Ni katika nchi gani hiyo? By the way, kuna nchi nilikwenda hapa Afrika, nikaingia ofisi moja ya serikali na kulikuwa na kibao chenye maandishi haya: There are only two rules in this country: Rule No 1: The boss is always right.Rais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua sasa hivi unafundishwa na wanasheria namna nzuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wangu
Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema sikukwambia.
Pia soma
Rule No 2: If he/she is not right refer two Rule No 1. Umenikumbusha kanuni hizi mbili.