Endelea kupingana.Hapo napingana na wewe vibaya sana, wapo watanzania wanaangalia citizwn tv karibia kila siku huko bongo..eti wakenya
Shauri yenu hyo km pia mnaangania matangazo ya mumbaiBongo tunaangalia mpaka za kihindi.
Ulidhani ni big deal kuangalia akina awitiiShauri yenu hyo km pia mnaangania matangazo ya mumbai
Ila mitaa yenu ime rustHehehe!! Wabongo kwa movie zao za uchawi uchawi wasubiri sana, dah nimeipenda hiyo ya Kenya kuona quality movie ikichezewa kwenye barabara ambazo nimezoea kuzitumia.
Mbona msiangalie habari za jpmUlidhani ni big deal kuangalia akina awitii
Ni kenya pekee ambayo rais na wanachi wote wamevurugwa,yaani wewe unaweza amka uko na stress ukatukana jubilee mpaka uchoke,kisha unakuja kuisifia hapa jf.Mbona msiangalie habari za jpm
Manake hko ukitaka leseni yako ibakie salama msifie mkulu
Bongo movie wanatakiwa kumchukua Jiwe, anaonekana ni muigizaji mzuri sana.Movie industry in East Africa inaendelea kupiga hatua sana haswa kwenye quality ya picha, creativity, graphics na storyline.
Kenya Kama kawaida ndio kinaara ifikapo quality in terms of production and creativity ukilinganisha na Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla.
Kenyan Movie
Bongo Movies
Hata wewe utaigiza hata scene ya kukata kachumbali.Bongo movie wanatakiwa kumchukua Jiwe, anaonekana ni muigizaji mzuri sana.
Nikifikia viwango vya jiwe , nitaomba kushiriki maigizoHata wewe utaigiza hata scene ya kukata kachumbali.
Hi shumileta nilikuwa naisikia na dada yangu mdogo(9yrs old at the time) na oia vijakazi was nyumbani. Kwa filamu naweza taka tushirikiane na tukuze sector hi kwa pamoja.Filamu ya shumileta ni maarufu kenya kuzidi baadhi ya celebrities wa kenya
Kule pwani ya kenya mombasani nk asilimia kubwa huwa wanapendelea bongo movies ila wewe wa humu utabisha, Citizen tv huwa wanaonesha filamu za bongo movies mara kibao tu.
Hey, watch it!Bongo movie wanatakiwa kumchukua Jiwe, anaonekana ni muigizaji mzuri sana.
Mimi huwa napendelea hizi wanazoigiza kwa mtindo wa series na episode huwa wanazipatia sana,Hi shumileta nilikuwa naisikia na dada yangu mdogo(9yrs old at the time) na oia vijakazi was nyumbani. Kwa filamu naweza taka tushirikiane na tukuze sector hi kwa pamoja.
Maendeleo hayana chamaHey, watch it!
Mimi huwa napendelea hizi wanazoigiza kwa mtindo wa series na episode huwa wanazipatia sana,
Hizi ni baadhi ambazo zimependwa sana.