CCM 2015 wajiandae kukabidhi nchi kwa UKAWA

You better check your password, ukishabadilisha encrypt it so that none can easily access it.

Usijifanye kumtisha na kiingereza chako cha darasa la jioni. Huyo ni kada mwenzenu ameamua kufunguka maana hamtaki kumpa chake. Hiyo inaitwa mgonjwa kagoma kunywa dawa.

Japo kajichanganya ila ndio ukweli ambao hapo Lumumba mnaujua, mnajua kabisa safari hii bila kumwaga damu ushindi mtausikia. Fanya mfanyalo uchaguzi wa mwaka huu ndio utaleta mapinduzi nchi hii hata kama ccm mtalazimisha urais
 
Habar chin y mkeka
Lowasa,Membe wametolewa njee rasmi n kutogombea uraisi tiket ya ccm.
 

Naomba unitake radhi mkuu kunilinganisha, kunifikiria, na kunifananisha kama nami ni Bk7 from Lumumbaville. Wow nimekosa sumu around.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…