Tetesi: CAS yabaini Bodi ya Ligi na Simba Sc zilikula njama kuahirisha mchezo halali wa ligi

MwananchiOG

JF-Expert Member
Apr 4, 2023
2,182
4,359
Habari za kikachero zimebainisha kwamba mpaka sasa kwa mujibu wa report zilizotumwa katika mahakama ya usuluhishi wa michezo (CAS) kutoka pande zote, mpaka sasa imebainika kwamba sababu za utetezi wa bodi ya ligi kuahirisha mchezo wa ligi tarehe 8 hazina mashiko, Hivyo hawakuwa na sababu zozote za kuahirisha mchezo.

Soma Pia: CAS yapokea barua ya Yanga, TFF, Bodi ya Ligi na Simba SC wapewa siku 10 kujibu

Kwa upande mwingine, Barua iliyoandikwa na Simba kwenda bodi ya ligi kisha kupelekea mchezo kuahirishwa imewatia hatiani Simba hivyo wote wawili wamebainika kula njama kukimbia derby.

Adhabu inaweza kufuata muda wowote.
 
Habari za kikachero zimebainisha kwamba mpaka sasa kwa mujibu wa report zilizotumwa katika mahakama ya usuluhishi wa michezo (CAS) kutoka pande zote, mpaka sasa imebainika kwamba sababu za utetezi wa bodi ya ligi kuahirisha mchezo wa ligi tarehe 8 hazina mashiko, Hivyo hawakuwa na sababu zozote za kuahirisha mchezo.

Soma Pia: CAS yapokea barua ya Yanga, TFF, Bodi ya Ligi na Simba SC wapewa siku 10 kujibu

Kwa upande mwingine, Barua iliyoandikwa na Simba kwenda bodi ya ligi kisha kupelekea mchezo kuahirishwa imewatia hatiani Simba hivyo wote wawili wamebainika kula njama kukimbia derby.

Adhabu inaweza kufuata muda wowote.
Nitafurahi sana simba ikishushwa daraja na baadhi ya viongozi wa Tff kulazimishwa kujiuzuru
 
Habari za kikachero zimebainisha kwamba mpaka sasa kwa mujibu wa report zilizotumwa katika mahakama ya usuluhishi wa michezo (CAS) kutoka pande zote, mpaka sasa imebainika kwamba sababu za utetezi wa bodi ya ligi kuahirisha mchezo wa ligi tarehe 8 hazina mashiko, Hivyo hawakuwa na sababu zozote za kuahirisha mchezo.

Soma Pia: CAS yapokea barua ya Yanga, TFF, Bodi ya Ligi na Simba SC wapewa siku 10 kujibu

Kwa upande mwingine, Barua iliyoandikwa na Simba kwenda bodi ya ligi kisha kupelekea mchezo kuahirishwa imewatia hatiani Simba hivyo wote wawili wamebainika kula njama kukimbia derby.

Adhabu inaweza kufuata muda wowote.
Chanzo cha habari. Kama ni Chai uvishwe abaya
 
Habari za kikachero zimebainisha kwamba mpaka sasa kwa mujibu wa report zilizotumwa katika mahakama ya usuluhishi wa michezo (CAS) kutoka pande zote, mpaka sasa imebainika kwamba sababu za utetezi wa bodi ya ligi kuahirisha mchezo wa ligi tarehe 8 hazina mashiko, Hivyo hawakuwa na sababu zozote za kuahirisha mchezo.

Soma Pia: CAS yapokea barua ya Yanga, TFF, Bodi ya Ligi na Simba SC wapewa siku 10 kujibu

Kwa upande mwingine, Barua iliyoandikwa na Simba kwenda bodi ya ligi kisha kupelekea mchezo kuahirishwa imewatia hatiani Simba hivyo wote wawili wamebainika kula njama kukimbia derby.

Adhabu inaweza kufuata muda wowote.
Hili liko Wazi kabisa Wala halihitaji D.
 
Habari za kikachero zimebainisha kwamba mpaka sasa kwa mujibu wa report zilizotumwa katika mahakama ya usuluhishi wa michezo (CAS) kutoka pande zote, mpaka sasa imebainika kwamba sababu za utetezi wa bodi ya ligi kuahirisha mchezo wa ligi tarehe 8 hazina mashiko, Hivyo hawakuwa na sababu zozote za kuahirisha mchezo.

Soma Pia: CAS yapokea barua ya Yanga, TFF, Bodi ya Ligi na Simba SC wapewa siku 10 kujibu

Kwa upande mwingine, Barua iliyoandikwa na Simba kwenda bodi ya ligi kisha kupelekea mchezo kuahirishwa imewatia hatiani Simba hivyo wote wawili wamebainika kula njama kukimbia derby.

Adhabu inaweza kufuata muda wowote.
Unatumia makalio na CAS yako ya mchongo
 
Habari za kikachero zimebainisha kwamba mpaka sasa kwa mujibu wa report zilizotumwa katika mahakama ya usuluhishi wa michezo (CAS) kutoka pande zote, mpaka sasa imebainika kwamba sababu za utetezi wa bodi ya ligi kuahirisha mchezo wa ligi tarehe 8 hazina mashiko, Hivyo hawakuwa na sababu zozote za kuahirisha mchezo.

Soma Pia: CAS yapokea barua ya Yanga, TFF, Bodi ya Ligi na Simba SC wapewa siku 10 kujibu

Kwa upande mwingine, Barua iliyoandikwa na Simba kwenda bodi ya ligi kisha kupelekea mchezo kuahirishwa imewatia hatiani Simba hivyo wote wawili wamebainika kula njama kukimbia derby.

Adhabu inaweza kufuata muda wowote.
Napendekeza ikiwapendeza CAS kolo ashushwe daraja tushindane na washindani halisi kwenye ligi yetu.Povu ruksa.
 
Ukiweka ushabiki pembeni na kutumia ile akili ya kuvukia barabara bila kutumia d zako mbili iko wazi Simba walikimbia derby kisa wameshindwa kuroga uwanja kwa kutumia wazee wafupi na mbuzi, majeruhi ya key players kina Che Malone na Camara na viongozi kukwepa kutimuliwa kwa kichapo mara ya tano.

Kazi ya CAS ni ndogo mno, kushusha rungu tu, derby ni mchezo mkubwa sababu za kuahirisha lazima ziwe kubwa na ziende na ushahidi kitu ambacho bodi na Simba hawana.

Yanga lazima ikaze ikibidi hadi Fifa na UEFA bila kujali tumeshinda kesi au tumeshindwa hii itasaidia wahuni wa Simba na bodi ya ligi wasirudie uhuni wao. Yanga ni serious project uhuni hauna nafasi. Bodi ikiachwa bila adhabu Simba wataendelea kukimbia derby na kuharibu ligi na raia kupoteza pesa zao za tickets ambao ni wizi.
 
Ukiweka ushabiki pembeni na kutumia ile akili ya kuvukia barabara bila kutumia d zako mbili iko wazi Simba walikimbia derby kisa wameshindwa kuroga uwanja, majeruhi ya key players na viongozi kukwepa kutimuliwa kwa kichapo mara ya tano.

Kazi ya CAS ni ndogo mno, kushusha rungu tu, derby ni mchezo mkubwa sababu za kuahirisha lazima ziwe kubwa na ziende na ushahidi kitu ambacho bodi na Simba hawana.
Yanga wenye akili wawili tu na wewe haumo
 
Yanga wenye akili wawili tu na wewe haumo
Hilo nalijua mtani, na nimekubaliana nawewe, ila makolo hatuwaelewi kuna wakati mlituongeza wenye akili uto wakawa watatu na Mzee magoma moto, kwahiyo mmemtoa tena?

Tukishinda kesi CAS tunaomba mtuongezee Hersi na Kamwe au vipi? Wawe wanne wenye akili!

Ila nakukumbusha nyie ni mbumbumbu wote mwenye akili msimbazi ni mmoja tu Mr Rage
 
Hilo nalijua mtani, na nimekubaliana nawewe, ila makolo hatuwaelewi kuna wakati mlituongeza wenye akili uto wakawa watatu na Mzee magoma moto, kwahiyo mmemtoa tena?

Tukishinda kesi CAS tunaomba mtuongezee Hersi na Kamwe au vipi? Wawe wanne wenye akili!

Ila nakukumbusha nyie ni mbumbumbu wote mwenye akili msimbazi ni mmoja tu Mr Rage
Tokalini ukashinda kesi wewe? Kuanzia BM3 na Kagoma hii ni mifano tosha, uzuri wa utopolo hata akipewa dudubaya wanawaongoza vizur tu. Wewe subiria simba akupangie tarehe kipigwe
 
Tokalini ukashinda kesi wewe? Kuanzia BM3 na Kagoma hii ni mifano tosha, uzuri wa utopolo hata akipewa dudubaya wanawaongoza vizur tu. Wewe subiria simba akupangie tarehe kipigwe
Utaenda kucheza wewe na mangungo. ni kweli kesi zingine tulishindwa ila kesi hii mbumbumbu mmeingia cha kike nina uhakika uto tunashinda asubuhi tu na mtashushwa daraja, siku ingine mtaleta timu tuwakande khamsa kama kawa.
 
Habari za kikachero zimebainisha kwamba mpaka sasa kwa mujibu wa report zilizotumwa katika mahakama ya usuluhishi wa michezo (CAS) kutoka pande zote, mpaka sasa imebainika kwamba sababu za utetezi wa bodi ya ligi kuahirisha mchezo wa ligi tarehe 8 hazina mashiko, Hivyo hawakuwa na sababu zozote za kuahirisha mchezo.

Soma Pia: CAS yapokea barua ya Yanga, TFF, Bodi ya Ligi na Simba SC wapewa siku 10 kujibu

Kwa upande mwingine, Barua iliyoandikwa na Simba kwenda bodi ya ligi kisha kupelekea mchezo kuahirishwa imewatia hatiani Simba hivyo wote wawili wamebainika kula njama kukimbia derby.

Adhabu inaweza kufuata muda wowote.
Acha ubwege . Rubbish
 
Habari za kikachero zimebainisha kwamba mpaka sasa kwa mujibu wa report zilizotumwa katika mahakama ya usuluhishi wa michezo (CAS) kutoka pande zote, mpaka sasa imebainika kwamba sababu za utetezi wa bodi ya ligi kuahirisha mchezo wa ligi tarehe 8 hazina mashiko, Hivyo hawakuwa na sababu zozote za kuahirisha mchezo.

Soma Pia: CAS yapokea barua ya Yanga, TFF, Bodi ya Ligi na Simba SC wapewa siku 10 kujibu

Kwa upande mwingine, Barua iliyoandikwa na Simba kwenda bodi ya ligi kisha kupelekea mchezo kuahirishwa imewatia hatiani Simba hivyo wote wawili wamebainika kula njama kukimbia derby.

Adhabu inaweza kufuata muda wowote.
Watu wameokoa nchi kuingia vitani, Kwani kulikuwa na viashiria vya uvunjifu wa Amani na mojawapo ya Timu kongwe kushushwa daraja.
 
Back
Top Bottom