Kijukuu cha ngoyayi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 1,561
- 3,209
Miongoni mwa watu wanao tuhujumu km nchi ni ma fisiemu
Mpaka hapo washakuona muasi na muhaini wanakutafutia angle tuWamemwaga mboga, sie tunamwaga ugali na kuvunja jiko.
ni muhim kusubiri majibu ya mropokaji anaesota korokoroni baada ya Pasaka tunaweza kujua zaidi gentleman 🐒Kwa hiyo wizi wa Maliasili za Taifa mnaofanya sio mambo ya msingi kwenu?
CCM ni WeziCCM ni mashetani.
Nimehasi nini? Haya ni maswali ya kawaida sana yanayohitaji majibu tu. Watujibu maana wanajinasibu kuwa wao ni Wazalendo na Wanalifanyia mema hili Taifa.Mpaka hapo washakuona muasi na muhaini wanakutafutia angle tu
Hawatojibu na wataendelea kuiba kwani toka lini Mwizi akaacha kuiba? CCM wezi tu Nape Nnauye alisharopoka kwenye CameraNimehasi nini? Haya ni maswali ya kawaida sana yanayohitaji majibu tu. Watujibu maana wanajinasibu kuwa wao ni Wazalendo na Wanalifanyia mema hili Taifa.
Kwani Kuna mtu ana hati ya nchi hii,kama yupo aseme.aliitoa wapiUtapewa kesi ya uhaini🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿
Sisi watumishi tunaotoa psssf tunataka kuwekeza kwenye gesi na sementi hayo mengine hatujui,mnaita wawekezaji kumbe ni marofa tuuCCM wanamiliki mgodi mkubwa sana wa Makaa ya Mawe Mkoani Ruvuma. Haifahamiki pia ni kwa namna gani na kwa taratibu zipi za manunuzi walipata leseni na haki ya kufanya mradi huu mkoani humo?
Kwenye mgodi huo ambao wanafanya uchimbaji kwa ubia na Kampuni moja ya nje ya Nchi, Makaa ya Mawe yanachimbwa kwa Masaa 24 na kuuzwa nje ya Nchi kwa kusafirishwa na maroli muda wote kuelekea Bandari ya Mtwara (Kwenda Bara la Asia) pamoja na nchi za Rwanda, Uganda na Kenya.
Mwaka 2017 Nchi yetu ilipitisha Sheria za Ulinzi wa Maliasili za Nchi na Utajiri Asilia.
Moja ya vifungu katika Sheria hizo yanazitaka Kampuni za Madini kuweka fedha zao nchini na kulipa kodi stahiki.
Pia Sheria zile ziliwataka wawekezaji kufanya miradi ya huduma kwa Jamii kwa lazima.
Jambo linalosikitisha, Katika Mgodi wanaohodhi CCM huko Ruvuma, hakuna mwananchi anayejua wanalipa kodi kiasi gani? Hakuna taarifa za Wazi za Mapato yanayopatikana kutokana na Biashara hiyo wanayofanya ya Maliasli za Taifa.
Hakuna mradi wowote wa kijamii waliofanya. Hili likiwa ni takwa la kisheria kama zilivyopitishwa na Bunge. Vijiji vinavyozunguka mradi huo na Mkoa wa Ruvuma kwa pamoja wananchi wana umaskini wa kutisha.
CCM watoke hadharani waseme. Kwa nini wanawabia Wananchi wa Tanzania Maliasili zao? Kwa nini Wanachimba Madini ya Wananchi alafu hawalipi kodi Stahiki wakati wanauza madini hayo Nchi za Nje ikiwemo Kenya, Uganda, Rwanda na Bara la Asia na kupata fedha nyingi sana? Fedha hizo wanapeleka wapi?
CCM watoke waseme hadharani. Je kukamatwa kwa Tundu Lissu Mkoani Ruvuma ni kwa sababu aliongelea suala la Wizi wa Maliasili za Taifa ambazo ni mali za Wananchi kunakofanywa na CCM na wabia wao huko Ruvuma?
Tunasuburi majibu.
Mods. Naomba msifute huu uzi. Huu uzi ni very sensitive maana unahusu namna CCM wanavyowaibia Watanzania na kulifisadi hili Taifa.
