Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Umerudi tena mwana propaganda hahaha.Ndugu zangu,
Hali si shwari tena kila mahali wafuasi na viongozi wa Chadema wamejikita kutoa laana,ramli na dua mbaya zikitaka muungano wa Sefu na Zitto usifanikiwe.
Wengi wamesikika wakisema "Seif hana shukrani" "ooh ACT si wapinzani"..."Oohh Zitto katuzunguka"...."ohhhhhhh hawatafika mbali"...."..ooohh Sefu ni CCM"..na wengine wamehalalisha hoja zao kutumia rekodi za video zilizoonesha jinsi wabunge wa Chadema wakitoka nje huku wakimdhihaki Dr.Ally Shein.
Ningeshauri Chadema kama wana mkataba wowote unaombana Seif kuwa akishindwana na CUF ahamie Chadema wamfungulie keshi mahakamani ili kumzuia kuwa mwanachama wa ACT kuliko kuendelea kutoa povu na vilio.
Laa sivyo kuliko kulialia ni Bora wajipange.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamanda wewe ni shahidi wa vilio hapo ufipaUmerudi tena mwana propaganda hahaha.
Endelea kukaza kuwaamisha watu kuwa chadema ndio inahangaika na maalim..
Toka maalim ahamie act .ccm mnato mabandiko na matamko kama million hivi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha nimeli wapi mkuu. Sijawah kuhudhuria chama chochote. Kwan hata sipo tz .
Ndugu zangu,
Hali si shwari tena kila mahali wafuasi na viongozi wa Chadema wamejikita kutoa laana,ramli na dua mbaya zikitaka muungano wa Sefu na Zitto usifanikiwe.
Wengi wamesikika wakisema "Seif hana shukrani" "ooh ACT si wapinzani"..."Oohh Zitto katuzunguka"...."ohhhhhhh hawatafika mbali"...."..ooohh Sefu ni CCM"..na wengine wamehalalisha hoja zao kutumia rekodi za video zilizoonesha jinsi wabunge wa Chadema wakitoka nje huku wakimdhihaki Dr.Ally Shein.
Ningeshauri Chadema kama wana mkataba wowote unaombana Seif kuwa akishindwana na CUF ahamie Chadema wamfungulie keshi mahakamani ili kumzuia kuwa mwanachama wa ACT kuliko kuendelea kutoa povu na vilio.
Laa sivyo kuliko kulialia ni Bora wajipange.
Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna MwanaChadema aliye na mkataba na Seif kujiunga na Chadema as long as ACT ni chama cha upinzani Seif amefanya maamuzi sahihi na amewapiga CCM chenga ya mwili.Ndugu zangu,
Hali si shwari tena kila mahali wafuasi na viongozi wa Chadema wamejikita kutoa laana,ramli na dua mbaya zikitaka muungano wa Sefu na Zitto usifanikiwe.
Wengi wamesikika wakisema "Seif hana shukrani" "ooh ACT si wapinzani"..."Oohh Zitto katuzunguka"...."ohhhhhhh hawatafika mbali"...."..ooohh Sefu ni CCM"..na wengine wamehalalisha hoja zao kutumia rekodi za video zilizoonesha jinsi wabunge wa Chadema wakitoka nje huku wakimdhihaki Dr.Ally Shein.
Ningeshauri Chadema kama wana mkataba wowote unaombana Seif kuwa akishindwana na CUF ahamie Chadema wamfungulie keshi mahakamani ili kumzuia kuwa mwanachama wa ACT kuliko kuendelea kutoa povu na vilio.
Laa sivyo kuliko kulialia ni Bora wajipange.
Sent using Jamii Forums mobile app
We achaaa...hata ungekuwa wewe usingefurahia kufanikiwa kwa mwenzako..unajua chadema wabinafsi..unakumbuka kipindi kile cha kuachiana kijiti kwenye majimbo, chadema walikuwa wanataka wao tu ndio waweke mgombea kwa tiketi ya ukawa...au mmeshasahau...chadema achana nao kamanda...kwanza chadema walikuwa wanasema ACT ni ccm B..sasa hivi mambo yamewageuka...Ccm acheni uchochezi. Chadema wamefurahishwa sana na kuhamia mzee wao ACT. Hawana hayo uyasemayo. Mradi kaachana na propesa!
Nje ya mada kamandaKatibu wako bashiru je? Maana nae kasema anasubiria kuona ndoa ya seif na zito itaishije? Hilo uhoji. Unahoji ya cdm tu
Inaelekea seif baada ya kuwauzia chadema lowassa kwenye gunia kaingia mtaa wa pili badala ya kuja kwao.Ndugu zangu,
Hali si shwari tena kila mahali wafuasi na viongozi wa Chadema wamejikita kutoa laana,ramli na dua mbaya zikitaka muungano wa Sefu na Zitto usifanikiwe.
Wengi wamesikika wakisema "Seif hana shukrani" "ooh ACT si wapinzani"..."Oohh Zitto katuzunguka"...."ohhhhhhh hawatafika mbali"...."..ooohh Sefu ni CCM"..na wengine wamehalalisha hoja zao kutumia rekodi za video zilizoonesha jinsi wabunge wa Chadema wakitoka nje huku wakimdhihaki Dr.Ally Shein.
Ningeshauri Chadema kama wana mkataba wowote unaombana Seif kuwa akishindwana na CUF ahamie Chadema wamfungulie keshi mahakamani ili kumzuia kuwa mwanachama wa ACT kuliko kuendelea kutoa povu na vilio.
Laa sivyo kuliko kulialia ni Bora wajipange.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni shidaInaelekea seif baada ya kuwauzia chadema lowassa kwenye gunia kaingia mtaa wa pili badala ya kuja kwao.
Swadakta!Ndugu zangu,
Hali si shwari tena kila mahali wafuasi na viongozi wa Chadema wamejikita kutoa laana,ramli na dua mbaya zikitaka muungano wa Sefu na Zitto usifanikiwe.
Wengi wamesikika wakisema "Seif hana shukrani" "ooh ACT si wapinzani"..."Oohh Zitto katuzunguka"...."ohhhhhhh hawatafika mbali"...."..ooohh Sefu ni CCM"..na wengine wamehalalisha hoja zao kutumia rekodi za video zilizoonesha jinsi wabunge wa Chadema wakitoka nje huku wakimdhihaki Dr.Ally Shein.
Ningeshauri Chadema kama wana mkataba wowote unaombana Seif kuwa akishindwana na CUF ahamie Chadema wamfungulie keshi mahakamani ili kumzuia kuwa mwanachama wa ACT kuliko kuendelea kutoa povu na vilio.
Laa sivyo kuliko kulialia ni Bora wajipange.
Sent using Jamii Forums mobile app