Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 16,871
- 35,993
- Thread starter
- #101
Kweli kabisa. Tena huu mradi waliuanzisha kipindi cha Magufuli. Ndo kina Bashiru na Polepole walipopatia utajiri wa kutisha.Dawa yao ni hiyo tu..itisha ukaguzi na uchunguzi miaka 15 au hata 20 nyuma..hakuna cha tiss, pccb sijui mwanajeshi..wote lazima wa-face justice!
Wala haitakuwa kazi ngumu kugundua wameliibia Taifa kiasi gani? Mradi huu unaingiza billions of Money ambazo zinaliwa na Viongozi wa Juu wa CCM