Let's bring back JF ya 2000's
Wezi wapo kaziniNa barabara ya Songea Njombe inazid kuchimbika kila siku
Haha marofa tu imebidi nchekeSisi watumishi tunaotoa psssf tunataka kuwekeza kwenye gesi na sementi hayo mengine hatujui,mnaita wawekezaji kumbe ni marofa tuu
CCM sio wawekezaji ni wezi wa Maliasili za TaifaSisi watumishi tunaotoa psssf tunataka kuwekeza kwenye gesi na sementi hayo mengine hatujui,mnaita wawekezaji kumbe ni marofa tuu
Wanaiba tuNa barabara ya Songea Njombe inazid kuchimbika kila siku
Balaa sana. Njia zote yamejaa maroli yanayosafirisha Makaa ya Mawe ya Watanzania yanayochimbwa na kufanyiwa biashara na CCM bila Watanzania kunufaika chochote.Na barabara ya Songea Njombe inazid kuchimbika kila siku
Halafu kuna watu wanajiita TISS na eti ni wazalendo.CCM wanamiliki mgodi mkubwa sana wa Makaa ya Mawe Mkoani Ruvuma. Haifahamiki pia ni kwa namna gani na kwa taratibu zipi za manunuzi walipata leseni na haki ya kufanya mradi huu mkoani humo?
Kwenye mgodi huo ambao wanafanya uchimbaji kwa ubia na Kampuni moja ya nje ya Nchi, Makaa ya Mawe yanachimbwa kwa Masaa 24 na kuuzwa nje ya Nchi kwa kusafirishwa na maroli muda wote kuelekea Bandari ya Mtwara (Kwenda Bara la Asia) pamoja na nchi za Rwanda, Uganda na Kenya.
Mwaka 2017 Nchi yetu ilipitisha Sheria za Ulinzi wa Maliasili za Nchi na Utajiri Asilia.
Moja ya vifungu katika Sheria hizo yanazitaka Kampuni za Madini kuweka fedha zao nchini na kulipa kodi stahiki.
Pia Sheria zile ziliwataka wawekezaji kufanya miradi ya huduma kwa Jamii kwa lazima.
Jambo linalosikitisha, Katika Mgodi wanaohodhi CCM huko Ruvuma, hakuna mwananchi anayejua wanalipa kodi kiasi gani? Hakuna taarifa za Wazi za Mapato yanayopatikana kutokana na Biashara hiyo wanayofanya ya Maliasli za Taifa.
Hakuna mradi wowote wa kijamii waliofanya. Hili likiwa ni takwa la kisheria kama zilivyopitishwa na Bunge. Vijiji vinavyozunguka mradi huo na Mkoa wa Ruvuma kwa pamoja wananchi wana umaskini wa kutisha.
CCM watoke hadharani waseme. Kwa nini wanawabia Wananchi wa Tanzania Maliasili zao? Kwa nini Wanachimba Madini ya Wananchi alafu hawalipi kodi Stahiki wakati wanauza madini hayo Nchi za Nje ikiwemo Kenya, Uganda, Rwanda na Bara la Asia na kupata fedha nyingi sana? Fedha hizo wanapeleka wapi?
CCM watoke waseme hadharani. Je kukamatwa kwa Tundu Lissu Mkoani Ruvuma ni kwa sababu aliongelea suala la Wizi wa Maliasili za Taifa ambazo ni mali za Wananchi kunakofanywa na CCM na wabia wao huko Ruvuma?
Tunasuburi majibu.
Mods. Naomba msifute huu uzi. Huu uzi ni very sensitive maana unahusu namna CCM wanavyowaibia Watanzania na kulifisadi hili Taifa.
Let's bring back JF ya 2000's
Hii nchi inanajisiwa na kuibiwa kwa kiwango cha kutisha na haya ma CCM alafu eti tuna watu wanajiita Usalama wa Taifa, TAKUKURU na wengine Jeshi la Wananchi.Halafu kuna watu wanajiita TISS na eti ni wazalendo.
Uhuni mtupu.
Walaaniwe na familia zao wale wote wanaooba fedha za nchi.
Hata kama warakuwa na vyeo vikubwa kiasi gani walaaniwe tu.
CCM ndio wanachimba makaa ya mawe?CCM wanamiliki mgodi mkubwa sana wa Makaa ya Mawe Mkoani Ruvuma. Haifahamiki pia ni kwa namna gani na kwa taratibu zipi za manunuzi walipata leseni na haki ya kufanya mradi huu mkoani humo?
Kwenye mgodi huo ambao wanafanya uchimbaji kwa ubia na Kampuni moja ya nje ya Nchi, Makaa ya Mawe yanachimbwa kwa Masaa 24 na kuuzwa nje ya Nchi kwa kusafirishwa na maroli muda wote kuelekea Bandari ya Mtwara (Kwenda Bara la Asia) pamoja na nchi za Rwanda, Uganda na Kenya.
Mwaka 2017 Nchi yetu ilipitisha Sheria za Ulinzi wa Maliasili za Nchi na Utajiri Asilia.
Moja ya vifungu katika Sheria hizo yanazitaka Kampuni za Madini kuweka fedha zao nchini na kulipa kodi stahiki.
