Tetesi: Chama amesaini mkataba wa mwaka mmoja kwa mabingwa Yanga

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Aug 29, 2022
226
552
Taarifa kutoka kwa viongozi wa Clatous Chama wamedai kiungo Mshambuliaji wa Simba amefanikiwa kutia saini ya mwaka mmoja na Mabingwa wa ligi kuu ya NBCPL ambao ni Yanga.

kwahiyo Chama msimu ujao tunaweza kumshuhudia akiwa ameva uzi wa njano na kijani akikiwasha inavyopaswa.

Licha Chama ameoneka mara kadhaa akihusishwa kujiunga na Yanga lakini dili linafeli ngoja tuone msimu huu itakuwaje.

Snapinsta.app_441958817_18308043058194188_4762338384745618402_n_1024.jpg
 
Isije tu ikawa mnataka kuwaingiza tena mkenge viongozi wa mbumbumbu Fc. Maana kuna tofauti kubwa kati ya yule Chama wa misimu kadhaa iliyopita, na huyu Chama wa sasa.
Kama atasajiliwa Chama huyu wa sasa sijui kama ataweza fit mfumo wa Gamondi maana haupatani na watu wavivu na wenye umri mkubwa. Mpira wa Gamondi, wachezaji wanatumia nguvu nyingi sana uwanjani. Isije ikawa yale yale ya Okrah kuishia kukaa tu nje.
 
Sioni nafasi ya Chama kwenye timu ya Yanga inayocheza mpira wa kasi na kila mchezaji anakaba kwa nguvu zote. Huyu Chama hakabi na huwa anakata tamaa akikabwa sana, naona atafeli mapema mno, japo anaweza kuwa sub nzuri ya Max kwenye dakika za jioni. Simuoni Chama akikiwasha kikosi cha kwanza Yanga. Hana huo msuli.
 
Sioni nafasi ya Chama kwenye timu ya Yanga inayocheza mpira wa kasi na kila mchezaji anakaba kwa nguvu zote. Huyu Chama hakabi na huwa anakata tamaa akikabwa sana, naona atafeli mapema mno, japo anaweza kuwa sub nzuri ya Max kwenye dakika za jioni.
Simuoni Chama akikiwasha kikosi cha kwanza Yanga. Hana huo msuli.
Upo sahihi
 
Back
Top Bottom