TEACHER FRANK MSIGWA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2016
- 537
- 445
Panda shabiby mkuu
Nimeweka kumpa heshima ya pekee kwa speech aliyoitoa mbele ya wale wazungu mkuu. Siyo Mdogo wangu na siyo Mimi ,ana umri unaoweza lingana na Binti yangu wa kwanza.mkuu mbona nawe umemuweka kwa avatr mtoto wa watu kipanga alizungumza mbele ya UN.ni mdgo wako au ndie weye?
Acha kufananisha shabiby na vitu vya kijingaShabibi line mpango mzm haina tofauti na bombadia
ah vizur mkuu,..kumbe hat mi naweza kuwa mwanao kw umri wang,hahah ila usiamin ivo bhan mi mkubwa.Nimeweka kumpa heshima ya pekee kwa speech aliyoitoa mbele ya wale wazungu mkuu. Siyo Mdogo wangu na siyo Mimi ,ana umri unaoweza lingana na Binti yangu wa kwanza.
hahah,..mkuu,matus hayoAcha kufananisha shabiby na vitu vya kijinga
Acha Dharau Za KijingaNaombeni ushirikiano wenu,kwani next week nimepanga niende mkoa.
Kati ya
(a) BOMBA-DIA (bombadia nimepewa ofa nipande bure)
(b)KILIMANJARO EXPRESS
(c)SHABIBY LINE
Nichague nini?![]()
![]()
![]()
Naombeni ushirikiano wenu,kwani next week nimepanga niende mkoa.
Kati ya
(a) BOMBA-DIA (bombadia nimepewa ofa nipande bure)
(b)KILIMANJARO EXPRESS
(c)SHABIBY LINE
Nichague nini?![]()
![]()
![]()
Well said, Rukuku boysubiri boeing dreamliner
hahahaaha......... safari njema.
VIVA KILIMANJARO EXPRESSAcha kufananisha Kilimanjaro express na vitu vya kipumbavu
Mtu mwenye akili timamu hawezi kulinganisha vitu hivi viwili kwa utofauti uliopo na tena wa wazi. Starehe si sofa. Hata kama ni sofa, zina material yapi? Kuweni watu wazima. Basi ya kichina na bombadier wapi na wapi?Naombeni ushirikiano wenu,kwani next week nimepanga niende mkoa.
Kati ya
(a) BOMBA-DIA (bombadia nimepewa ofa nipande bure)
(b)KILIMANJARO EXPRESS
(c)SHABIBY LINE
Nichague nini?![]()
![]()
![]()
Mkuu,nadhani ni umakini wa dereva2,coz hakuna tajiri anayependa kusikia gari yake imepata ajali ni sifa mbaya kwa kampuniPanda Shabiby uwahi ahera kama siyo ulemavu. Soma habari zake imeua wangapi mpaka 2017 ndo utaipenda
Ha ha haha.. ... Kaamua kufurahisha watu tuuSasa shabiby inaenda arusha hiyo......wewe kweli dume suruali
Kwa taarifa yako, Bombadia leo asubuhi kimeiovertake precision angani maeneo karibu na babati wakati, nani ana speed hapo?
Ha ha ha acha bangi.Nitakwenda mpaka dodoma...hapo zipo zinazokwenda Arusha