotel akanifuata na kunitoa bila kulipa single coin, acheni wizi mazee.
wewe mpumbavu mkubwa...manzi wa Nai wako na class yao...akiskia tu hicho kiswahili chako cha kitanzania na kifukara anajipea shuguli...ni nini mkenya anaweza tamani kutok kwa mtanzania?
 
Acha Porojo ya vijiweni. Si Dar es salaam kila mtu ni conman..... Utapeli tu every street.
Dar is a good place, ukiwa town wako busy lakini wame smile, Nai hata ulipotea njia huwezi kuuliza kila mtu unaepishana nae kama analia au ameibiwa kitu anamtafuta mwizi wake, Si wanaume au wanawake.
 
Dar is a good place, ukiwa town wako busy lakini wame smile, Nai hata ulipotea njia huwezi kuuliza kila mtu unaepishana nae kama analia au ameibiwa kitu anamtafuta mwizi wake, Si wanaume au wanawake.
nai kama new york bana..watu wanajishighulisha...hkuna wakati wa salamu za peni mbili....sio kama dar watu wanajikokota....ndio maana mko nyuma vile nyie wavivu
Soma jinsi mzungu huyu alivyosema kuhusu Kenya na Tanzania
 
Dar is a good place, ukiwa town wako busy lakini wame smile, Nai hata ulipotea njia huwezi kuuliza kila mtu unaepishana nae kama analia au ameibiwa kitu anamtafuta mwizi wake, Si wanaume au wanawake.

White piece of liar there
 
Mbona wabongo wanatabia za kike hivi, kufuatafuata watu kila mahali bila kuitwa, sasa kwa huu uzi wabongo kazi yao nini??
Nimeshindwa kureason nao kwenye uzi wa Dar vs Nairobi, ukishindana na mwehu watu hawatajua tufaoti, sasa kwenye huu uzi wenye hauwahusu pia washa fika???
 
Mbona wabongo wanatabia za kike hivi, kufuatafuata watu kila mahali bila kuitwa, sasa kwa huu uzi wabongo kazi yao nini??
Nimeshindwa kureason nao kwenye uzi wa Dar vs Nairobi, ukishindana na mwehu watu hawatajua tufaoti, sasa kwenye huu uzi wenye hauwahusu pia washa fika???

They are like that.I think they have lots of time to gossip. Zile hadith za vijiweni. So with the little tech on their phones they become quite an a nuisance
 
Mbona wabongo wanatabia za kike hivi, kufuatafuata watu kila mahali bila kuitwa, sasa kwa huu uzi wabongo kazi yao nini??
Nimeshindwa kureason nao kwenye uzi wa Dar vs Nairobi, ukishindana na mwehu watu hawatajua tufaoti, sasa kwenye huu uzi wenye hauwahusu pia washa fika???

Baadhi ya hawa wenzetu wanatabia nzito sana. Kweli ujamaa ulijenga chuki kweli kweli kwa mioyo ya watu. Na kama wanadhania Maghufuli atabadilisha chochote, then they're in for a big surprise.
 
Back
Top Bottom