CHADEMA kama mna mkataba na Seif kujiunga nanyi nendeni mahakamani laa sivyo ni dua la kuku

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Ndugu zangu,

Hali si shwari tena kila mahali wafuasi na viongozi wa Chadema wamejikita kutoa laana,ramli na dua mbaya zikitaka muungano wa Sefu na Zitto usifanikiwe.

Wengi wamesikika wakisema "Seif hana shukrani" "ooh ACT si wapinzani"..."Oohh Zitto katuzunguka"...."ohhhhhhh hawatafika mbali"...."..ooohh Sefu ni CCM"..na wengine wamehalalisha hoja zao kutumia rekodi za video zilizoonesha jinsi wabunge wa Chadema wakitoka nje huku wakimdhihaki Dr.Ally Shein.

Ningeshauri Chadema kama wana mkataba wowote unaombana Seif kuwa akishindwana na CUF ahamie Chadema wamfungulie keshi mahakamani ili kumzuia kuwa mwanachama wa ACT kuliko kuendelea kutoa povu na vilio.

Laa sivyo kuliko kulialia ni Bora wajipange.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umerudi tena mwana propaganda hahaha.
Endelea kukaza kuwaamisha watu kuwa chadema ndio inahangaika na maalim..
Toka maalim ahamie act .ccm mnato mabandiko na matamko kama million hivi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamanda wewe ni shahidi wa vilio hapo ufipa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha nimeli wapi mkuu. Sijawah kuhudhuria chama chochote. Kwan hata sipo tz .
So sina ushabiki au ukarib na chama chochote kutokana na nchi niliyopo kwa sasa..
Ila mm ni simamia ukweli.
Ushahid ambao unao kuwa cdm wanalia uko wapi?
Uzi mwingine nilikwambia ulete ushahid kuwa mbowe amezimia wapi ukimbia uzi?
Nakuuliza tena ushahid uko wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mmezoea kufanya usajili kwa jina la 'kuunga mkono juhudi' basi mnadhani kila chama kina huo utaratibu.
 
Katibu wako bashiru je? Maana nae kasema anasubiria kuona ndoa ya seif na zito itaishije? Hilo uhoji. Unahoji ya cdm tu
 
mtapata taabu sana huyo master mind wenu bora mumtoe hafai..
ishu ya kumpyupyupyu lissu ameshindwa mmehamia kwa cuf kuiua kumbe kimezaliwa kipyaaaaaa!!!! na kitawatesa sana..
kwa taarifa yako hiyo ni mipango ya kuwasambratisha mburula wa lumumba waliotegemea sefu aje CDM lkn akili kubwa imefanya kazi imebidi SEFU aungane na ZITTO na baadae chama mbili zenye nguvu akili mingi zitaungana na hicho mlicho tegemea kuwa mmeiua cuf sasa imezaliwa mmbadala tena wenye ngungu yavkutisha.
matawi yoote unguja ya cufccm yamehamia ACT nyiefisiemu bakini na le plofeselipumb...zzz wenu mumtumie vizuri.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kung'ang'aniza hoja ambayo haipo,eti iwepo ni upumbavu first class! Kiumbe kinakurupuka tu kitandani kabla ya kusafisha "pua " anaiwaza CHADEMA. Shame!
 
mbona CCM mnaumizwa sana na hili la Seif?? mlipanga nini kilicho 'backfire'?
 
hakuna MwanaChadema aliye na mkataba na Seif kujiunga na Chadema as long as ACT ni chama cha upinzani Seif amefanya maamuzi sahihi na amewapiga CCM chenga ya mwili.
 
Ccm acheni uchochezi. Chadema wamefurahishwa sana na kuhamia mzee wao ACT. Hawana hayo uyasemayo. Mradi kaachana na propesa!
We achaaa...hata ungekuwa wewe usingefurahia kufanikiwa kwa mwenzako..unajua chadema wabinafsi..unakumbuka kipindi kile cha kuachiana kijiti kwenye majimbo, chadema walikuwa wanataka wao tu ndio waweke mgombea kwa tiketi ya ukawa...au mmeshasahau...chadema achana nao kamanda...kwanza chadema walikuwa wanasema ACT ni ccm B..sasa hivi mambo yamewageuka...
 
Inaelekea seif baada ya kuwauzia chadema lowassa kwenye gunia kaingia mtaa wa pili badala ya kuja kwao.
 
Swadakta!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…