Tetesi: Chama amesaini mkataba wa mwaka mmoja kwa mabingwa Yanga

Ilikuwa ni tetesi sasa yanetimia, baada ya club ya yanga kuisaka saini yake kwa miaka kadhaa hatimaye wamempata.

Star na kipenzi cha wanasimba Chama miaka 33 baada ya kuitumia club hiyo kwa miaka kadhaa, hatimaye ameenda kula pensheni yake nzuri tu ya uzeeni huko kwa mahasimu yanga sc.

Simba sasa wameamua kuachana na mastaa wake wote.

Chama ❌
Mikson ❌
Saidoo ❌
Inonga ❌
Bocco ❌

Manula naye tia maji tia maji, kila lakheri mwamba wa Lusaka, wewe ni legend wetu. Mimi pekee nitakukumbuka kwa lile goli lako la kisigino dhidi ya Nkana.


6824B39E-139A-4000-A83A-592E322CE757.jpeg
 
Viongozi wetu wameanza kusajili kwa mihemko. Chama wa nini atacheza nafasi ya nani? Yanga hawahitaji mchezaji goigoi.
 
Kila msimu Yanga wanamsajili.
Sidhani kama Yanga wanamsajili ila wachambuzi na media zetu zinataka trends ndio zinavumisha habari za chama kwenda Yanga na inawezekana Chama mwenyewe yupo nyuma ya hizo kwani anajua ili avute mpunga mrefu msimbazi ni lazima aonekane anatakiwa uoande wa pili.

Jamaa umri umemuenda, Yanga hawawezi kimbizana wala muhitaji sasa. Arudi tu kwao Zambia au aende Namungo ila sidhani kama Yanga wanamtaka kweli.
 
Viongozi wetu wameanza kusajili kwa mihemko. Chama wa nini atacheza nafasi ya nani? Yanga hawahitaji mchezaji goigoi.
Hata mi nashangaa akacheze wapi? Mtu ana 30's sasa wa nini? Pia viongozi hawawezi msajili huyo. Hayo mambo yanakuzwa na media zetu ili zipate follower wengi na zi trend ila hakuna kitu kama hiko.
 
Taarifa kutoka kwa viongozi wa Clatous Chama wamedai kiungo Mshambuliaji wa Simba amefanikiwa kutia saini ya mwaka mmoja na Mabingwa wa ligi kuu ya NBCPL ambao ni Yanga
kwahiyo Chama msimu ujao tunaweza kumshuhudia akiwa ameva uzi wa njano na kijani akikiwasha inavyopaswa.

Licha Chama ameoneka mara kadhaa akihusishwa kujiunga na Yanga lakini dili linafeli ngoja tuone msimu huu itakuwaje.

View attachment 3023926
Utakuwa usajili mzuri kwa Yanga ataongeza uzoefu na upana wa kikosi.
 
Tafuteni basi hate mchezaji mwingine msimu huu...sio kila mwaka Chama chama...chama mwenyewe sasa...
Kama ni kweli basi amesajiliwa kwa ajili ya kuwakera tu! Au kuna kiongozi mwenye mamlaka pale Yanga anamkubali sana.
 
Kama ni kweli basi amesajiliwa kwa ajili ya kuwakera tu! Au kuna kiongozi mwenye mamlaka pale Yanga anamkubali sana.
Ana uzoefu pia. Unajua wachezaji huwa kuna vitu vingi wanaleta ndani ya kikosi. Hata ule uzoefu tu unaweza leta matokeo tofauti kwenye msimu na vyumbani huko. Mfano Mkude, Japo hachezi mno ukichunguza kawasaidia Yanga hata kwenye mechi za kimataifa.
 
Taarifa kutoka kwa viongozi wa Clatous Chama wamedai kiungo Mshambuliaji wa Simba amefanikiwa kutia saini ya mwaka mmoja na Mabingwa wa ligi kuu ya NBCPL ambao ni Yanga
kwahiyo Chama msimu ujao tunaweza kumshuhudia akiwa ameva uzi wa njano na kijani akikiwasha inavyopaswa.

Licha Chama ameoneka mara kadhaa akihusishwa kujiunga na Yanga lakini dili linafeli ngoja tuone msimu huu itakuwaje.

View attachment 3023926
Aende tu, GSM na fedha nyingi sana za biashara.
 
Viongozi wetu wameanza kusajili kwa mihemko. Chama wa nini atacheza nafasi ya nani? Yanga hawahitaji mchezaji goigoi.
Aziz Ki anacheza nafasi ya Nani? Pacome anacheza nafasi ya Nani? Max anacheza nafasi ya Nani? Mudathiri anacheza nafasi ya Nani??

Hili swali eti Chama atacheza nafasi ya nani ni la kijinga Tu hakuna mtu mwenye nafasi... Kwa kifupi Chama atacheza nafasi yake....

Ohhhj chamaaaaaa Karibu Sana Kwenye timu ya mabingwa
 
Ana uzoefu pia. Unajua wachezaji huwa kuna vitu vingi wanaleta ndani ya kikosi. Hata ule uzoefu tu unaweza leta matokeo tofauti kwenye msimu na vyumbani huko. Mfano Mkude, Japo hachezi mno ukichunguza kawasaidia Yanga hata kwenye mechi za kimataifa.
Uko sahihi. Ingawa kasi yake kwa sasa imepungua, lakini bado kuna baadhi ya mechi alikuwa anacheza vizuri. All the best kwake. Mpira ni ajira. Kwangu mimi naona yeye ana unafuu zaidi kuliko Skudu na Okrah.
 
Uko sahihi. Ingawa kasi yake kwa sasa imepungua, lakini bado kuna baadhi ya mechi alikuwa anacheza vizuri. All the best kwake. Mpira ni ajira. Kwangu mimi naona yeye ana unafuu zaidi kuliko Skudu na Okrah.
Skudu ilikuwa dharura ile, sidhani kama alikuwa kwenye mipango ya uongozi.
 
YANGA HAIMUHITAJI CHAMA,HIZO PROPAGANDA ZA KILA MWAKA CHAMA KUWACHEZESHA MABOSS WA SIMBA ILI ALE MKWANJA MNENE BADO HUWA HAMZISHITUKII?

HIZO TETESI ZIMEANZIA KWA MASHABIKI WA SIMBA NA BAADHI YA WANAHABARI WALIOPEWA MLUNGURA ILI SIMBA WACHACHAWE WAONGEZE DAU!
 
Skudu ilikuwa dharura ile, sidhani kama alikuwa kwenye mipango ya uongozi.
Nadhani viongozi waliamua tu kujikosha baada ya kufanyiwa umafia kwa Fabrice Ngoma. Ila kiukweli alikuwa ni average player.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Uko sahihi. Ingawa kasi yake kwa sasa imepungua, lakini bado kuna baadhi ya mechi alikuwa anacheza vizuri. All the best kwake. Mpira ni ajira. Kwangu mimi naona yeye ana unafuu zaidi kuliko Skudu na Okrah.
Kwenye mechi nyingi ngumu kapoteana huyu. Msimu huu katamba tu dhidi ya wapinzani dhaifu. Umri ni tatizo, kabakiza akili tu ili kimwili hamna kitu. Kocha wa kiungo ana kazi ya kufanya na hata yeye ana kazi ya kufanya kutokuwa mvivu.
 
Back
Top Bottom