kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,254
- 12,237
Kivipi yani?Wenye mashamba ni wananchi na wamegomeshwa.Je,serikali iwapige mabomu?
Kivipi yani?Wenye mashamba ni wananchi na wamegomeshwa.Je,serikali iwapige mabomu?
Wanashawishiwa na upinzani kuwa,wakikubali mashamba yao yawekewe miundo mbinu ya umwagiliaji,serikali itawanyang'anya na kuwapatia wachina ili walime miwa,kitu ambacho si kweli.Kivipi yani?
Huu Mradi ni wa kuwawezesha wananchi wenyewe.Ukiyanunua mashamba yao halafu Mradi ukikamilika utampatia mashamba nani.Walengwa wa Mradi ni wao.Wanufaika ni wao.Wanaboreshewa tu mashambaNunua mashamba yao weka mradi, unataka kuweka mradi kwenye shamba la watu, mbona barabara zikivamiwa mnavunja nyumba zao?
Mimi hapa naeleza ukweli.Sasa hayo mengine unayajua wewe.Beki mkabaji wa lumumba naona anafanya mashambuliz kwa ujira wa buku 7
POLE SANA. UNATUMIKA KM CONDO.M
Hekima ni bora zaidi kuliko.........Huyu kama kachanganyikiwa
Kwako ukweli ndiyo uongo?.Nadhani ni vizuri kama una access na viongozi wa CDM Taifa uwashauri waingilie katipunguza uongo mtoa mada hii