CHADEMA kujiandaa kumjibu Rais Samia ni utovu mkubwa wa adabu

Rais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua sasa hivi unafundishwa na wanasheria namna nzuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wangu

Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema sikukwambia.

Pia soma
Ni katika nchi gani hiyo? By the way, kuna nchi nilikwenda hapa Afrika, nikaingia ofisi moja ya serikali na kulikuwa na kibao chenye maandishi haya: There are only two rules in this country: Rule No 1: The boss is always right.
Rule No 2: If he/she is not right refer two Rule No 1. Umenikumbusha kanuni hizi mbili.
 
Rais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua sasa hivi unafundishwa na wanasheria namna nzuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wangu

Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema sikukwambia.

Pia soma
Kwamba haujuwi siasa ama?.
 
Siku zote huwa siwaamini wanasiasa,hata wakijibu au kutokujibu alichosema Amiri Jeshi Mkuu naona sawa tu.
Nadhani anayestahili kujibiwa ni CCM kwa kuwa na wao walikuwa na kikao chao.
 
Hii mijitu mijinga ni yakupiga fimbo
Yaani umchague mtu kuwaongoza alafu akiwaongoza vibaya na kutotimiza wajibu mliompatia kuyatekeleza then mkiongea ni kosa? Hii upumbavu unajifunza wapi?
Punguza upumbavu ndugu utafika mbali.
 
Rais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua sasa hivi unafundishwa na wanasheria namna nzuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wangu

Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema sikukwambia.

Pia soma
Samia Must Go imelete balaa
 
Rais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua sasa hivi unafundishwa na wanasheria namna nzuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wangu

Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema sikukwambia.

Pia soma
Samia Must Go imelete balaa
 
Proverbs 26:4-5 AMP
[4] Do not answer [nor pretend to agree with the frivolous comments of] a [closed-minded] fool according to his folly, Otherwise you, even you, will be like him. [5] Answer [and correct the erroneous concepts of] a fool according to his folly, Otherwise he will be wise in his own eyes [if he thinks you agree with him]. [Matt 16:1-4; 21:24-27]
Tupo pamoja mkuu nilitaka niipandishe hii ya amplified Bible nashukuru umeiweka.
 
Rais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua sasa hivi unafundishwa na wanasheria namna nzuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wangu

Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema sikukwambia.

Pia soma
Kwanini wasiongeee...nyau wewe...😠
 
Rais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua sasa hivi unafundishwa na wanasheria namna nzuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wangu

Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema sikukwambia.

Pia soma

Kwa nini asijibiwe kwani ni Mungu?Muhimu ni kujibiwa kwa hoja za msingi
 
Rais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua sasa hivi unafundishwa na wanasheria namna nzuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wangu

Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema sikukwambia.

Pia soma
Allah Akbar ! Mungu Mkubwa ,hakuna mwingine Mkubwa zaidi ya Mungu ,huyu Bibi Chura Kiziwi ni mtu tu wa kawaida so atapewa haki yake kikatiba ,kama hataki kuambiwa chochote aachie ngazi uone kama kuna mtu atamsema.
 
Katika hotuba za Mama hakuna alikosema ni "Marufuku Vyama vya Upinzani kujibu hotuba zangu"!
Kwa hiyo ajibiwe ila kwa Heshima na Adabu!
 
Rais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua ss hv unafundishwa na wanasheria namna zuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wang

Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema ckukwambia
Yeye sio mungu
 
Back
Top Bottom