Bunge Lisilo Na Faida Kwa Watanzania Lijitafakari

Tanzania sio ya Vibaraka wa mabeberu, na masaliti kama ilivyo CHADEMA

Uovu, ufisadi na uchafu wote nchi hii umesababishwa na CCM, siyo CHADEMA, siyo CUF, siyo ACT au chama kingine chochote.

Lazima uwe mwendawazimu hasa, kuweza kuvituhumu vyama vingine vyovyote zaidi ya CCM kwa uovu wowote wa watawala nchi hii. Tangu uhuru mpaka leo ni CCM ndiyo inayoendelea kuwatesa wanancho. Na CCM ndiyo kizingiti kikubwa cha kupata kitaba mpya ya kuwadhibiti mafedhuli, kwa sababu mafedhuli wote wapo ndani ya chama chao.
 
Kama ilivyo CHADEMA. Imejaa vibaraka wa mabeberu, masaliti, waasi, magaidi, wauaji, wachochezi na waongo.

Wewe mwenyewe ni mamluki na ni mkoloni tu anayejinasibu Utanzania. Mpuuzi tu anayetawaliwa na fikra na mawazo ya Mkoloni.

Punguani endelea kupiga kelele, lakini ujue kuwa mada ni kwaajili ya watu wenye akili timamu, siyo wewe.
 
Kila Mara naandika hapa, kama ingekua tunafanya biashara, hiki kitengo Cha bunge tungeachana na hiyo biashara kabisa. Kukuangalia pesa tunapoteza Kwa bunge na tunachokipata, having uwiano kabisa. Ni zaidi ya hasara.

Bora tungekua na kikosi Cha watu walioajiriwa, wabobevu wa Sheria, utawala na kusimamia mipango. Hao ndio wawe na jukumu la kuishsuri, kusimamia na kupitia mambo ya kitaalam yanayohusu Sheria. Uwakilishi wa wananchi utapitia madiwani huko ngazi za wilaya, tawala za mikoa na kufikia hii tume.

Hawa jamaa wataomba kazi kulingana na sifa na watalipwa mishahara.

Tuachane na Hawa watu wasiokatwa hata makato ya kutuma 20k Kwa mitandao ya simu. Wanawakilisha maslahi yao zaidi na sio wananchi Tena.
Hakuna kitu cha kijinga kama hili Bunge la kijinga mno na halifai hata kuwepo. Unatarajia nini mtu wakati wa kampeni mwanaume anakuna nazi ama anaosha vyombo kama njia ya kushawishi wapiga kura wamchague.
 
Punguani endelea kupiga kelele, lakini ujue kuwa mada ni kwaajili ya watu wenye akili timamu, siyo wewe.
Huna uwezo wowote ule wa kupima akili. Huna. Usijututumue na ngonjera na upuuzi wako.

Nimesema wewe ni Mamluki tu

Tangia umezamia hapa Tanzania, hujawahi kulitakia Taifa letu mema. Wewe ndio Mkoloni mwenyewe

...Watu wenye akili timamu huwa hawachochei Uasi juu ya Taifa lao.
 
Wewe huwa unajulikana humu JF kwa uzuzu wako uliopea viwango.Chawa unayetaga wewe!
Soma tena 💉

Kwani hukufundishwa shuleni?

Wewe kweli umeishiwa, kila mtu anayekushinda hoja, ni zuzu, anashika wowowo na ni chawa.

Angalau ujaribu kuwa mbunifu kidogo, hiyo script ishapitwa na wakati.

Rejea tena nilichoandika.
 
Soma tena 💉

Kwani hukufundishwa shuleni?

Wewe kweli umeishiwa, kila mtu anayekushida hoja, ni zuzu, amashika wowowo ma ni chawa.

Angalau ujaribu kuwa mbunifu kidogo, hiyo script ishapitwa na wakati.

Rejea tena nilichoandika.
Bado haikuondolei uzuzu wako.Wewe umesoma ulichokiandika/kukicharaza huku unatetemeka.Chawa tu wewe!
 
Huna uwezo wowote ule wa kupima akili. Huna. Usijututumue na ngonjera na upuuzi wako.

Nimesema wewe ni Mamluki tu

Tangia umezamia hapa Tanzania, hujawahi kulitakia Taifa letu mema. Wewe ndio Mkoloni mwenyewe

...Watu wenye akili timamu huwa hawachochei Uasi juu ya Taifa lao.
Nimekupuuza. Nitaendelea kujadiliana na wenye akili timamu, watu walio wakweli wanafsi, wenye uzalendo wa kweli kwa Taifa lao, siyo wewe chawa mnafiki.
 
Nimekupuuza. Nitaendelea kujadiliana na wenye akili timamu, watu walio wakweli wanafsi, wenye uzalendo wa kweli kwa Taifa lao, siyo wewe chawa mnafiki.

Kumbe ulikuwa ukipuuzwa utototoni? Ndio maana. Pole sana. 😂😂😂😌Kwamba ukinipuuza ndio itakuwa nini? Utanipunguzia nini. Endelea na majadiliano yenu haya feki na ya uchochezi.


Itoshe, wewe ndio Ushapuuzwa na Nchi nzima. Kila leo unaleta Ukoloni wako. Nipuuze basi kama ndio unaona umefika. Ngonjera zako zinajulikana

Ati Uzalendo. Huna Uzalendo BAMS. Huna. Uzalendo wako upo na magaidi wenzako. Usituhadae.

Nyumbu wahed
 
Hakuna Bunge hapa ila kuna Rubber Stamp ya Mtawala.

Hakika. Bungeni tuna majitu yaliyopokonya haki ya wananchi kuwachagua wawakilishi wao. Yamefika Bungeni, yametengeneza syndicate ya kuudhulumu umma. Bunge limegeuka kuwa genge la kuidhinisha uharamia dhidi ya Taifa - bandari zetu, misitu yetu, mbuga zetu za Taifa, na sasa kupitia uhaba wa sukari. Hawa watu, kwao kila tukio, hata yawe maafa, ni fursa ya kufanya ufisadi.
 
Bunge letu limepoteza ile heshima ya kuitwa Bunge tukufu. Sasa hivi asilimia kubwa kama si yote, wanawaza hela afanye mambo yake na familia yake.

Hawezi kupinga chochote, kisicho na maslahi na wananchi. Yuko pale kwa aliyemuingiza Bungeni. Kuanzia spika mpaka huyo mbunge wa daraja la pili, viti maalum.

Leo hii hata wewe unayesoma hapa, ukiwa tu na connection, unaingia Bungeni. Watu wa hivi, ndiyo tuwategemee kwa fikra kubwa tunajidanganya.

Viti maalum VIFUTWE, wanawake sasa tunaweza kusimama na mwanaume, jimboni na kutangaza sera na kushinda. Hii viti maalum ni kirusi wao kila kitu ndiyo, hawana msaada.

Wao hawakatwi kodi, wana hasara gani kupitisha kila kitu, kinachomkandamiza mwananchi. Bunge hili, ni kufuga wavivu, wanalipwa bure, wananenepeana hovyo. Tunataka Bunge lenye tija si hili la kupeana kama zawadi.
Sasa kwann wana nchi mnawarudisha tena bungeni kma hawana faida ….. kuna haja gani kwwnda kwwny sanduku la kura na kupoteza muda kwa watu wasio faa
 
Back
Top Bottom