Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Rais ameshaongea nyie kuweni na adabu, Mbowe najua sasa hivi unafundishwa na wanasheria namna nzuri ya kuongea ili usitengeneze jinai, hao wanaokutuma ujibizane na Rais wanakuingiza chaka Mzee wangu
Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema sikukwambia.
Pia soma
Huna sababu ya kumjibu Rais, yeye ni kiongozi wa nchi, usije kusema sikukwambia.
Pia soma