Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,653
Baba jescaIna maana kitwanga amesema baba nanii muongo au sijaelewa mimi?
Baba jescaIna maana kitwanga amesema baba nanii muongo au sijaelewa mimi?
Kwani walimnywesha pombe aache uongo visingizio vya uongo kama wenzakeAliyekuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi ndugu Kitwanga amelieleza gazeti la Majira leo tarehe 5 Julai kuwa wauza unga ndio walio muondoa katika nafasi yake ya uwaziri na taarifa zilizotolewa na ikulu ni uongo mtupu.
Hii sio kauli ya kawaida, ni nzito na ya kuogofya inatia Shaka pia kujua hao wauza unga wenye mamlaka makubwa namna hii ni akina nani? Kwa hiyo wamemshugulikia yeye ili biashara iendelee kushamiri hapa nchini?
Taarifa Kama hii ni fedheha kwa Mtukufu na mamlaka yake. Ingekuwa kama kule Marekani Kitwanga angeitwa na kuhojiwa na shirika la ujasusi la F.B.I ili atoe taarifa muhimu juu ya mtandao huo hatari unaoangamiza taifa wakati yeye kumbe anawajua vizuri.
Mimi naona Kitwanga anayo mengi ya moyoni toka huko Israel alikoenda kupata mafunuo ya kimungu.
Huyo ni Mwana Ccm, kwa nini ahojiwe? Angekuwa Ukawa angeshahojiwa. Hii ni Tanzania!!!!!!!/////kwa polisiccm hutasikia chochote kuhusu kuitwa!
Ala!. Kumbe ni kweli naniliu kasema uongo ili kulinda wauza na kumtosa mshikaji!Umemuelewa sema tu
Hapo ni lugha za kikubwa mkuuAla!. Kumbe ni kweli naniliu kasema uongo ili kulinda wauza na kumtosa mshikaji!
Mkuu nankumene ulitegemea kuwa katolewa ili kulinda maslahi ya mtu?katiba hairuhusu wauza madawa ya kulevya kumtimua kazi waziri...cjui anamaanisha nn labda kwa kauli yake hio sasa bwana kitwanga
Msimpige chini bana angalau mtafaidi hayo magodoro na bodaboda wengine wawakilishi wetu hawana hizo fursa za kupiga mahela!Sisi wapiga kura wake tumesha inote hiyo,pamoja na kutuletea magodoro na boda boda hatubadilishi maamuzi,tupo tayari kumpiga chini
Hiyo ndiyo hali halisiHuyo ni Mwana Ccm, kwa nini ahojiwe? Angekuwa Ukawa angeshahojiwa. Hii ni Tanzania!!!!!!!/////
A subiri hukumu ya wanyonge tumuadabisheMsimpige chini bana angalau mtafaidi hayo magodoro na bodaboda wengine wawakilishi wetu hawana hizo fursa za kupiga mahela!
Hayo ni maneno ya Kitwanga? Basi ana maana hao wauza madawa wameweka presha kwa Rais ili aondolewe? Au walimnywesha madawa akiwa nao?Aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi ndugu Kitwanga amelieleza gazeti la Majira leo tarehe 5 Julai kuwa wauza unga ndio walio muondoa katika nafasi yake ya uwaziri na taarifa zilizotolewa na ikulu ni uongo mtupu.
Hii sio kauli ya kawaida, ni nzito na ya kuogofya inatia Shaka pia kujua hao wauza unga wenye mamlaka makubwa namna hii ni akina nani? Kwa hiyo wamemshugulikia yeye ili biashara iendelee kushamiri hapa nchini?
Taarifa Kama hii ni fedheha kwa Mtukufu na mamlaka yake. Ingekuwa kama kule Marekani Kitwanga angeitwa na kuhojiwa na shirika la ujasusi la F.B.I ili atoe taarifa muhimu juu ya mtandao huo hatari unaoangamiza taifa wakati yeye kumbe anawajua vizuri.
Mimi naona Kitwanga anayo mengi ya moyoni toka huko Israel alikoenda kupata mafunuo ya kimungu.
hapana mkuuMkuu nankumene ulitegemea kuwa katolewa ili kulinda maslahi ya mtu?