Goodluck Mchika
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 1,228
- 1,138
LAMPARD AMESHASHINDWA KUPATA 11 ANAYOIAMINI DAH SUB Z AKILI KASHINDWA
Hao wote wamekuwepo coz ya ban waliyopewaChelsea ni kama kikundi cha madereva bajaji waliojikusanya wakapashe baada ya kupiga mishe zao.
Hakuna kitu, kuanzia kocha mpaka asilimia 80-90 ya wachezaji, hivi mtu kama Mason Mount anaweza akaanza timu gani kubwa yenye mpango wa kuchukua kombe lolote kubwa ulaya ?
Hapo sijamtaja caballero , giroud , james na wapuuzi wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora nn sasa
Hakuna mchezaj hata wa sub anayeweza badilisha matokeoLAMPARD AMESHASHINDWA KUPATA 11 ANAYOIAMINI DAH SUB Z AKILI KASHINDWA
Last season ya wap mkuu...Huu huu msimu... Wacha awakanyage hawa London babies wamezidi kuongea.Gnabry anawataka nn hawa waingereza last season Spurs aliwafanya vibaya saiz anataka kuwafanyia nn tena blues
![]()
Unajipitisha pitisha mbele ya wanaume umevaa kanga moko imelowa unatikisa wowowo kwanini usiliwe mtungo??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlifungiwa hadi January kwan
Kuna baadhi ya comments ukisoma unaelewa kabisa huyu mtu ndio anaanza kujifunza kushabikia.
Mlifungiwa hadi kusajili January?Kuna baadhi ya comments ukisoma unaelewa kabisa huyu mtu ndio anaanza kujifunza kushabikia.
Ungeachana naye tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpo mbele kwa goli 3 kwakuwa ni CabareloIngekuwa ni Kepa tungekuwa nyuma kwa goli 3-0
Mnatia huruma nyie, poleni sana maana sioni dalili za nyie kupindua meza huko ujerumaniDah Kila la kheri chama langu timu ya baba timu ya mama...
Chama la maisha yangu the blues..
In Lampard We Trust..
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau kuhamisha mpaka na sufuriaKuanzia leo nimehamia aston villa