Mbowe alishakuchukulia mkeo?mbona unamuattack tofauti na hoja iliyotolewa umekaririshwa kama kasuku kila hoja mboweKwenye uchaguzi wa EALA aliyeshindwa CHADEMA sio Masha wala Wenje bali ni dikteta Mbowe aliyedhani kuwa ana uwezo wa kugawa kila benefit iliyopo CHADEMA. Wabunge wa viti maalum hawapigiwi kura bali Mbowe na madikteta wengine wanawa-hand pick. Utashangaa mwanamke wala hafahamiki CHADEMA tena ni kiongozi ndani ya CCM anachaguliwa kuwa mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA. Aibu kubwa kwa chama kinachojinadi kuwa kinatetea democracy. Kwenye hili la EALA naye kaja tena ku-hand pick watu wawili mwingine hata miaka 2 ndani ya CHADEMA hafikishi. Wanaofahamika kukipigania chama kwa zaidi ya miaka hata 20 wanaomba lakini wala hawapigiwi kura ili ionekane hawakubaliki. Sasa dikteta anaamua lazima Masha na Wenje waingie EALA. Yaani anataka ku-dictate hata kwa bunge!! Hapa ikagonga mwamba. Mbowe lazima ajifunze udikteta una mwisho wake na pia aufanye kwa akili hata kama ni za kuambiwa.
Ukweli ndiyo huo. Kulikuwa na tatizo gani kutopeleka jina la tatu kama kanuni zinavyoelekeza ili wapate hizo nafasi mbili wanazostahili? Kwani Wenja lazima awe na Masha tu katika ubunge wa EALA and vice versa ?Ila pia Chadema walipeleka hiyo idadi sio kwa bahati mbaya au kwamba hawana wanachama wanao-fit ila hila ilitawala zaidi. Sasa hila imejibiwa kwa hila. Ngoja tuone hii ngoma nani ataibuka mshindi.
Chadema ni chama kikubwa sana mkuu. Hivi kimekosa candidates wengine wa kupeleka kushindanishwa na Masha na Wenje huko Bungeni??Wengi mtakuwa mnajiuliza kwanini ccm walipiga kura za kukomoana jana kwa Wenje na Masha.
Kubwa ninaloliona hapa ni visasi,Vitisho kwa wanaccm wengine wenye nia ya kufanya siasa nje ya Ccm na chuki za kijinga.Pia ufinyu wa akili zao wamemkomoa Masha kwa sababu alihama chama wakati wa uchaguzi.Wanachosahau nafasi zile ni za CDM tu hata aridhi ipasuke.
Walichosahau kingine Wenje na Masha wanaenda kuiwakilisha nchi na sio Cdm au Ccm wote pamoja na wale wa ccm baada ya kuchaguliwa ajenda yao kubwa inabaki ni nchi sio vyama.Nina wahasa chuki hazijengi ziku zote zinabomoa.
Wenje,Huyu walimkataa kwa kinyongo,Mtakumbuka amekuwa mwiba kwa ccm muda wote na ilifikia wakadhamiria yeye na Kafulila watawafuta kwenye siasa za nchi kwa gharama yoyote.Leo wametekeleza kisasi mbele ya kamera na macho ya watanzania bila aibu.
Cha kusikitisha zaidi baada ya uhasi huu kwa taifa.Kesho ccm hao hao wakiongozwa na spika utawasikia wakisema tuweke utaifa mbele na uzalendo na si vyama vyetu.Utawasikia wakisema si kila jambo ziingizwe siasa.Unafiki mkubwa!
Kwa hali hii kama taifa.Viwanda na uchumi wa kati tutabaki kusoma kwenye magazeti ya kenya na Rwanda tu.Huku sisi tukirudi enzi za kikoloni na kujiona bado tuna uhuru wa kifikra na kiuchumi.
Tunataka Demokrasia ifuate mkondo wake. Why mlete watu na mlazimishe wasipingwe!!Tumejidhalilisha sana kwa kuwa na malengo ya kukomoana zaidi kuliko kulikomboa Taifa toka katika Lindi la umasikini
Kwani mkuu tatizo amechaguliwa msiyemtaka?Wengi mtakuwa mnajiuliza kwanini ccm walipiga kura za kukomoana jana kwa Wenje na Masha.
Kubwa ninaloliona hapa ni visasi,Vitisho kwa wanaccm wengine wenye nia ya kufanya siasa nje ya Ccm na chuki za kijinga.Pia ufinyu wa akili zao wamemkomoa Masha kwa sababu alihama chama wakati wa uchaguzi.Wanachosahau nafasi zile ni za CDM tu hata aridhi ipasuke.
