Cheo kipi ni kikubwa kati ya Balozi na Director General

Mdini ni wewe ulieanza kuuendekeza mtu afanye madudu aachwe tuu eti kisa nii Muislamu??? akafugue msikiti awe sheikh....tena mnyamaze maana wapo watu wamesimamishwa kazi na ni wa imai nyingine watu wamekaa kimya kuteuliwa yule bwana kuwa mzee wa nyumba kumi tena nje ya nchi mnapiga kelele tana naomba apelekwe Somalia akatuwakilishe huko vizuri
Hii awamu ni awamu ta udini wa hatari, udini wa waziwazi ukiongozwa na Mkuu mwenyewe
 
bora tu alivyotolewa NSSF,..jana nimeenda NSSFnimekuta hali ambayo sikuipenda.......
nilkuwa na MTU flani shehe kavaa kanzu na balaghashia, sio mzee........
alihudumiwa kwa heshima na kuitwa kwa wahudumu wa mbele pale M3..minlibaki nimekaa2
na nikapitwa,walimsaidia yule shehe hatua zake zote hadi akamaliza shida zake...
dau kaweka udini kule
Ungeona zile documents ambazo ziliwekwa hapa asubuhi na moderators wakaharakisha kufunga uzi nadhani mngeacha haya mawazo yenu ya kipuuzi. Na kv mmejawa mawazo ya kipuuzi unadhani kila anayevaa kanzu ni shehe.
 
Mashirika ya umma yana hela na kujiendesha. Ubalozi ni cheo cha heshima na Hauna pesa. Ubalozi unatija kwenye nchi chache sana, kwa watanzania wengi waliozoea kuishi kiujanjaujanja ubalozi hauna maana. Kicheo balozi ni mkubwa kuliko DG
 
Ukikuta PSPF Mwenye Kanzu ndio kaachwa na wahudumu anahudumiwa mwenye Tishert na Jeans au suti ungekuja na theory gani?
Donald Trumph anatujua Vizur Waafrika kuliko tunavyojijua. Sometime tunahitaji kuwa Recolonized. Haiwezekani vitu visivyo serious tuvichukulie serious na vilivo serious tusivichukulie serious.
Siku Mzee Mkapa anamteua Dr.Dau kutoka Marketing Manager TPA mwaka 2000 kuwa DG NSSF hata Dau mwenyewe alijua one day ataondoka NSSF,iweje kuondoka kwake tufanye ajenda ya Kitaifa kudhalilisha imani za watu?
unaifahamu vzr NSSF kabla dau hajaenda???
 
unaifahamu vzr NSSF kabla dau hajaenda???

Naifahamu kabla haijawa NSSF ikiitwa NPF naifahamu ikiwa na Mustapha Mkulo tangu 1989 naifahamu ikiwa na Dau tangu 2000. Je wewe unafahamu athari itokanayo na kuchezea amani kwa kisingizio chochote? Unaweza ku deal na
Dau kwa kadri unavyotaka au kuweza lakini kuanza kuchochea au kuhamasisha udini kutaweza ku dilute hata ubora wa hoja yako! Hivi Customer care CRDB akiniacha kunihudumia na kumhudumia mara kadhaa mteja wa kichagga basi kwangu itoshe kuamini madai kuwa Kimei ni Mkabila? Mie siwezi kutumia kigezo hiki hata kama utanishawishi!
 
barozi ni rais wa nchi ndani ya nchi, kama unasakwa na serikali we nenda tu hata ubarozi wa sudan afu wakupokee ujibanze pale hakuna polisi wala mjeshi atakatiza pua yake pale aje kukukamata labda ubalozi wenye wakutoe. yaani utakuwa sawa na uko nchini sudan
 
Kwa DG wa NSSF Ubalozi hauwezi kuwa juu kwani NSSF ni shirika kubwa na linajishughulisha na mambo ya maendeleo (at least wakati wa Dau). Atakuwa ametolewa diplomatically. Hopefully atapelekwa nchi yenye uhisiano wa kibiashara/uwekezaji mkubwa au misaada mingi ya technologia na Tanzania ili aendelee kutumia elimu yake.
 
Ukitaka kujua Barozi na DG nani mkubwa waulize wale waliokuwa mabarozi tena Ulaya lakini walipoona ubarozi haulipi waliamua kurudi na kugombea ubunge potelea mbali hata kama watakosa uwaziri. Tanzania tuna mabarozi wengi sana, je ni wangapi unawajua. Kuna jenereli mmoja aliwahi kupewa ubarozi, tangu hapo sijawahi kumsikia tena na wala sijui kama anaendelea na ubarozi wake au ndo asharudi. Kifupi ukiwa barozi unakuwa total isolated.
Barozi = Balozi
 
Nawauliza Ndugu zangu wana JF kuwa Balozi na kuwa Director General wa Shirika kama LAPF, kati ya hizo kipi ni cheo kikubwa?
Usisema LAPF sema NSSF pension fund ambayo ni one of the biggest in the country.
 
Wote hao ni maafisa usalama wa taifa...vyote ni vitengo vyao, wao wanajua nini wanafanya
 
Sina hakika ukubwa au udogo wa Cheo unaouliziwa hapa ni katika kona ipi. Lakini, Cheo ni kikubwa kutokana na mtu mahali alipo si suala la mshahara au idadi ya walio chini yake.

DG wa shirika la umma kwa mfano ni mkubwa kwa nafasi yake pale alipo na uhusiano wa shirika lile kwa umma; lakini pia Balozi ni mkubwa pale ubalozini hata kama ana watu wawili chini yake--Yeye ndiye taswira na mwakilishi wa Taifa katika Nchi aliyotumwa, yeye ndiye serikali kwa upande huo.
 
Tulia "kitu chenye ncha kali kikuingizie dawa",ulikuwa ni miongoni mwa watu waliokesha mitandaoni 'wakihubiri ujio wa nabii mpya wa ccm',mbona unaanza kwenda kinyume na nabii wako?
 
Ubalozi ulimpoteza kabisa Col. Dr. Jaka Mwambi........hata hajulikani yuko wapi sasa hivi. Otherwise alikuwa na nyota nzuri sana ndani ya CCM.

Jaka%20Mwambi.jpg


Jaka Mgwabi Mwambi was a Tanzanian politician and diplomat. Mwambi is a former Regional Commissioner of Rukwa Region, Tanga Region and Iringa Region and was Deputy Secretary-General of the Chama Cha Mapinduzi party,until he was replaced by George Mkuchika, a Member of Parliament from Newala district, in November 2007.

Mwambi was appointed as the Ambassador of the United Republic of Tanzania to the Russian Federation, and presented his credentials to the Russian Ministry of Foreign Affairs on 24 July 2008, and to President Dmitry Medvedev on 18 September 2008
 
Back
Top Bottom