Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,439
- 1,962
Waanga ndio nani?Tumshauri sisonje kurudisha pesa za waanga wa bukoba kwanza
Swissme
Waanga ndio nani?Tumshauri sisonje kurudisha pesa za waanga wa bukoba kwanza
Swissme
Hah hah hah hah mkuu hivyo vinogeshooUzi umeshaelekezwa kibra na umekubali!!
Nenda PM kaombe namba za simu. Ukipewa unipe hizo namba nikufanyie mchakatoNipe maujanja Mkuu, nifanyaje? Nadhani hawaoni hapa
hapana mkuu tunaendelea na chadema ila tunamsubiria@lizaboniUzi umeshaelekezwa kibra na umekubali!!
hela yote hyo ya nini? ila sio dola usd ! andika vizuri .ofisi nyingi za CHADEMA ziko kwenye nyumba za Mtei.....pale makao makuu pamoja na nyumba kuwa mbovu wanalipa kodi ya pango kwa Mtei kiasi cha dola USD 2,000$ kwa mwezi.....chama kinaendeshwa kwa madili dili tu ya upigaji
hawashauriki hao manyumbu wa mboweMakamanda watazingatia ushauri wako!
ngoja nimtafute profesa kabudi anipe vifunguMwacheni mkaka wa watu. Njooni kwangu niwatulize kiu yenu.
Aibu ni ccm na kuongozwa na phd ya jakubumbaKweli Lowassa anategemea akili kama hizi zako kwenda Ikulu?
Hii ni aibu
Kwahiyo huko mahakamani wanajipeleka?nyie maccm sindio mnawabambikia makesi yasiyo na kichwa wala miguu?hivi nyinyi ccm mmerogwa na nani haswaaa?Kutwa kucha mawazo ya CDM yapo mahakamani, sidhani Kama ushauri wako utawafaa !
Angalia asikuvunjie ndoa yako mamaPetro E. Mselewa, mwanasheria unayekonga moyo wangu
Ubaya uko wapi sasa?Chadema baada ya kugundua waliingizwa Mkenge na Tundu Lissu wameamua kufuata ushauri wa Spika wa Bunge kuitisha upya Mchakato wa Ubunge wa EA ngazi ya Chama japo hapo awali walijidai wasingetekeleza ushauri huo wa Spika
Hongereni Chadema kushaurika
Napenda threads zake huwa anaandika kwa usahihi sio kishabiki, halafu ni mwanasheria nguli, nampenda kwa kweliAngalia asikuvunjie ndoa yako mama
I WISH I COULDKweli Lowassa anategemea akili kama hizi zako kwenda Ikulu?
Hii ni aibu
Endeleen, kukesha mahakaman huko ndio kuna kura!Aibu ni ccm na kuongozwa na phd ya jakubumba
Swissme
give me the hook man !Ebu tuondolee umalaya kwenye issue za kitaifa
Kwani kura tulizo zipata ulitupa wewe?kunguru wa kipawaEndeleen, kukesha mahakaman huko ndio kuna kura!