Walichosahau kingine Wenje na Masha wanaenda kuiwakilisha nchi na sio Cdm au Ccm wote pamoja na wale wa ccm baada ya kuchaguliwa ajenda yao kubwa inabaki ni nchi sio vyama.Nina wahasa chuki hazijengi ziku zote zinabomoa.
Wenje,Huyu walimkataa kwa kinyongo,Mtakumbuka amekuwa mwiba kwa ccm muda wote na ilifikia wakadhamiria yeye na Kafulila watawafuta kwenye siasa za nchi kwa gharama yoyote.Leo wametekeleza kisasi mbele ya kamera na macho ya watanzania bila aibu.
Cha kusikitisha zaidi baada ya uhasi huu kwa taifa.Kesho ccm hao hao wakiongozwa na spika utawasikia wakisema tuweke utaifa mbele na uzalendo na si vyama vyetu.Utawasikia wakisema si kila jambo ziingizwe siasa.Unafiki mkubwa!
Kwa hali hii kama taifa.Viwanda na uchumi wa kati tutabaki kusoma kwenye magazeti ya kenya na Rwanda tu.Huku sisi tukirudi enzi za kikoloni na kujiona bado tuna uhuru wa kifikra na kiuchumi.
.Wengi mtakuwa mnajiuliza kwanini ccm walipiga kura za kukomoana jana kwa Wenje na Masha.
Kubwa ninaloliona hapa ni visasi,Vitisho kwa wanaccm wengine wenye nia ya kufanya siasa nje ya Ccm na chuki za kijinga.Pia ufinyu wa akili zao wamemkomoa Masha kwa sababu alihama chama wakati wa uchaguzi.Wanachosahau nafasi zile ni za CDM tu hata aridhi ipasuke.
Walichosahau kingine Wenje na Masha wanaenda kuiwakilisha nchi na sio Cdm au Ccm wote pamoja na wale wa ccm baada ya kuchaguliwa ajenda yao kubwa inabaki ni nchi sio vyama.Nina wahasa chuki hazijengi ziku zote zinabomoa.
Wenje,Huyu walimkataa kwa kinyongo,Mtakumbuka amekuwa mwiba kwa ccm muda wote na ilifikia wakadhamiria yeye na Kafulila watawafuta kwenye siasa za nchi kwa gharama yoyote.Leo wametekeleza kisasi mbele ya kamera na macho ya watanzania bila aibu.
Cha kusikitisha zaidi baada ya uhasi huu kwa taifa.Kesho ccm hao hao wakiongozwa na spika utawasikia wakisema tuweke utaifa mbele na uzalendo na si vyama vyetu.Utawasikia wakisema si kila jambo ziingizwe siasa.Unafiki mkubwa!
Kwa hali hii kama taifa.Viwanda na uchumi wa kati tutabaki kusoma kwenye magazeti ya kenya na Rwanda tu.Huku sisi tukirudi enzi za kikoloni na kujiona bado tuna uhuru wa kifikra na kiuchumi.
wewe ndio mjinga unaepoteza muda wako hapa kumtetea masha ambae hana impact yoyote katika maisha yako..... fanya yako.... ubunge wa EALA mtausikia redioniWengi mtakuwa mnajiuliza kwanini ccm walipiga kura za kukomoana jana kwa Wenje na Masha.
Kubwa ninaloliona hapa ni visasi,Vitisho kwa wanaccm wengine wenye nia ya kufanya siasa nje ya Ccm na chuki za kijinga.Pia ufinyu wa akili zao wamemkomoa Masha kwa sababu alihama chama wakati wa uchaguzi.Wanachosahau nafasi zile ni za CDM tu hata aridhi ipasuke.
Walichosahau kingine Wenje na Masha wanaenda kuiwakilisha nchi na sio Cdm au Ccm wote pamoja na wale wa ccm baada ya kuchaguliwa ajenda yao kubwa inabaki ni nchi sio vyama.Nina wahasa chuki hazijengi ziku zote zinabomoa.
Wenje,Huyu walimkataa kwa kinyongo,Mtakumbuka amekuwa mwiba kwa ccm muda wote na ilifikia wakadhamiria yeye na Kafulila watawafuta kwenye siasa za nchi kwa gharama yoyote.Leo wametekeleza kisasi mbele ya kamera na macho ya watanzania bila aibu.
Cha kusikitisha zaidi baada ya uhasi huu kwa taifa.Kesho ccm hao hao wakiongozwa na spika utawasikia wakisema tuweke utaifa mbele na uzalendo na si vyama vyetu.Utawasikia wakisema si kila jambo ziingizwe siasa.Unafiki mkubwa!
