NUMAN
JF-Expert Member
- Sep 3, 2019
- 794
- 1,151
Mkuu ..hivi nyumba ya mil 30 ikoje? Maana mm navyojua nyumba ya maana ni aghalau mil 70-100Nilitumia miaka zaidi ya 10 nyumba yangu kukamilka kabisa,gharama sitataja ila itoshe kusema nyumba yangu ni ya thamani kuliko wanawake wote niliowahi kuoa au kuwa nao kwenye mahusiano.
Leo hii ukibomoa hako kajumba kangu umenimaliza,kuja kuijenga tena sio rahisi,lakini huyu mke hata akiondoka leo mwezi mmoja navuta mwingine
Hapa naongelea nyumba za kuanzia milioni 30 sio hizo slope za Singida
Tusidanganyane
...maana kwa mjini kiwanja tu kizuri ni 15m mpaka 20m..