CCM rukhsa siasa chuoni, upinzani marufuku

Naona sasa siasa wamezirudisha maana juzi pia uvccm chuo cha kairuki walikua na mkutano
Wapinzani wakianza tu na ccm ikaona inazidiwa watazuia tena. Fahamu hiyo Sheria bado ipo, lakini inafumbiwa macho maana wao ndio wanaivunja bila bugudha.
 
Nchi hii haina vyuo vikuu. Vyuo vikuu viko mambele huko ambako wanachuo wakiliamsha dude serikali zinaufyata.
 
Wakuu samahani kwa kuingiza maada isiyoendana na title,ila ni hv mm huwaga nakua nahoja en sometimes nakua na mambo yananisumbua kichww nikitaka kupoat threads inagoma wananambie post sijui inakaguliwa an haipostiki msaada wakuu
Huwa unaandika hivi hivi mara en, mara an mara hv?

Kama jibu ni ndio basi ni sawa wakukatalie tu
 
Wanafunzi wanaolipwa Tshs 10,000 za wavuja jasho na damu wanaosoma chuo cha TIA[Uhasibu]- Temeke, Dar es Salaam wamemtembelea Jokate Mwangelo ambaye ni mama mwenye mtoto mmoja ofisi za UVCCM Makao Makuu Dodoma.

Inasemekana hawa waasibu ndio wanakuja kuwa chawa baada ya UE mwezi wa sita. Hawa wanasifia kila kitu wakati wazazi wao wanakufa na kikokotoo.

View attachment 2986321
Wanakopeshwa ,na sio kulipwa
 
Wanarejesha na sio lazima uwe umeajiliwa serikalini hata ukiwa private hata ukiwa enjoy hata ukiwa mjasiliamali
Wanapatikana wapi?

MWIJAKU ni graduate na huwa anasema haipi, hajawahi kulipa na hataki kulipa, mtatmtumia polisi akalipe?
 
Sawa, kumbe ndio mnavyoiibia serikali huwa mnafarijiana kuwa nyie siyo wakamilifu kwahiyo mnaiba tu.
Wewe ni kenge kama kenge wengine. Huko CHADEMA mnakula rushwa hadi Lissu kashindwa kuwavumilia. Huna uhalali wa kuinyooshea kidole CCM.
 
Wewe ni kenge kama kenge wengine. Huko CHADEMA mnakula rushwa hadi Lissu kashindwa kuwavumilia. Huna uhalali wa kuinyooshea kidole CCM.
Sijakutukana, sijataja chama chochote kwa jina , ila kama idara ya vijana ya chama chako ulipo umelelewa hivyo sawa.
 
Wanafunzi wanaolipwa Tshs 10,000 za wavuja jasho na damu wanaosoma chuo cha TIA[Uhasibu]- Temeke, Dar es Salaam wamemtembelea Jokate Mwangelo ambaye ni mama mwenye mtoto mmoja ofisi za UVCCM Makao Makuu Dodoma.

Inasemekana hawa waasibu ndio wanakuja kuwa chawa baada ya UE mwezi wa sita. Hawa wanasifia kila kitu wakati wazazi wao wanakufa na kikokotoo.

View attachment 2986321
wamekuacha ee 🐒

pole usijiskie vibaya pambana aise uskate tamaa 🐒
 
IVFKupandikiza mimba, ama kwa kimombo In Vitro Fertilization (IVF) ni mchakato wa kuunganisha yai la mwanamke na mbegu za mwanaume nje ya mwili wa binadamu katika maabara na kisha kurudishwa kwenye mwili wa mwanamke ili mimba ikue.
Kodi zetu zimefanya mambo makubwa.

Bila shaka aliyetoa mbegu atakuwa anajulikana
 
Na kuna wapuuzi watasema "Kwan tatizo ni nini" wasielewe impact ya kumuweka mtu wa aina hiyo kwenye nafasi ya uongozi anawafundisha nini mabinti.

Huyo tayari ni Single mother na anawafundisha mabinti wadogo kuwa unaweza zaa kama bata na still ukaheshimiwa na jamii na kupewa teuzi.

Sijui kama tunaheshima juu ya ile alama ya bibi na bwana na sijui kama tunaelewa maana na maudhui yake au tunahisi ni vinyago tu vya urembo.

Kuna siku hii tabia ya kuachia watu wa hovyo kwenye sehemu nyeti na kazi zinazotaka maadili kabla ya chochote itatugharimu pakubwa sana.
Wewe huna akili kabisa- SINGLE MOTHER maana yake nini? Wewe unaona inawezekana kukawepo SINGLE MOTHER?
 
Bahati nzuri wanaopata hizo nafasi za kutembeleana ni wachache kuliko maelfu tuliopo kitaa.
 
Back
Top Bottom