Kwa hali hii kama taifa.Viwanda na uchumi wa kati tutabaki kusoma kwenye magazeti ya kenya na Rwanda tu.Huku sisi tukirudi enzi za kikoloni na kujiona bado tuna uhuru wa kifikra na kiuchumi.
mwenyekiti wa chadema ni Mungu mtu... alikuja na majina mfukoni na akaya impose kwenye chama... aibu kubwa halafu wanajifanya wao ndio watetezi wa demokrasia... hata jinsia hawakuzingatia, na wagombea wote wanatoka mwanza. what a shameWen
.
Wenje na Masha walishindanishwa na nani ndani ya CHADEMA? Nini kiliwazuwia CHADEMA kuwapelekea wapiga kura zaidi ya majina hayo mawili ili wachague.Je jukumu la bunge lilkuwa kuidhinisha maamuzi ya CHADEMA au kuchagua?
YouVipi sindano. Imeingia?? Maana umekuwa mkali kama umelishwa pili Pili mbuzi
An idiotic mind will never learn irrespective of the quality of school.Vipi sindano. Imeingia?? Maana umekuwa mkali kama umelishwa pili Pili mbuzi
You
An idiotic mind will never learn irrespective of the quality of school.
Wengi mtakuwa mnajiuliza kwanini ccm walipiga kura za kukomoana jana kwa Wenje na Masha.
Kubwa ninaloliona hapa ni visasi,Vitisho kwa wanaccm wengine wenye nia ya kufanya siasa nje ya Ccm na chuki za kijinga.Pia ufinyu wa akili zao wamemkomoa Masha kwa sababu alihama chama wakati wa uchaguzi.Wanachosahau nafasi zile ni za CDM tu hata aridhi ipasuke.
Walichosahau kingine Wenje na Masha wanaenda kuiwakilisha nchi na sio Cdm au Ccm wote pamoja na wale wa ccm baada ya kuchaguliwa ajenda yao kubwa inabaki ni nchi sio vyama.Nina wahasa chuki hazijengi ziku zote zinabomoa.
Wenje,Huyu walimkataa kwa kinyongo,Mtakumbuka amekuwa mwiba kwa ccm muda wote na ilifikia wakadhamiria yeye na Kafulila watawafuta kwenye siasa za nchi kwa gharama yoyote.Leo wametekeleza kisasi mbele ya kamera na macho ya watanzania bila aibu.
Cha kusikitisha zaidi baada ya uhasi huu kwa taifa.Kesho ccm hao hao wakiongozwa na spika utawasikia wakisema tuweke utaifa mbele na uzalendo na si vyama vyetu.Utawasikia wakisema si kila jambo ziingizwe siasa.Unafiki mkubwa!
Kwa hali hii kama taifa.Viwanda na uchumi wa kati tutabaki kusoma kwenye magazeti ya kenya na Rwanda tu.Huku sisi tukirudi enzi za kikoloni na kujiona bado tuna uhuru wa kifikra na kiuchumi.
Kwani nyie ccm mlitaka chadema wawaletee akina nani muwachagulie?Mbona masha na wenje? kwani CDM hakuna watu makini ambao wana weza kuliwakilisha taifa letu kwa weredi na si kupeleka watu ambao kazi yao ni kupinga tu hata kwenye mafanikio?
Wanawaklisha nchi gani? Wewe soma vizuri katiba ya machadema, inasema mbunge wa chadema, hawajibiki kwa wananchi bali kwenye chama!Wengi mtakuwa mnajiuliza kwanini CCM walipiga kura za kukomoana jana kwa Wenje na Masha. Kubwa ninaloliona hapa ni visasi, vitisho kwa wana CCM wengine wenye nia ya kufanya siasa nje ya CCM na chuki za kijinga.
Pia ufinyu wa akili zao wamemkomoa Masha kwa sababu alihama chama wakati wa uchaguzi. Wanachosahau nafasi zile ni za CDM tu hata aridhi ipasuke. Walichosahau kingine Wenje na Masha wanaenda kuiwakilisha nchi na sio CDM au CCM wote pamoja na wale wa CCM baada ya kuchaguliwa ajenda yao kubwa inabaki ni nchi sio vyama.Nina wahasa chuki hazijengi ziku zote zinabomoa.
