Umeongea vyema sana wewe "Naibu Mungu".Nina mume wangu mmojA.
Kiongozi ni kioo kwa jamii, mwanamke hawezi pata mimba bila mume halali wa ndoa, na siyo mtoto wa kiongozi kuzaliwa kwenye ZINAA.
Umeongea vyema sana wewe "Naibu Mungu".Nina mume wangu mmojA.
Kiongozi ni kioo kwa jamii, mwanamke hawezi pata mimba bila mume halali wa ndoa, na siyo mtoto wa kiongozi kuzaliwa kwenye ZINAA.
Hahahahaha..wanaambiwagwq kuwa chama kinahitaji wasomi na wasomi wana nafasi zao ..hizo ndizo vinawafanya wae chawa ..kwa kuviziq fursaMajinga sana hayo matoto, akili zero kabisa.
Wapinzani wakianza tu na ccm ikaona inazidiwa watazuia tena. Fahamu hiyo Sheria bado ipo, lakini inafumbiwa macho maana wao ndio wanaivunja bila bugudha.Naona sasa siasa wamezirudisha maana juzi pia uvccm chuo cha kairuki walikua na mkutano
Huwa unaandika hivi hivi mara en, mara an mara hv?Wakuu samahani kwa kuingiza maada isiyoendana na title,ila ni hv mm huwaga nakua nahoja en sometimes nakua na mambo yananisumbua kichww nikitaka kupoat threads inagoma wananambie post sijui inakaguliwa an haipostiki msaada wakuu
Sawa, kumbe ndio mnavyoiibia serikali huwa mnafarijiana kuwa nyie siyo wakamilifu kwahiyo mnaiba tu.Umeongea vyema sana wewe "Naibu Mungu".
Wanakopeshwa ,na sio kulipwaWanafunzi wanaolipwa Tshs 10,000 za wavuja jasho na damu wanaosoma chuo cha TIA[Uhasibu]- Temeke, Dar es Salaam wamemtembelea Jokate Mwangelo ambaye ni mama mwenye mtoto mmoja ofisi za UVCCM Makao Makuu Dodoma.
Inasemekana hawa waasibu ndio wanakuja kuwa chawa baada ya UE mwezi wa sita. Hawa wanasifia kila kitu wakati wazazi wao wanakufa na kikokotoo.
View attachment 2986321
Wanalipwa na hawarejeshi isipokuwa wale wanaopata ajira za serikali.Wanakopeshwa ,na sio kulipwa
Wanarejesha na sio lazima uwe umeajiliwa serikalini hata ukiwa private hata ukiwa enjoy hata ukiwa mjasiliamaliWanalipwa na hawarejeshi isipokuwa wale wanaopata ajira za serikali.
Wanapatikana wapi?Wanarejesha na sio lazima uwe umeajiliwa serikalini hata ukiwa private hata ukiwa enjoy hata ukiwa mjasiliamali
Kioo?Hata maji angavu unajitazama tu.Inasemekana, na. ndio kioo cha jamii!
Nipe ushahidiWanapatikana wapi?
MWIJAKU ni graduate na huwa anasema haipi, hajawahi kulipa na hataki kulipa, mtatmtumia polisi akalipe?
Watu wazima wajinga?Wanachuo ni watu wazima so vibaya wakimunga mkono mama
Chuo ni elimu ya watu wazima,chadema mnashindwa kutambua hili
Wewe ni kenge kama kenge wengine. Huko CHADEMA mnakula rushwa hadi Lissu kashindwa kuwavumilia. Huna uhalali wa kuinyooshea kidole CCM.Sawa, kumbe ndio mnavyoiibia serikali huwa mnafarijiana kuwa nyie siyo wakamilifu kwahiyo mnaiba tu.
Sijakutukana, sijataja chama chochote kwa jina , ila kama idara ya vijana ya chama chako ulipo umelelewa hivyo sawa.Wewe ni kenge kama kenge wengine. Huko CHADEMA mnakula rushwa hadi Lissu kashindwa kuwavumilia. Huna uhalali wa kuinyooshea kidole CCM.
Sawa "Naibu Mungu"Sijakutukana, sijataja chama chochote kwa jina , ila kama idara ya vijana ya chama chako ulipo umelelewa hivyo sawa.
wamekuacha ee 🐒Wanafunzi wanaolipwa Tshs 10,000 za wavuja jasho na damu wanaosoma chuo cha TIA[Uhasibu]- Temeke, Dar es Salaam wamemtembelea Jokate Mwangelo ambaye ni mama mwenye mtoto mmoja ofisi za UVCCM Makao Makuu Dodoma.
Inasemekana hawa waasibu ndio wanakuja kuwa chawa baada ya UE mwezi wa sita. Hawa wanasifia kila kitu wakati wazazi wao wanakufa na kikokotoo.
View attachment 2986321
Kodi zetu zimefanya mambo makubwa.IVFKupandikiza mimba, ama kwa kimombo In Vitro Fertilization (IVF) ni mchakato wa kuunganisha yai la mwanamke na mbegu za mwanaume nje ya mwili wa binadamu katika maabara na kisha kurudishwa kwenye mwili wa mwanamke ili mimba ikue.
Wewe huna akili kabisa- SINGLE MOTHER maana yake nini? Wewe unaona inawezekana kukawepo SINGLE MOTHER?Na kuna wapuuzi watasema "Kwan tatizo ni nini" wasielewe impact ya kumuweka mtu wa aina hiyo kwenye nafasi ya uongozi anawafundisha nini mabinti.
Huyo tayari ni Single mother na anawafundisha mabinti wadogo kuwa unaweza zaa kama bata na still ukaheshimiwa na jamii na kupewa teuzi.
Sijui kama tunaheshima juu ya ile alama ya bibi na bwana na sijui kama tunaelewa maana na maudhui yake au tunahisi ni vinyago tu vya urembo.
Kuna siku hii tabia ya kuachia watu wa hovyo kwenye sehemu nyeti na kazi zinazotaka maadili kabla ya chochote itatugharimu pakubwa sana.