STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Unafaa kuwa mke basindivo nilivo
Unafaa kuwa mke basindivo nilivo
Mmemechisha si mchezomsife moyo wadau, hata mm niliopoa kifaa toka humu jf, kabint kananiitaga dume la mbegu![]()
![]()
View attachment 517589
kupotezeana tu mbSi ungenijibu tu huko huko pm sio kuniumbua huku
ameen mvua zimezidiAll the best....utapata mtu mwema akufaae.
HahahahahNyani ngabu Inaonekana anayapunga mashetani vizuri ha ha ha ha.
kivipi bonnyMbona kama angalizo la upande mmoja tu?
Yaan limekaa kama wanaotoa matangazo ni wa kwel 100% wakat sio kwel maana kuna mmoja alinisababishia Ban kisa utata wa jinsia yake.kivipi bonny
mmmhUsiwe na shaka wakati wako ukifika utampata atakaye fanana nawe
ahahaaa pole anataka umbemende?Umepatia kabisa!!!
Mimi niliweka bandiko langu hapa nikasema kabisa sitaki viserengeti boys ila eti Mtoto ka miaka 20 akanifuata PM... Si uchokozi huoooo!![]()
pole sanaYaan limekaa kama wanaotoa matangazo ni wa kwel 100% wakat sio kwel maana kuna mmoja alinisababishia Ban kisa utata wa jinsia yake.
Weka limit ya miaka basi tujiasesUmepatia kabisa!!!
Mimi niliweka bandiko langu hapa nikasema kabisa sitaki viserengeti boys ila eti Mtoto ka miaka 20 akanifuata PM... Si uchokozi huoooo!![]()
NiliwekaWeka limit ya miaka basi tujiases
Mbona mimi sijaliona hilo bandiko? Ningekuwa wa kwanza.Umepatia kabisa!!!
Mimi niliweka bandiko langu hapa nikasema kabisa sitaki viserengeti boys ila eti Mtoto ka miaka 20 akanifuata PM... Si uchokozi huoooo!![]()
Na ndio maana hata wanaojibu hayo matangazo wanajibu utumbo kwasababu wanajua waweka matangazo wanachezea watu akili.Yaan limekaa kama wanaotoa matangazo ni wa kwel 100% wakat sio kwel maana kuna mmoja alinisababishia Ban kisa utata wa jinsia yake.