Imefungiwa kwa mdaOTA high class. Hawana mashindano
Haijafungiwa mimi nimeipanda Jumanne hii hoja Kigoma unasema umefungiwa? Usichanganye na City BoysImefungiwa kwa mda
Lini wakati nimewapanda Jumanne from kigoma to DarHawa wamepigwa pini kwa sasa mpaka further notice
Mkuu Kama Hautaki Kupanda Mabasi Yanayokimbia Sana ... Ni Kheri Upande Ndege Tu ... Ndio Inamwendo Kama Kobe ...
Ha ha ha.. Hukawii kusema UDARTCity Boy
Leo juma ngapi Kwani mkuuLini wakati nimewapanda Jumanne from kigoma to Dar
hahaha ... mkuu jamaa ... anataka ... basi lenye mwendo ... wakinyonga ... hahaha ... hii ni jinsi gani inaonyesha ... alivyonadharau ... hata speed iliyopangwa na SUMATRA anapingana nayo ... anadhani kigoma ni pakuchezea ... kama vipi apande daladala za kwenda MBAGALA atafika tu ...
[Q="chini ya muti, post: 16783423, member: 357968"]panda saratoga lakini uhakikishe unapiga mzinga wa gongo au nyagi maana hiyo speed kama fast jet tu....kigoma moja hiyoooo.....