Wenje,Huyu walimkataa kwa kinyongo, Mtakumbuka amekuwa mwiba kwa CCM muda wote na ilifikia wakadhamiria yeye na Kafulila watawafuta kwenye siasa za nchi kwa gharama yoyote. Leo wametekeleza kisasi mbele ya kamera na macho ya watanzania bila aibu. Cha kusikitisha zaidi baada ya uhasi huu kwa taifa. Kesho CCM hao hao wakiongozwa na spika utawasikia wakisema tuweke utaifa mbele na uzalendo na si vyama vyetu.Utawasikia wakisema si kila jambo ziingizwe siasa, unafiki mkubwa.
Kwa hali hii kama taifa.Viwanda na uchumi wa kati tutabaki kusoma kwenye magazeti ya Kenya na Rwanda tu.Huku sisi tukirudi enzi za kikoloni na kujiona bado tuna uhuru wa kifikra na kiuchumi.
sababu za kukataliwa Wenje- Masha alisema yeye ni MkenyaWengi mtakuwa mnajiuliza kwanini CCM walipiga kura za kukomoana jana kwa Wenje na Masha. Kubwa ninaloliona hapa ni visasi, vitisho kwa wana CCM wengine wenye nia ya kufanya siasa nje ya CCM na chuki za kijinga.
Pia ufinyu wa akili zao wamemkomoa Masha kwa sababu alihama chama wakati wa uchaguzi. Wanachosahau nafasi zile ni za CDM tu hata aridhi ipasuke. Walichosahau kingine Wenje na Masha wanaenda kuiwakilisha nchi na sio CDM au CCM wote pamoja na wale wa CCM baada ya kuchaguliwa ajenda yao kubwa inabaki ni nchi sio vyama.Nina wahasa chuki hazijengi ziku zote zinabomoa.
Wenje,Huyu walimkataa kwa kinyongo, Mtakumbuka amekuwa mwiba kwa CCM muda wote na ilifikia wakadhamiria yeye na Kafulila watawafuta kwenye siasa za nchi kwa gharama yoyote. Leo wametekeleza kisasi mbele ya kamera na macho ya watanzania bila aibu. Cha kusikitisha zaidi baada ya uhasi huu kwa taifa. Kesho CCM hao hao wakiongozwa na spika utawasikia wakisema tuweke utaifa mbele na uzalendo na si vyama vyetu.Utawasikia wakisema si kila jambo ziingizwe siasa, unafiki mkubwa.
Kwa hali hii kama taifa.Viwanda na uchumi wa kati tutabaki kusoma kwenye magazeti ya Kenya na Rwanda tu.Huku sisi tukirudi enzi za kikoloni na kujiona bado tuna uhuru wa kifikra na kiuchumi.
Kwani mkuu tatizo amechaguliwa msiyemtaka?
1wapo ya sifa ya mwanachama wa cdm ni kujua kutukana na kuongea kwa jazbaKwa vile huo ndio ukomo wako wa kufikiria nakusamehe. Umetumia vizuri kipaji chako cha kucheua matusi.
Wengi mtakuwa mnajiuliza kwanini CCM walipiga kura za kukomoana jana kwa Wenje na Masha. Kubwa ninaloliona hapa ni visasi, vitisho kwa wana CCM wengine wenye nia ya kufanya siasa nje ya CCM na chuki za kijinga.
Pia ufinyu wa akili zao wamemkomoa Masha kwa sababu alihama chama wakati wa uchaguzi. Wanachosahau nafasi zile ni za CDM tu hata aridhi ipasuke. Walichosahau kingine Wenje na Masha wanaenda kuiwakilisha nchi na sio CDM au CCM wote pamoja na wale wa CCM baada ya kuchaguliwa ajenda yao kubwa inabaki ni nchi sio vyama.Nina wahasa chuki hazijengi ziku zote zinabomoa.
Wenje,Huyu walimkataa kwa kinyongo, Mtakumbuka amekuwa mwiba kwa CCM muda wote na ilifikia wakadhamiria yeye na Kafulila watawafuta kwenye siasa za nchi kwa gharama yoyote. Leo wametekeleza kisasi mbele ya kamera na macho ya watanzania bila aibu. Cha kusikitisha zaidi baada ya uhasi huu kwa taifa. Kesho CCM hao hao wakiongozwa na spika utawasikia wakisema tuweke utaifa mbele na uzalendo na si vyama vyetu.Utawasikia wakisema si kila jambo ziingizwe siasa, unafiki mkubwa.
Kwa hali hii kama taifa.Viwanda na uchumi wa kati tutabaki kusoma kwenye magazeti ya Kenya na Rwanda tu.Huku sisi tukirudi enzi za kikoloni na kujiona bado tuna uhuru wa kifikra na kiuchumi.