"ALISIKIKA MLEVI MMOJA AKISEMA HAYO ULIYOYAANDIKA"

Swali ni Je Kwanini na nyinyi Musibahatishe?
Au bahati ipo kwa wengine tu lakini si kwa Chelsea?

Maneno ya Mkosaji hayo yenu

Kama kubeba CL ni kubahatisha! Next season bahatisheni na Nyinyi
I doupt kama wewe unaongeaga kwa kutumia the relevant part of your brain, bahati itabaki kuwa bahati au kiingereza luck au gambling. huwezi kuamua kubahatisha
 
Kama Sarri ataondoka basi itakuwa vigumu sana kumpata tena top manager kuja darajani. Sarri is a top coach na ndani ya msimu mmoja amebadili style of play. Kama angepewe msimu mwingine mmoja basi kandanda ambayo ingepigwa darajani funs wengi wangei-admire Chelsea. Na nakuhakikishia kocha atakaye kuja hata top four Chelsea haitaingia. Kuondoka Sarri ni sawa na kuwaruhusu Tottenham na Man U waingie top four for free. Mashabiki wengi wa Chelsea are still immature. They don't know where to stand. Kazi kufuata upepo tu

Mkuu watizame tu hao vijana, ni watu wasiojielewa kabisa. Waache wajiandae na nafasi ya 6.
 
I doupt kama wewe unaongeaga kwa kutumia the relevant part of your brain, bahati itabaki kuwa bahati au kiingereza luck au gambling. huwezi kuamua kubahatisha

Katika Mpira hakuna bahati! Kuna Uwezo na Mbinu... Period.
 
Ronaldo Velverde na Countinho
But Brazilian Ronaldo says putting the blame on those two and then praising Messi when they win shows a ’tremendous lack of respect.’
"Barcelona have a great team, and they have the best player in the world in Messi," Ronaldo said.
"The other day I heard that when they lose, it's because of Valverde, Coutinho... but not Messi. And when they win, Barcelona win because of Messi"
"It's a tremendous lack of respect to all the players and the coaching staff."
 
Makocha wote wangekuwa kama Zinedine ingekuwa poa sana

Zenedine asema atasepa kama mabosi wake wataingilia kati uchaguzi wake wa wachezaji

ZINEDINE ZIDANE has threatened to walk away from Real Madrid if he feels undermined over team selections.

"I will decide who will be the first and second choice goalkeepers," Zidane said.
"It's my decision. It's as clear as water. If I can't do what I want with my team, I'll leave, that's for sure.
"Then there are people who sign players and we do that together.
"But the starting 11, the bench, those that aren't in the squad, that's only for me to decide."
Zidane has made it clear that he wants Gareth Bale to leave the club this summer.

"If I've said goodbye to him, if I want him to leave... there's one game left," the French coach said.
"The goalkeeper position will be very clear next year, but nothing more. We'll see what happens.
"As for Keylor, who knows what I've told him, no one knows. I've spoken with everyone. Navas has a contract, then we'll see."
 
Uhamisho wa Hazard bado ni kizungumkuti baada ya mazungumzo kati ya Chelsea na Real Madrid kuvunjika bila makubaliano hapo juzi, jumatatu
 
Ukitaka kujua kuwa Europa League ni mojawapo ya ligi yenye kuheshimiwa Ulaya ona nafasi ambayo Chelsea itakaa next UCL season kwa sababu ya kuwa bingwa wa Europa

Kwenye uchaguzi wa kupanga timu kwenye group wanapanga kwa kufuata pot level
Ziko pots kama nne

Pot 1
Hii poti wanawekwa mabingwa wa ligi za Ulaya ambazo ni UEFA na EUROPA
Pia wanawekwa mabingwa wa ligi sita bora za Ulaya ambazo ni EPL, Laliga, Serie A, Bundesliga, Ligue 1 na Ligi ya Urusi
Timu zilizopo kwenye hii poti ni
Barcelona (La Liga),
Manchester City (Premier League),
Juventus (Serie A),
Bayern Munich (Bundesliga),
Paris Saint-Germain (Ligue 1),
Zenit Saint-Petersburg (Russian Premier),
Liverpool (Champions League)
Chelsea (Europa League).
Pot 2
Real Madrid, Atletico Madrid, FC Porto*, Tottenham Hotspur, Borussia Dortmund, Napoli, Shakhtar Donetsk, Ajax*
Pot3
Benfica, Dynamo Kiev*, Lyon, Bayer Leverkusen, FC Salzburg, Valencia, Inter Milan, Celtic*
Pot 4
FC Copenhagen*, Dinamo Zagreb*, Lokomotiv Moscow, Genk, Galatasaray, RB Leipzig, Atalanta, Lille

* lazima wapiti kwenye qualifying stage
NB: timu za poti ya kwanza hawawezi kupangwa kwenye group stage pamoja na hivyo hivyo timu za ligi moja hawawezi kupangwa kwenye group moja
 
Ukitaka kujua kuwa Europa League ni mojawapo ya ligi yenye kuheshimiwa Ulaya ona nafasi ambayo Chelsea itakaa next UCL season kwa sababu ya kuwa bingwa wa Europa

