Km 1 ?? Hizo Camera zinaitwaje mkuu ??Vizuri Zanzibar wameweka Camera kali kabisa na za kisasa mji wote wa Zanzibar ikiwemo hilo eneo la michenzani.
Camera hizo zinaambiwa zina uwezo wa kuvuta hadi kilomita moja.
hivyo msema kweli yupo....mara hii kwa mjini hakuna sababu za kuonea watu bure...watoe tu recodi ya hio video...wakisema camera mbovu basi wameweka wenyewe kisonge wasisumbue watu
Nilidhani digital technology allows zoom in and zoom out , hivo you can zoom in on a distant object.Km 1 ?? Hizo Camera zinaitwaje mkuu ??
Vizuri Zanzibar wameweka Camera kali kabisa na za kisasa mji wote wa Zanzibar ikiwemo hilo eneo la michenzani.
Camera hizo zinaambiwa zina uwezo wa kuvuta hadi kilomita moja.
hivyo msema kweli yupo....mara hii kwa mjini hakuna sababu za kuonea watu bure...watoe tu recodi ya hio video...wakisema camera mbovu basi wameweka wenyewe kisonge wasisumbue watu
Na wewe unaamini kabisa!!!Vizuri Zanzibar wameweka Camera kali kabisa na za kisasa mji wote wa Zanzibar ikiwemo hilo eneo la michenzani.
Camera hizo zinaambiwa zina uwezo wa kuvuta hadi kilomita moja.
hivyo msema kweli yupo....mara hii kwa mjini hakuna sababu za kuonea watu bure...watoe tu recodi ya hio video...wakisema camera mbovu basi wameweka wenyewe kisonge wasisumbue watu
Haaaaahaaa NimechekaHivi raisi ashapatikana huko au bado wanahesabu kura
Kwa maelezo na ushahidi huo watawakusanya na kuwakamata wazanzibar woteShuhuda amesema wanoshikiwa kulipua wamevaa KANZU NA VILEMBA! Surely?
Kwani CCM wanahusika vipi,mbona mabomu kutegwa na kulipuka Zanzibar ylianza hata kabla ya uchaguzi,au kumbukumbu zako ni fupi kama nyumbu wa Serengetiduh cccm tafadhalini jama...
Astagaful tumswalie mtumeMungu ainusuru Zanzibar na Wazanzibar na fitna ya Magaidi.
Zina megapixel 50000 chiefKm 1 ?? Hizo Camera zinaitwaje mkuu ??