Bungeni Dodoma: Nukuu tata za wabunge wa CCM bungeni leo

The problem of closed minded idiots... Hey can you excuse me and stop quoting me?? Do that favor please, i don't argue with imbecile..
Unamtisha nani na kiingereza cha chekechea? Katafute wa kutisha chizi wewe!
 
KAULI ZA WABUNGE WA CCM BUNGENI LEO 11/04/2017

Hivi Waziri wa Habari alikwenda kufanya nini katika Press ya Roma, mkiambiwa mlimteka mtakataa? Bora kusema ukweli kuliko kukaa kimya, najua mtasema kwa kuwa nilikosa uwaziri No! - Juma Nkamia (CCM)

Mimi nimekamatwa na kuteswa na Usalama wa Taifa. Nimenyanyaswa sana nchi hii. Ikibidi mnifukuze CCM (machozi) - Hussein Bashe (CCM)

Hakuna sababu ya Mwigulu kuendelea kukaa kimya wakati wananchi wanaishi kwa wasiwasi juu ya usalama wao. Kutoa kauli kunasaidia kutoa hofu. - Ridhiwani Kikwete (CCM)

Mimi ni miongoni mwa wabunge niliotishwa na Mkuu wa mkoa wa Dar, na mpaka sasa mimi sikanyagi Dar licha ya kuimisi sana - Hillary Aeshi (CCM)

Jamani ifike hatua sasa Rais Magufuli ajitafakali upya. CCM imepasuka vipande na serikali yake kwa ujumla imepasuka vipande. Serikali imekosa umoja wa kitaifa kila siku ni new series.

Hakuna anayekumbuka kukuza uchumi sasa kila mtu anawaza ni muda gani atauwawa
Sio walimpa uenyekiti wa chama ngoja awasomeshe namba
 
Leo sioni comments za cocochanel? Hili dude 'cocochanel' ni lidubwasha gani humu JF na nje ya JF? Lilikuwa linaletaga comments za ajabu na za kuudhi lakini ghafla kimyaaaa baada ya wabunge wa ccm kureact? Nchi hii kuna watu wachache wanaichezea kwa maslahi yao. Wabunge unganeni kusaidia taifa letu.

OMG

Je ulinichukulia na kunijazia fomu ya kujiunga na chama nchini!?
 
Kazi ni moja tyu apa
Nchi inyooshwe kama tulivoahidiwa naona watu wanapoteana uko
Numbering is going on yetu macho
 
Back
Top Bottom