CHADEMA siasa za ukanjanja zitawaponza; Kutetea upuuzi kwa kigezo cha kutengeneza wapiga kura!

Mpaka sasa ukiachana Na wengine wote wa Upinzani ni Meya wa Kinondoni tu ndio namwelewa siasa.

Yule jamaa anajua anachokifanya, sio wengine wanasubiri Mbowe aseme ili waunge mkono.!
 
Igwe wanaJF

Nimeona siku ya leo kabla sijaenda kupumzika niwatobolee siri CHADEMA kuwa wanasiasa wengi mdani ya CCM miaka 10 hadi 20 iliyopita walijijenga kwa upotofu wa kutetea wavunja sheria na upuuzi.Nitawapa mifano;

Mwishoni mwa miaka ya 90 Mbunge wa ilala Iddi Simba alishawishi na kukataa wakazi wa bonde la msimbazi wasihamishiwe Segerea kwa kigezo kuwa ni porini ajenda iliyojificha "hawa ni wapiga wangu hivyo wangehama kura zake zingepungua" baadae akaachia ngazi baada ya kuchokwa.

Kumekuwa na kilio cha muda mrefu kuwa wanaosomea ualimu elimu yao duni mara nyingi wabunge wamelalamikia kuhusu kushuka kiwango cha elimu sasa serikali inaporejebisha suala hilo ninyi mnaona ndio fursa ya kutengeneza "wapiga kura" haya ngoja tusubiri.

Mara nyingi mnaongelea "mfumo" bila mnamamnamaanisha.Mfumo mzurimzurinaununaundwaatu wanaosimamia kanunkanuniio nadhanadhariai zisizotekelezwa,mfumo mzuri hurekebisha kasoro mara moja inapogundulika.

Chadema mlidhihaki mfumo wa JK kwa propaganda kumbe mioyoni mlinufaika kwa kushiriki uhalifu kuliangamiza taifa.

Kila siku mnasema watanzania wameelimika,sasa unafikiri hao walioelimika unafikiri viongozi wa Chadema mnaweza kuongea hizo propaganda wakawaelewa?.Lazima taifa lijisahihishe na kila mmoja wetu asimamie kanuni tujadili masuala na sio watu.Hivi siku ya kujadili bajeti ya serikali,Lugumi..nk mtasusa kisa Naibu Spika Dr.Tulia anaongoza kikao?

Haya ngoja tusubiri manake ripoti ya Twaweza ilisema upinzani unaungwa mkono na wasomi,na hulka ya wasomi ni kupima hoja.Muda ndio jibu zuri.

Nawakilisha.
Narrow minded, kama kuna kosa kubwa ambalo Ccm inalifanya ni ukandamizaji wa wazi wanaofanyiwa wapinzani.
Mfano ulio toa ni wa kitoto sana na usio endana na mazingira ya wakati huu. Wakati wa chama kimoja Mwl Nyerere hakutaka watu wasome ili wasimkosoe. Pia hqpakuwa na uwazi uliopo leo. Kufananisha siasa za leo na za kipindi kile ume loba step. Kwa hal ilivyo sasa Ccm inawajenga wapinzani kuliko wanavyo jijenga wao
 
Narrow minded, kama kuna kosa kubwa ambalo Ccm inalifanya ni ukandamizaji wa wazi wanaofanyiwa wapinzani.
Mfano ulio toa ni wa kitoto sana na usio endana na mazingira ya wakati huu. Wakati wa chama kimoja Mwl Nyerere hakutaka watu wasome ili wasimkosoe. Pia hqpakuwa na uwazi uliopo leo. Kufananisha siasa za leo na za kipindi kile ume loba step. Kwa hal ilivyo sasa Ccm inawajenga wapinzani kuliko wanavyo jijenga wao
Kijana CCM tuliwaambia hii mitandao mnayounda kutengeneza wapiga kura wakabisha.Sasa kazeni shingo.
 
Upinzani kutetea haki za hao raia haimaanishi wamepoteza dira. Ni ukweli usiopingika serikali hii inakurupuka sana matokeo yake wanajaribu kurectify tatizo kumbe wana create matatizo zaidi.
Kwa sasa kunatakribani vibaka to be 7000 serikali imesaidia kuwazalisha.
Hata yeye anakiri, "Kama huko nyuma tulikosea ni lazima kurekebisha mara moja" by JPJM
 
CHADEMA CHADEMA PEOPLES POWER... NYAMBAFU badala kukosoa kuwa Serikali inatumia hela nyingi kusomesha vilaza wao wanatetea?!!!! Bora limagufuli tu. Linamkosoa hata Jk
 
Mkuu tukiwaacha huku wanakula kodi zetu bure ni hasara.

Sasa unadadavua mno mkuu.ujue meno yalianza kufa ganzi baada ya Ccm kumteua Magufuli awe mgombea urais mwaka jana.Tangia hapo imekuwa kila mlango tunaoingilia kumbe ndio mlango wa kutokea,,assalaleee!!
 
bado lizaboni mwenzio simiyu yetu kisha weka sahaihi yake hapo vijana wa ze comedy jf.
 
