NI habari njema kwa watanzania kwa kuzaliwa UKAWA kwani kwa hofu ya CCM kuanguka imekuwa kubwa mpaka wameanza kuweweseka.Ni kutokana na namna UKAWA walivojitambua na kukabiliana na propaganda za CCM, mfano CCM waliimaliza CUF kwa kusema ni chama cha waislamu na wakatumia staili ile ile kwa CHADEMA kuwa ni chma cha wakirsto.
Sasa UKAWA kudai watamsimamisha mgombea mmoja 2015, hiyo imekuwa shubiri kali kwa sisi kuimeza.
Ni ukweli huo tunawaomba CCM kukabidhi nchi hii kwa amani kwa UKAWA kwani wananchi hatutakubali tena wizi wa kura kwani miaka 50 ya mateso na shida sasa imetosha na sisi tunasema basi.