Ww jamaa ni Mhaya nn mana misifa yenu nshomile balaa...sasa unaandika brand new Toyota 2016...hata huo mwaka haujafika imekuaje unaanza kutengeneza brand zake au ndio mnaukimbilia??!!
Ni kwakulipia kodi mwenyewe doll 55,000 na kwa kulipia sisi doll 73,500 acha kununua magari kwa kucremu eti magari mill 200 aya lete kama unayo mill 200
price: Doll 73,500 with tax payment (negotiable) tsh 151,345,125 inategea na doll itakavyo kua kwasiku
2015 na zip0 teyali za 2016 tarehe moja tu zinanza kusambazwa karibu kutoa order mkuu
Mara Somoche, Gokelomo. Huyu jamaa kwa fix, bila shaka ni Muhaya. Eti Brand New Toyota Landcruise ya 2016Ww jamaa ni Mhaya nn mana misifa yenu nshomile balaa...sasa unaandika brand new Toyota 2016...hata huo mwaka haujafika imekuaje unaanza kutengeneza brand zake au ndio mnaukimbilia??!!
Ww jamaa ni Mhaya nn mana misifa yenu nshomile balaa...sasa unaandika brand new Toyota 2016...hata huo mwaka haujafika imekuaje unaanza kutengeneza brand zake au ndio mnaukimbilia??!!