Pia Sheria zile ziliwataka wawekezaji kufanya miradi ya huduma kwa Jamii kwa lazima.
Jambo linalosikitisha, Katika Mgodi wanaohodhi CCM huko Ruvuma, hakuna mwananchi anayejua wanalipa kodi kiasi gani? Hakuna taarifa za Wazi za Mapato yanayopatikana kutokana na Biashara hiyo wanayofanya ya Maliasli za Taifa.
Hakuna mradi wowote wa kijamii waliofanya. Hili likiwa ni takwa la kisheria kama zilivyopitishwa na Bunge. Vijiji vinavyozunguka mradi huo na Mkoa wa Ruvuma kwa pamoja wananchi wana umaskini wa kutisha.
CCM watoke hadharani waseme. Kwa nini wanawabia Wananchi wa Tanzania Maliasili zao? Kwa nini Wanachimba Madini ya Wananchi alafu hawalipi kodi Stahiki wakati wanauza madini hayo Nchi za Nje ikiwemo Kenya, Uganda, Rwanda na Bara la Asia na kupata fedha nyingi sana? Fedha hizo wanapeleka wapi?
CCM watoke waseme hadharani. Je kukamatwa kwa Tundu Lissu Mkoani Ruvuma ni kwa sababu aliongelea suala la Wizi wa Maliasili za Taifa ambazo ni mali za Wananchi kunakofanywa na CCM na wabia wao huko Ruvuma?
Tunasuburi majibu.
Mods. Naomba msifute huu uzi. Huu uzi ni very sensitive maana unahusu namna CCM wanavyowaibia Watanzania na kulifisadi hili Taifa.
Let's bring back JF ya 2000's
Hapana wanafukua tu,hawachimbi!!CCM ndio wanachimba makaa ya mawe?
Ningeshangaa toka lini CCM wanachimba makaa ya maweHapana wanafukua tu,hawachimbi!!
Na hii ndiyo imepelekea Lissu kubambikiwa kesi ya uhaini kwani ilikuwa alipue bomu hili kwenye mkutano wa kuhitimisha ziara ya Kanda ya Kusini mjini Songea.CCM wanamiliki mgodi mkubwa sana wa Makaa ya Mawe Mkoani Ruvuma. Haifahamiki pia ni kwa namna gani na kwa taratibu zipi za manunuzi walipata leseni na haki ya kufanya mradi huu mkoani humo?
Kwenye mgodi huo ambao wanafanya uchimbaji kwa ubia na Kampuni moja ya nje ya Nchi, Makaa ya Mawe yanachimbwa kwa Masaa 24 na kuuzwa nje ya Nchi kwa kusafirishwa na maroli muda wote kuelekea Bandari ya Mtwara (Kwenda Bara la Asia) pamoja na nchi za Rwanda, Uganda na Kenya.
Mwaka 2017 Nchi yetu ilipitisha Sheria za Ulinzi wa Maliasili za Nchi na Utajiri Asilia.
Moja ya vifungu katika Sheria hizo yanazitaka Kampuni za Madini kuweka fedha zao nchini na kulipa kodi stahiki.
Pia Sheria zile ziliwataka wawekezaji kufanya miradi ya huduma kwa Jamii kwa lazima.
Jambo linalosikitisha, Katika Mgodi wanaohodhi CCM huko Ruvuma, hakuna mwananchi anayejua wanalipa kodi kiasi gani? Hakuna taarifa za Wazi za Mapato yanayopatikana kutokana na Biashara hiyo wanayofanya ya Maliasli za Taifa.
Hakuna mradi wowote wa kijamii waliofanya. Hili likiwa ni takwa la kisheria kama zilivyopitishwa na Bunge. Vijiji vinavyozunguka mradi huo na Mkoa wa Ruvuma kwa pamoja wananchi wana umaskini wa kutisha.
CCM watoke hadharani waseme. Kwa nini wanawabia Wananchi wa Tanzania Maliasili zao? Kwa nini Wanachimba Madini ya Wananchi alafu hawalipi kodi Stahiki wakati wanauza madini hayo Nchi za Nje ikiwemo Kenya, Uganda, Rwanda na Bara la Asia na kupata fedha nyingi sana? Fedha hizo wanapeleka wapi?
CCM watoke waseme hadharani. Je kukamatwa kwa Tundu Lissu Mkoani Ruvuma ni kwa sababu aliongelea suala la Wizi wa Maliasili za Taifa ambazo ni mali za Wananchi kunakofanywa na CCM na wabia wao huko Ruvuma?
Tunasuburi majibu.
Mods. Naomba msifute huu uzi. Huu uzi ni very sensitive maana unahusu namna CCM wanavyowaibia Watanzania na kulifisadi hili Taifa.
Let's bring back JF ya 2000's