Brand new land cruiser prado 2016 for sale

Tsh wewe angalia 73,500 d0ll sawa na shilling ngap lete mzigo huo
 
attachment.php
IYO NDIO YA 2016 MKUU
 
Bei: DOLL 73,500 Ukilipia kodi mwenyewe 55,000 DOLL (INAPUNGUA KIDOGO SANA)
Mwaka: 2015
Aina ya Mafuta: PETROL
Umbali: km 0
Injini (cc): 2700
AUTOMATIC
GARI NIJIPYA
SHOWROOM IPO SINZA
YAPO LAMGI MBALIMBALI VILEVILE KAMA HALIPO UNAWEKA (ORDER) UNALETEWA KARIBUNI SANA
SIMU 0755984282 AU 0712690760
 
Ni gari mpya sasa km imetembea km hata moja sio mpya ni imetumika mkuu
 
Ni kwakulipia kodi mwenyewe doll 55,000 na kwa kulipia sisi doll 73,500 acha kununua magari kwa kucremu eti magari mill 200 aya lete kama unayo mill 200

Waambie hiyo $73,500 ni sawa na kiasi gani kwa pesa ya Tanzania? Kuna watu wana pesa ila linapokuja suala la pesa za nje hawajui kitu, kwahiyo waambie tu kwamba gari inauzwa kiasi hiki bila malipo ya kodi, na kiasi ikiwa, tutalipia wenyewe hiyo kodi.
 
Ww jamaa ni Mhaya nn mana misifa yenu nshomile balaa...sasa unaandika brand new Toyota 2016...hata huo mwaka haujafika imekuaje unaanza kutengeneza brand zake au ndio mnaukimbilia??!!
Mara Somoche, Gokelomo. Huyu jamaa kwa fix, bila shaka ni Muhaya. Eti Brand New Toyota Landcruise ya 2016
 
Ww jamaa ni Mhaya nn mana misifa yenu nshomile balaa...sasa unaandika brand new Toyota 2016...hata huo mwaka haujafika imekuaje unaanza kutengeneza brand zake au ndio mnaukimbilia??!!

Usifanye hitimisho la jumla ndugu. Siyo kila mhaya ni punguani. Wapo wapuuzi kama yalivyo makabira mengine.
 
Back
Top Bottom