Kwenye uchaguzi wa kupanga timu kwenye group wanapanga kwa kufuata pot level
Ziko pots kama nne

Pot 1
Hii poti wanawekwa mabingwa wa ligi za Ulaya ambazo ni UEFA na EUROPA
Pia wanawekwa mabingwa wa ligi sita bora za Ulaya ambazo ni EPL, Laliga, Serie A, Bundesliga, Ligue 1 na Ligi ya Urusi
Timu zilizopo kwenye hii poti ni
Barcelona (La Liga),
Manchester City (Premier League),
Juventus (Serie A),
Bayern Munich (Bundesliga),
Paris Saint-Germain (Ligue 1),
Zenit Saint-Petersburg (Russian Premier),
Liverpool (Champions League)
Chelsea (Europa League).
Pot 2
Real Madrid, Atletico Madrid, FC Porto*, Tottenham Hotspur, Borussia Dortmund, Napoli, Shakhtar Donetsk, Ajax*
Pot3
Benfica, Dynamo Kiev*, Lyon, Bayer Leverkusen, FC Salzburg, Valencia, Inter Milan, Celtic*
Pot 4
FC Copenhagen*, Dinamo Zagreb*, Lokomotiv Moscow, Genk, Galatasaray, RB Leipzig, Atalanta, Lille

* lazima wapiti kwenye qualifying stage
NB: timu za poti ya kwanza hawawezi kupangwa kwenye group stage pamoja na hivyo hivyo timu za ligi moja hawawezi kupangwa kwenye group moja
August 14 mjiandae kichapo kule Instabul ambapo tulibeba Champions League ya 2005
 
Uhamisho wa Hazard bado ni kizungumkuti baada ya mazungumzo kati ya Chelsea na Real Madrid kuvunjika bila makubaliano hapo juzi, jumatatu
Ndio maana hazard alisema yeye pia hajui anaondoka au anabaki, yote itategemea Chelsea wataelewana vipi na real madrid.

Ana mkataba wa mwaka mmoja umebaki wanaweza kumwacha aondoke bure mwakani kama hawatafikia makubaliano.

Chelsea wao wanataka pauni million 130 bila kipunguzo cha aina yoyote
 
Eid Mubarak
IMG_20190605_102934.jpeg
 
Asee hazard wamuachie tu kama wamefika 120 ni mchezaji gani aliyebakisha mwaka akauzwa 120 pia mwakani atakuwa na 29,wakigoma watafanya mchezaji acheze chini ya kiwango kwa makisudi bila sababu ,aliyotufanyia dogo yanatosha
 
Ukitaka kujua kuwa Europa League ni mojawapo ya ligi yenye kuheshimiwa Ulaya ona nafasi ambayo Chelsea itakaa next UCL season kwa sababu ya kuwa bingwa wa Europa

Kwenye uchaguzi wa kupanga timu kwenye group wanapanga kwa kufuata pot level
Ziko pots kama nne

Pot 1
Hii poti wanawekwa mabingwa wa ligi za Ulaya ambazo ni UEFA na EUROPA
Pia wanawekwa mabingwa wa ligi sita bora za Ulaya ambazo ni EPL, Laliga, Serie A, Bundesliga, Ligue 1 na Ligi ya Urusi
Timu zilizopo kwenye hii poti ni
Barcelona (La Liga),
Manchester City (Premier League),
Juventus (Serie A),
Bayern Munich (Bundesliga),
Paris Saint-Germain (Ligue 1),
Zenit Saint-Petersburg (Russian Premier),
Liverpool (Champions League)
Chelsea (Europa League).
Pot 2
Real Madrid, Atletico Madrid, FC Porto*, Tottenham Hotspur, Borussia Dortmund, Napoli, Shakhtar Donetsk, Ajax*
Pot3
Benfica, Dynamo Kiev*, Lyon, Bayer Leverkusen, FC Salzburg, Valencia, Inter Milan, Celtic*
Pot 4
FC Copenhagen*, Dinamo Zagreb*, Lokomotiv Moscow, Genk, Galatasaray, RB Leipzig, Atalanta, Lille

* lazima wapiti kwenye qualifying stage
NB: timu za poti ya kwanza hawawezi kupangwa kwenye group stage pamoja na hivyo hivyo timu za ligi moja hawawezi kupangwa kwenye group moja

Hapo Group B litakuwa na:

Chelsea
Atletico Madrid
Intermilan
RB Leipzig
 
Ndio maana hazard alisema yeye pia hajui anaondoka au anabaki, yote itategemea Chelsea wataelewana vipi na real madrid.

Ana mkataba wa mwaka mmoja umebaki wanaweza kumwacha aondoke bure mwakani kama hawatafikia makubaliano.

Chelsea wao wanataka pauni million 130 bila kipunguzo cha aina yoyote
Zenedine Zidane alishasema asipompata mwaka huu basi tena

Mgogoro upo kwenye paundi milioni 12-30
Chelsea still want over £100m for Hazard, but Real Madrid are refusing to pay more than €100m - a price difference of over £12m.
Nadhani wao Chelsea wanataka Mil 130 wakishuka kabisa ni mil 112
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom