Bus gani linalotembea mwendo wa wastani kutoka Dar kwenda Kigoma?

hahaha ... mkuu jamaa ... anataka ... basi lenye mwendo ... wakinyonga ... hahaha ... hii ni jinsi gani inaonyesha ... alivyonadharau ... hata speed iliyopangwa na SUMATRA anapingana nayo ... anadhani kigoma ni pakuchezea ... kama vipi apande daladala za kwenda MBAGALA atafika tu ...
 
[Q="chini ya muti, post: 16783423, member: 357968"]panda saratoga lakini uhakikishe unapiga mzinga wa gongo au nyagi maana hiyo speed kama fast jet tu....kigoma moja hiyoooo.....[/QUOTE]

Mkuu Saratoga linatoka dar saa ngapi? Na nauli ni sh ngapi mkuu
 
[Q="chini ya muti, post: 16783423, member: 357968"]panda saratoga lakini uhakikishe unapiga mzinga wa gongo au nyagi maana hiyo speed kama fast jet tu....kigoma moja hiyoooo.....

Mkuu Saratoga linatoka dar saa ngapi? Na nauli ni sh ngapi mkuu[/QUOTE]
Mkuu sometimes tunajitakia wenyewe Maneno
Kwa nini usiende ubungo au usimuombe Nduguyo aliyeko karibu akaenda kukuangalizia
 
Back
Top Bottom