Burundi minister targeted grenade attack

Chanzo cha mgogoro kivipi? Wao walifanya nini? Kila mtu anajua mgogoro ulisababishwa na mapinduzi na sio Nkuruziza. Kazi yako ngumu sana aisee, maana inabidi ujitoe akili kabisaaaa.
anha, unataka kujifanya mjinga, kusudu uanzie story katikati! anza mwanzo
 
kwani Museveni uliona akiuwa waandamanaji? Interahamwe bana duh
waandamanaji wa museveni walikuwa na AK-47? walikuwa wanalipua grenades? walikuwa wanachoma mashule? Wewe ndio interahamwe wahedi!
 
1. kwa kuendelea na uchaguzi ni watu wangapi walikufa? How does that justify mauaji! yani nyie watu ajabu kweli kweli. Mbona zanzibar uchaguzi umefanyika kibabe na hakuna mtu aliyepoteza maisha?
2. Mbona wapinzani hao wameshindwa mahakamani na hawataki kwenda mahakama za juu zaidi? Mahakama mbili zimekubali haki ya nkuruzinza kugombea, hao watu wanaoua wenzao wao wana ushahidi gani wa kitaaluma kuwa nkurunzinza hana haki?
usichanganye mambo! umeniuliza kuhusu Museveni ni kakuambia ingawa Uganda waliandamana ulisikia mtu kauwawa?
 
usichanganye mambo! umeniuliza kuhusu Museveni ni kakuambia ingawa Uganda waliandamana ulisikia mtu kauwawa?
Nimechanganya kitu gani sema wewe ndio unachanganya mambo, waandamanaji wa museveni na wenyewe wangekuwa wanaandamana kigaidi kama sindumuja wa cibitoke wangepigwa tu. We umeona wapi waandamanaji waue ila wao wasiuawe na polisi?
 
waandamanaji wa museveni walikuwa na AK-47? walikuwa wanalipua grenades? walikuwa wanachoma mashule? Wewe ndio interahamwe wahedi!
AK-47 kama huyu marehemu?
CbNQ_EgW0AAh46E.jpg
 
Nimechanganya kitu gani sema wewe ndio unachanganya mambo, waandamanaji wa museveni na wenyewe wangekuwa wanaandamana kigaidi kama sindumuja wa cibitoke wangepigwa tu. We umeona wapi waandamanaji waue ila wao wasiuawe na polisi?
unajidanganya sana! na usikiri watu wote hapa ni wanaakili kama zako, wengi wameyafuatilia tangu mwanzo, usitake kuanzisha upotoshaji wako
 
AK-47 kama huyu marehemu?
CbNQ_EgW0AAh46E.jpg
aliuawa namna gani? Huyu awe targeted ili iweje? Huyu anamnyima usingizi Nkurunza kivipi? Elezea the whole story how he died sio kuleta habari nusu nusu. Hizi mbinu zenu za kutafuta sympathy tumeshazoea. Kama ambavyo mnaonyesha mafuvu kidogo kwenye museum ili kuhalalisha mauaji ya watu milioni 8 DRC na kwingineko!
Hata mwehu anajua kuwa watoto waliokufa kwa mashambulizi ya waasi Burundi ni wengi kuliko huyu unayemuonyesha hapa lakini Nkurunzinza hana roho mbaya kiasi hicho cha kutumia maiti kama unavyofanya wewe.
 
unajidanganya sana! na usikiri watu wote hapa ni wanaakili kama zako, wengi wameyafuatilia tangu mwanzo, usitake kuanzisha upotoshaji wako
Kila mtu anajua wewe ndio mpotoshaji, ndio maana kila siku unaanzisha ID mpya za kushindana na mimi na kuleta picha kuwa watu wenye mawazo yako wako wengi humu JF, cha kuchekesha unajisahau na kuanza kulumbana kwa kutumia ID pendwa. Kila mtu anaona jinsi unavyoanzisha mjadala na ID moja halafu ikijibiwa inakaa kimya wewe unaipokea. Tumia akili kidogo tu mkuu, si unajua penati ya uzembe wa kumuaibisha aliyekutuma?:D
 
siyo huyo dogo (RIP) huyo ni mwingine! huyo naye aliuliwa akitoka kwa kinyozi pamoja na baba yake... mchana kweupe!
Mbona huelezi huyu dogo yeye alikuwa nani kwenye hao waasi mpaka auawe? Baba yake naye auwawe for what motive? Funguka, you are not making any sense.
 
Mbona huelezi huyu dogo yeye alikuwa nani kwenye hao waasi mpaka auawe? Baba yake naye auwawe for what motive? Funguka, you are not making any sense.
kwa sababu alikuwa na AK-47 barabarani! nyie Interahamwe noma sana
 
hivi kwani kuna mtu ameletw dunian kw ajiri ya kuongoz wengine,kila mtu ana uwezo kiongoz na nchi nzuri siku zote ujengw kw ushirikiano ni ngum san mtu mmoj kufany mazur yote. miaka zaidi ya 8 umekuw ukiongoz nchi bado tu unatak kuongoz zaid ya hapo
 
hivi kwani kuna mtu ameletw dunian kw ajiri ya kuongoz wengine,kila mtu ana uwezo kiongoz na nchi nzuri siku zote ujengw kw ushirikiano ni ngum san mtu mmoj kufany mazur yote. miaka zaidi ya 8 umekuw ukiongoz nchi bado tu unatak kuongoz zaid ya hapo
miaka kumi tena ya reverse mkuu! alipo ikuta nchi na alipo irudisha, aibu tupu! na bado anang'ang'ania...
 
lol... kwani nani kakuambia nataka unielewe? we najuwa unanielewa ila midamu ndiyo hivyo tena, ishawamaliza!
CT3SfyCWcAADoSn.jpg
Picha huwa na maelezo na source. Je maelezo ya picha yanasema nini? Mbona huonyeshi upande wa pili hao wanaolengwa walikuwa kina nani na walikuwa na nini?
 
hivi kwani kuna mtu ameletw dunian kw ajiri ya kuongoz wengine,kila mtu ana uwezo kiongoz na nchi nzuri siku zote ujengw kw ushirikiano ni ngum san mtu mmoj kufany mazur yote. miaka zaidi ya 8 umekuw ukiongoz nchi bado tu unatak kuongoz zaid ya hapo
Museveni, kagame, kabila wote hao wameongoza miaka mingi, lakini bado hakuna uhalali wa watu kuua watu wasio na hatia kwa sababu hiyo. Kila kitu kinakwenda kwa utaratibu wa kisheria.
 
Back
Top Bottom