CHADEMA CHADEMA PEOPLES POWER... NYAMBAFU badala kukosoa kuwa Serikali inatumia hela nyingi kusomesha vilaza wao wanatetea?!!!! Bora limagufuli tu. Linamkosoa hata Jk
Limagufuli bana haliogopi kitu linapiga kwakwenda mbele safi sana ngosha ila chadema wametuangusha kabisa.
 
Sasa unadadavua mno mkuu.ujue meno yalianza kufa ganzi baada ya Ccm kumteua Magufuli awe mgombea urais mwaka jana.Tangia hapo imekuwa kila mlango tunaoingilia kumbe ndio mlango wa kutokea,,assalaleee!!
Sasa wewe katika wachangiaji wote leo umenichekesha hasa kwamba kila mlango mkiingia kumbe ndiyo wakutokea......kazi kweli
 
Sasa wewe katika wachangiaji wote leo umenichekesha hasa kwamba kila mlango mkiingia kumbe ndiyo wakutokea......kazi kweli

Kaka huu ni msiba ingawa waswahili wanasema "kila msiba haukosi mchawi",tunahaha kumshika Magu uchawi lakini HOLA.
 
Chadema mlijichanganya kwenye suala la kubadili gia angani hadi leo mnakosa uhalali wa kujadili ama kuukemea ufisadi. Sasa niwatahadharishe mapemaaaaa! Suala la hawa vilaza a.k.a vihiyo wa udom achaneni nalo litawapotezea mwelekeo kabisaaa!!!

Mnatetetea vilaza waendelee kula kodi zetu!!!!??
Richmond ni ya Kikwete, hao waliowachagua mwanzo wakakubali kuwachukua waingie chuo ndiyo vilaza? Hapo wa kulaumiwa ni nani? Chadema lazima wawatetee binadamu wenzao ambao wameteseka kwa uzembe wa Serikali yenyewe.
 
yule aliyefanya Mchujo wa wanafunzi ni nani? na Kwa nini apitishe wanafunzi wasio na sifa? Nashangaa Magufuli kaibunjua hii issue kama alivyofanya kwenye sukari, Yaani alizuia vibali vya sukari alipoona hali imekuwa tete badala aombe msamaha akaamua kuzuga kusaka sukari kwenye stoo za watu, hili la UDOM ni JIPU la Serikali kwani wao ndiyo waliwaita hao watoto mpaka hapo chuo ina maana hawakujua kama hawafai? na kama hawafai iweje wawafukuze kama nzige? Uzembe wao walipaswa kama kuna tatizo wawaondoe kiustaarabu tu si kuwafanyia hivyo walivyofanya.
 
Upinzani kutetea haki za hao raia haimaanishi wamepoteza dira. Ni ukweli usiopingika serikali hii inakurupuka sana matokeo yake wanajaribu kurectify tatizo kumbe wana create matatizo zaidi.
Kwa sasa kunatakribani vibaka to be 7000 serikali imesaidia kuwazalisha.
Kwa Hiyo wange endelea ili kutoa waalimuVihiyo ambao wange fundi sha wanafunzi Kama laki tatu na zaidi ambao nao watakuwa wezi au wasio na tija inayotarajiwa Ndio mafanikio !?
 
Kwani yale mamuzi ya kipuzi chadema ndio waliopitisha?magufuli sialikuepo kwenye baraza la jk wakati wanafanya hivyo je alipinga?nakama hakupinga nini yalikua maoniyake? ccm tuombeni tu msamaha wantanzania kwa mamuzi haya ya kijinga wale watoto wameteseka na muda wao umepotea bure tu kwa ujinga wa viongozi
 
Upinzani tumefunga mkokoteni mbele ya punda.Mbowe
-1.ndio M/kiti kambi ya upinzani bungeni
-2.ndio huyohuyo M/kiti wa Chamema
-3.na ndio huyohuyo ana act cheo kama hicho UKAWA.

Punda hawezi kwenda kwa akili hii.Tunahiji mtu mpya mwenye uwezo mpya.
 
Tatizo la watanz wengi wanafikili propaganda ndio zitakazoendeleza nchi hivi pale bungeni walitetea wanafunzi au namna walivyofukuzwa kinyama kisha waziri wa elimu kasema tunawarudisha nyumbani kwa kuwa walimu wamegoma leo rais anasema vilaza mijitu inatia propaganda
 
Huu ndio ukweli halisi. ..hatuwezi ongozwa na wanasiasa wanaovizia kick zakisiasa badala ya kujikita kutatua kero halisikwa wa wapiga kura wao
Wanasubir loosboli!!;tafuta nafasi ama boli ufunge!!;this time watatafuta mpira kwa tochi!!;mara bunge live,mara sukar mara lugumi mara dr Tulia sahv wanafunzi UDOm tushawachoka!
 
Kijana kama ulifuatilia kipindi cha kupiga kura ukiwa mkweli utasema ni Chadema ndio walikuwa bize na kusafirisha wanafunzi wakapige kura walipojiandikisha.Jikite kwenye hoja kijana!
Vyuo vilifungwa lkn walikodi mabasi wakapige kura!
 
Back
Top Bottom